Nenda kasome surah ya mapepo (majini) yamejiita sisi unapoona neno sisi kwenye Koran ni mapepoUnao ushahidi kuwa unayoyasema?au unaropoka kama mlevi aliye lewa kwa kunywa pombe nyingi? Qur'an Tukufu haıija shushwa na majini na wala mapepo Qur'an aliye ishusha ni Mungu amaemtuma Malaika wake Mkuu Jibrili kumshushia MtumeMuhammad Rehema za Allah ziwe juu yake hiyo Qur'an tukufu. Kama kitu haujuwi bora uulize kuliko kuropoka maneno ambayo huna uhakika nayo . Ikiwezekana bora unyamaze kimya ili upate faida zaidi.
Yesu alipewa Injili wapi?Kwani aliyeshuhudia wakati musa anapewa torati ni nani, aliyeshuhudia wakati yesu anapewa injili ni nani? aliyeshuhudia wakati daudi anapewa zaburi ni nani?.
Mbona zinasomeka kwenye kitabu cha MAARABU? JE hazipo kwenye Quran? Muhamad hakuoa mtoto wa miaka 9? Hii ni uongo? Hakuoa jimama?Hizo zote hadithi feki walizo zitunga Mayahudi ili kumpaka matope Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na mani. Hadithi za Kutunga let Aya ya Qur'an ndiyo kitabu kinacho sema ukweli juu ya Uislam usilete hadithi feki za kutunga za Wayahudi lete hoja ya Qur'an tukufu kitabu cha Waislam kinacho sema ukweli upate kujibiwa usilete hadithi za pumba hizo.
Hivi Ile sehemu inayosema peponi kila mwanaume aliyetenda mema anapewa wamama wabikra 70 , halafu hapo hapo Kuna mito inatiririsha pombe. Sehemu inayotoa hiizi ahadi iko kwenye kuoran au Ni Hadith za maskani?Hahah waislam bana, huwa mnanichekesha mnapokataa hadithi zenu na kusema Quran tu ndio kila kitu.
Hiyo Quran hata haisemi unatakiwa uswali vipi, haisemi swala ngapi, haisemi mambo mengi sana kiasi kwamba muislam akikana hadithi akasema afuate Quran tu, Waislam wengine watasema huyu sio muislam
Sisi... hapo ni Alah na rafiki zake au?Ushahidi wa kuwa kimeletwa na mola wa walimwengu ni kule kubaki kwenye asili yake zaidi ya miaka 1440 sasa hakuna mabadiliko hata ya herufi moja na hili ameliahidi mwenyewe allah kwenye kitabu chake pale aliposema.
"Hakika sisi ndio tulioteremsha ukumbusho huu{quran}, na hakika sisi ndio tutakaouhifadhi"
Quran 15:9
"Ni uteremsho utokao kwa bwana wa walimwengu wote.."
Quran 56:80
sema mkuu haujafungua moyo wako, haya maneno yana ufasaha na utaalamu wa hali ya juu ambayo hayawezi kupatikana kwenye utunzi wowote wa mwanadamu wala jini na Qur'an yenyewe imetoa challenge ya kiumbe yeyote anaeweza alete mfano wake na imetoa ruhusa ya kushirikiana viumbe wote wakitaka, na haijawezekana mpaka leo na haitowezekana.
"Waambie: Lau wangelikusanyika watu wote na majini wote ili walete mfano wa hii Qur'ani hawawezi kuleta mfano wake, ijapokuwa wakisaidiana wao kwa wao.."
Quran 17:88
Mimi sijapatapo kuona maneno matamu na yenye ladha kwenye moyo kama hii quran, hata uwe na stress vipi ukiisoma moyo unapata utulivu na amani unasahau shida zote.
