Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nenda kasome surah ya mapepo (majini) yamejiita sisi unapoona neno sisi kwenye Koran ni mapepo
 
Kwani aliyeshuhudia wakati musa anapewa torati ni nani, aliyeshuhudia wakati yesu anapewa injili ni nani? aliyeshuhudia wakati daudi anapewa zaburi ni nani?.
Yesu alipewa Injili wapi?
Daudi alipewa zaburi wapi?

Ni wapi kwenye Bible Yesu au Daudi walipewa hayo unayoyasema?

Hizo story zenu za kupewa hazipo kwenye Bible...
Quran ndio ina story za kupewa....
unaingiza mambo yenu ya kupewa ya Quran kwenye Biblia wakati hayapo.
 
Mbona zinasomeka kwenye kitabu cha MAARABU? JE hazipo kwenye Quran? Muhamad hakuoa mtoto wa miaka 9? Hii ni uongo? Hakuoa jimama?
 
Hivi Ile sehemu inayosema peponi kila mwanaume aliyetenda mema anapewa wamama wabikra 70 , halafu hapo hapo Kuna mito inatiririsha pombe. Sehemu inayotoa hiizi ahadi iko kwenye kuoran au Ni Hadith za maskani?
 
Sisi... hapo ni Alah na rafiki zake au?
 
Yaani mtu akisoma hayo maneno yako anaona JANJA JANJA tu.

Yaani mnaamini kuna vitabu ambavyo hata yeye aliyewaambia kuwa vilikuwepo (Mohamad) yeye mwenyewe hajawahi hata kuviona......

Na hata nikikuambia utaje mtu mmoja tu aliyewahi kuviona Hutoweza KUTOMTAJA...........and you know why? Ni mwa sababu HAVIJAWAHI KUWEPO.
 
Kama kinaelezea hayo na zama hizo teknolojia ilikuwa haijakuwa kuweza kuona yaliyo ndani ya mwili (zama za giza) halafu ikaja kuwa proved kwenye future then kinatoka kwa Allah (the exalted one).

n.b
Hizo process umezikosea damu kuganda haipo hiyo nasubiri uje ulete ushahidi .

Kingine ni kuwa kama umesoma embryology vizuri utajua process nzima ni kweli
 
Quran IMESHUSHWA NA MAJINI MAPEPO NA MASHETANI KWA MSAADA WA VATCAN FREE MASON, NA MOHAMED KUSHIRIKIANA NA MAJINI.

Ndugu zangu WAISLAMU nawaonea HURUMA sana.


MMEPOTEA.
Mtafuteni
Abel SHIRIWA Atawasaidia.
Weka ushahidi wa hayo ulyosema ili tujue wewe una akili timamu au Tahira maana isije kuwa tunaongea na matahira humu

Kwa mfano Mimi nikikuambia Injili mnayotumia ni fake imeandikwa na Luka mganga wa kienyeji nitakuwekea na ushahidi kama hu

Luke 1:1-3
[1]
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
[2]
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
[3]I
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
 
n.b
Hizo process umezikosea damu kuganda haipo hiyo nasubiri uje ulete ushahidi .

Kingine ni kuwa kama umesoma embryology vizuri utajua process nzima ni kweli
Mifupa tupu ndani ya mji wa uzazi ipo?

Damu kuganda najua kwa sasa mmebadili Koran iwe mdudu wa majaruba
 
Qur'an ndio kila kitu Qur'an ndiyo inayo ongoza Dini ya Kiislam hadithi ni za kutunga hata wewe unawezakutunga hadithi zako ukamsifia Yesu na Bikira Maria wakati katika biblia hadithi hizo hazimo kabisa. Kama kweli unayo hoja lete katika Qur'an hoja yako utajibiw akiukamilifu sio kuleta hadithi za uchwara za kutunga na Mayahudi ili wampake matope Kiongozi wa Waislam duniani.
 
Ni nani alihusika kutunga na nyie waislamu mkaingiza kwenye vitabu vyenu
 
Ni nani alihusika kutunga na nyie waislamu mkaingiza kwenye vitabu vyenu
Kwanza Hadithi hazipo katika kitabu ukisema kitabu una manisha ni Qur'an hadithi za Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake pamoja na amani hazipo ndani ya kitabu cha Allah Qur'an zipo hadithi za ukweli na zipo hadithi za uongo. Tofauti na Kitabu cha Qur'an hakina kusema uongo kwa hiyo Waislam wanaongozwa na Qur'an sio hadithi kwani hadithi ni tabia aliazokuwa nazo Mtume. Na Qur'an ni maneno ya Mungu hadithi na Qur'an ni vitu 2 tofauti Hadithi unaweza kuisikiliza na kuiachilia mbali lakini Qur'an inakubidi utake usitake kuifuata kwa lazima kwani Qur'an ni amri na sheria na ni tofauti na hadithi.
 