Yaani mtu akisoma hayo maneno yako anaona JANJA JANJA tu.Nimeedit post unaweza kuangalia, ama viko wapi jibu lake ni kwamba vitabu vilivyotangulia havikuwekewa ahadi ya kuchungwa na kuingiziwa ziada au kupunguzwa na hili ni kwasababu mitume walikuwa bado wanakuja wengine na zaidi wakija wanayafufua mafundisho yaliyotangulia.
Hivyo kwa sasa hakuna zaburi, injili, wala torati iliyosalimika na mabadiliko maana wayahudi na wakristo wamevifanyia mabadiliko hivi vitabu na vimepotea kwa kiasi kikubwa.
Kama kinaelezea hayo na zama hizo teknolojia ilikuwa haijakuwa kuweza kuona yaliyo ndani ya mwili (zama za giza) halafu ikaja kuwa proved kwenye future then kinatoka kwa Allah (the exalted one).Kama kitabu kina ongelea embryology na kikasema ivi je kimetoka wapi?
Embryology, Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke. Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama! Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama
Weka ushahidi wa hayo ulyosema ili tujue wewe una akili timamu au Tahira maana isije kuwa tunaongea na matahira humuQuran IMESHUSHWA NA MAJINI MAPEPO NA MASHETANI KWA MSAADA WA VATCAN FREE MASON, NA MOHAMED KUSHIRIKIANA NA MAJINI.
Ndugu zangu WAISLAMU nawaonea HURUMA sana.
MMEPOTEA.
Mtafuteni
Abel SHIRIWA Atawasaidia.
Mifupa tupu ndani ya mji wa uzazi ipo?n.b
Hizo process umezikosea damu kuganda haipo hiyo nasubiri uje ulete ushahidi .
Kingine ni kuwa kama umesoma embryology vizuri utajua process nzima ni kweli
Qur'an ndio kila kitu Qur'an ndiyo inayo ongoza Dini ya Kiislam hadithi ni za kutunga hata wewe unawezakutunga hadithi zako ukamsifia Yesu na Bikira Maria wakati katika biblia hadithi hizo hazimo kabisa. Kama kweli unayo hoja lete katika Qur'an hoja yako utajibiw akiukamilifu sio kuleta hadithi za uchwara za kutunga na Mayahudi ili wampake matope Kiongozi wa Waislam duniani.Hahah waislam bana, huwa mnanichekesha mnapokataa hadithi zenu na kusema Quran tu ndio kila kitu.
Hiyo Quran hata haisemi unatakiwa uswali vipi, haisemi swala ngapi, haisemi mambo mengi sana kiasi kwamba muislam akikana hadithi akasema afuate Quran tu, Waislam wengine watasema huyu sio muislam
Ni nani alihusika kutunga na nyie waislamu mkaingiza kwenye vitabu vyenuQur'an ndio kila kitu Qur'an ndiyo inayo ongoza Dini ya Kiislam hadithi ni za kutunga hata wewe unawezakutunga hadithi zako ukamsifia Yesu na Bikira Maria wakati katika biblia hadithi hizo hazimo kabisa. Kama kweli unayo hoja lete katika Qur'an hoja yako utajibiw akiukamilifu sio kuleta hadithi za uchwara za kutunga na Mayahudi ili wampake matope Kiongozi wa Waislam duniani.
Kwanza Hadithi hazipo katika kitabu ukisema kitabu una manisha ni Qur'an hadithi za Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na amani hazipo ndani ya kitabu cha Allah Qur'an zipo hadithi za ukweli na zipo hadithi za uongo. Tofauti na Kitabu cha Qur'an hakina kusema uongo kwa hiyo Waislam wanaongozwa na Qur'an sio hadithi kwani hadithi ni tabia aliazokuwa nazo Mtume. Na Qur'an ni maneno ya Mungu hadithi na Qur'an ni vitu 2 tofauti Hadithi unaweza kuisikiliza na kuiachilia mbali lakini Qur'an inakubidi utake usitake kuifuata kwa lazima kwani Qur'an ni amri na sheria na ni tofauti na hadithi.Ni nani alihusika kutunga na nyie waislamu mkaingiza kwenye vitabu vyenu
Koran inasema ufanye ndoa ya muda mfupi mutah na Hadith inasema Muhammad Ali abrogate unafuata kipi?Kwanza Hadithi hazipo katika kitabu ukisema kitabu una manisha ni Qur'an hadithi za Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na amani hazipo ndani ya kitabu cha Allah Qur'an zipo hadithi za ukweli na zipo hadithi za uongo. Tofauti na Kitabu cha Qur'an hakina kusema uongo kwa hiyo Waislam wanaongozwa na Qur'an sio hadithi kwani hadithi ni tabia aliazokuwa nazo Mtume. Na Qur'an ni maneno ya Mungu hadithi na Qur'an ni vitu 2 tofauti Hadithi unaweza kuisikiliza na kuiachilia mbali lakini Qur'an inakubidi utake usitake kuifuata kwa lazima kwani Qur'an ni amri na sheria na ni tofauti na hadithi.
Na Kwanini maandiko yenu yanachezewa SanaKwanza Hadithi hazipo katika kitabu ukisema kitabu una manisha ni Qur'an hadithi za Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na amani hazipo ndani ya kitabu cha Allah Qur'an zipo hadithi za ukweli na zipo hadithi za uongo. Tofauti na Kitabu cha Qur'an hakina kusema uongo kwa hiyo Waislam wanaongozwa na Qur'an sio hadithi kwani hadithi ni tabia aliazokuwa nazo Mtume. Na Qur'an ni maneno ya Mungu hadithi na Qur'an ni vitu 2 tofauti Hadithi unaweza kuisikiliza na kuiachilia mbali lakini Qur'an inakubidi utake usitake kuifuata kwa lazima kwani Qur'an ni amri na sheria na ni tofauti na hadithi.
Nakupa hii.Kwanza Hadithi hazipo katika kitabu ukisema kitabu una manisha ni Qur'an hadithi za Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na amani hazipo ndani ya kitabu cha Allah Qur'an zipo hadithi za ukweli na zipo hadithi za uongo. Tofauti na Kitabu cha Qur'an hakina kusema uongo kwa hiyo Waislam wanaongozwa na Qur'an sio hadithi kwani hadithi ni tabia aliazokuwa nazo Mtume. Na Qur'an ni maneno ya Mungu hadithi na Qur'an ni vitu 2 tofauti Hadithi unaweza kuisikiliza na kuiachilia mbali lakini Qur'an inakubidi utake usitake kuifuata kwa lazima kwani Qur'an ni amri na sheria na ni tofauti na hadithi.
Ndiyo maana amejaalia maisha haya ya dunia kuwa ni MTIHANI WASHINDANE WENYE KUSHINDANA......Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.
But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.
Siji identify na dini yoyote.
Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.
Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.
Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..
Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..
Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.
Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .
Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.
Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.
Back to the point..
Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...
Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.
Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?
1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?
2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...
So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Umeona kuwa Hadithi zimekusanywa na hao uliowataja lakini Qur'an ipo pale pale na ipo wazi ifuate Qur'an itakuongoza usifuate hadithi zitakupoteza kama vile Biblia ifuate injili ya Bwana yesu na Torati ya Mussa zitakuongoza ukimfuata Mtume Paulo atakupoteza kwani mtume paulo alikuwa mtume anatoka Roma italy wakati bwana Yesu alitoka uyahudini ukimfuata mtume paulo utapotea mfuate bwana Yesu alivyosema katika injili yake. Na Hivyo hivyo kwa Waislam wanatakiwa kufuata Qur'an itawaongoza hadithi zitapoteza na njia. Taurati na injili vimetajwa katika kitabu cha Qur'an kuwa ni vitabu vya mitume wakiyahudi kila Muislam anaamini hivyo . Mtume feki Paulo amekuja kuleta dini mpya ya Kikristo wakati Bwana Yesu hakuja kuleta dini mpya Dini aliyokuwa nayo Bwana Yesu na dini ya Mtume Mussa na dini ya Mtume ibrahim na Mitume wote na ndio Dini hiyo hiyo aliokuja nayo Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe ju yake pamoja na amani. Mungu wao wote hao Mitume ni Mungu mmoja na Dini yao wote hao ni dini moja nayo ni dini ya Uislam.Na Kwanini maandiko yenu yanachezewa Sana
Hadith ni uongo na mmeweka Kwenye vitabu kama kina sahih bhukar na sahih Muslim, Yani mmeita sahih alafu ni uongo
Injili ya isa ,zaburi ya Daudi na torati za waislamu zote mmepoteza hakuna ata mstari mmoja mnao shida nini?
UnachanganyaUmeona kuwa Hadithi zimekusanywa na hao uliowataja lakini Qur'an ipo pale pale na ipo wazi ifuate Qur'an itakuongoza usifuate hadithi zitakupoteza kama vile Biblia ifuate injili ya Bwana yesu na Torati ya Mussa zitakuongoza ukimfuata Mtume Paulo atakupoteza kwani mtume paulo alikuwa mtume anatoka Roma italy wakati bwana Yesu alitoka uyahudini ukimfuata mtume paulo utapotea mfuate bwana Yesu alivyosema katika injili yake. Na Hivyo hivyo kwa Waislam wanatakiwa kufuata Qur'an itawaongoza hadithi zitapoteza na njia. Taurati na injili vimetajwa katika kitabu cha Qur'an kuwa ni vitabu vya mitume wakiyahudi kila Muislam anaamini hivyo . Mtume feki Paulo amekuja kuleta dini mpya ya Kikristo wakati Bwana Yesu hakuja kuleta dini mpya Dini aliyokuwa nayo Bwana Yesu na dini ya Mtume Mussa na dini ya Mtume ibrahim na Mitume wote na ndio Dini hiyo hiyo aliokuja nayo Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe ju yake pamoja na amani. Mungu wao wote hao Mitume ni Mungu mmoja na Dini yao wote hao ni dini moja nayo ni dini ya Uislam.
Hakuna Dini anayoikubali Mungu zaidi ya Dini ya Uislam. Dini zilizobakia ni Makampuni ya Wazungu Dini feki.
Muhammad alikuwa muaarabu habari za Musa muislamu alizitoa wapi, na mbona hakuna history yoyote nje ya Koran inasema Kuna muislamu aliitwa Musaukimfuata Mtume Paulo atakupoteza kwani mtume paulo alikuwa mtume anatoka Roma italy wakati bwana Yesu alitoka uyahudini
Biblia ina mikono ya Watu kuna watu wameichafuwa hiyo Biblia ina makosa zaidi ya elfu 50. Wakati Qur'an haina makosa hata mmoja Qur'an aliyo iacha Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani ndio ile ile iliyokuwepo nayo waislam .Tofauti na injili ya bwana Yesu na Taurati ya Mtume mussa zimetiwa mikono ya watu wamezichafua sana mpaka sasa Papa wa Vatikan anataka kutengeneza Biblia mpya. Biblia zipo za aiana zaidi ya 20 na zote zinatofautiana wakati Qur'an ipo ile ile orignal sasa kazi kwako wewe kukifuata kitabu kipi katika ya Biblia na Qur'an? tumia akili zako usilete ubishi wa simba na Yanga. Ukitaka kufuata uongofu fuataQur'an ukitaka kufuata upotevu fuata Biblia iliyotiwa mikono ya watu waovu duniani. Kazi kwako.Unachanganya
Waislamu Wana mitume Yao ambayo vitabu vyao vimepotea vyote kitabu Cha Allah Kati ya vitabu alivyotuma vyote havipo kimebaki Koran tu inadai vilikiwepo