Koran inasema ufanye ndoa ya muda mfupi mutah na Hadith inasema Muhammad Ali abrogate unafuata kipi?

Koran inasema Sala tatu kwa siku ,Hadith zinasema Tano unafuata kipi?

Huyu alietunga Hadith zenu bado hujamtaja au nitu asie julikana?
 
Na Kwanini maandiko yenu yanachezewa Sana

Hadith ni uongo na mmeweka Kwenye vitabu kama kina sahih bhukar na sahih Muslim, Yani mmeita sahih alafu ni uongo

Injili ya isa ,zaburi ya Daudi na torati za waislamu zote mmepoteza hakuna ata mstari mmoja mnao shida nini?
 
Nakupa hii.
Quran na Hadith zote ni hadithi.
Quran-Hadithi alizosema Muhamad mwenyewe
Hadith-Hadithi walizosema marafiki zake Muhamad kuhusu Muhamad
 
Ndiyo maana amejaalia maisha haya ya dunia kuwa ni MTIHANI WASHINDANE WENYE KUSHINDANA......

UKAMILIFU NI SIFA YAKE PEKEE...
1.Hashikwi na kiu
2. Hasinzii wala Kulala
3. Hana mwanzo wala Mwisho
4. Haumwi
5. Elimu au maarifa yake hayatanguliwa na ujinga [Binadamu ni lazima afunzwe ndiyo afahamu kitu]
6. Hana matamanio kama ilivyo kwa wanadamu...


Kinyume chake ni mapungufu ambayo wanayo mwanadamu...

Huwezi kuwa na wakamilifu halafu kuwe na Mtihani...
 
Umeona kuwa Hadithi zimekusanywa na hao uliowataja lakini Qur'an ipo pale pale na ipo wazi ifuate Qur'an itakuongoza usifuate hadithi zitakupoteza kama vile Biblia ifuate injili ya Bwana yesu na Torati ya Mussa zitakuongoza ukimfuata Mtume Paulo atakupoteza kwani mtume paulo alikuwa mtume anatoka Roma italy wakati bwana Yesu alitoka uyahudini ukimfuata mtume paulo utapotea mfuate bwana Yesu alivyosema katika injili yake. Na Hivyo hivyo kwa Waislam wanatakiwa kufuata Qur'an itawaongoza hadithi zitapoteza na njia. Taurati na injili vimetajwa katika kitabu cha Qur'an kuwa ni vitabu vya mitume wakiyahudi kila Muislam anaamini hivyo . Mtume feki Paulo amekuja kuleta dini mpya ya Kikristo wakati Bwana Yesu hakuja kuleta dini mpya Dini aliyokuwa nayo Bwana Yesu na dini ya Mtume Mussa na dini ya Mtume ibrahim na Mitume wote na ndio Dini hiyo hiyo aliokuja nayo Mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe ju yake pamoja na amani. Mungu wao wote hao Mitume ni Mungu mmoja na Dini yao wote hao ni dini moja nayo ni dini ya Uislam.
Hakuna Dini anayoikubali Mungu zaidi ya Dini ya Uislam. Dini zilizobakia ni Makampuni ya Wazungu Dini feki.
 
Unachanganya
Waislamu Wana mitume Yao ambayo vitabu vyao vimepotea vyote kitabu Cha Allah Kati ya vitabu alivyotuma vyote havipo kimebaki Koran tu inadai vilikiwepo
 
ukimfuata Mtume Paulo atakupoteza kwani mtume paulo alikuwa mtume anatoka Roma italy wakati bwana Yesu alitoka uyahudini
Muhammad alikuwa muaarabu habari za Musa muislamu alizitoa wapi, na mbona hakuna history yoyote nje ya Koran inasema Kuna muislamu aliitwa Musa
 
Unachanganya
Waislamu Wana mitume Yao ambayo vitabu vyao vimepotea vyote kitabu Cha Allah Kati ya vitabu alivyotuma vyote havipo kimebaki Koran tu inadai vilikiwepo
Biblia ina mikono ya Watu kuna watu wameichafuwa hiyo Biblia ina makosa zaidi ya elfu 50. Wakati Qur'an haina makosa hata mmoja Qur'an aliyo iacha Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani ndio ile ile iliyokuwepo nayo waislam .Tofauti na injili ya bwana Yesu na Taurati ya Mtume mussa zimetiwa mikono ya watu wamezichafua sana mpaka sasa Papa wa Vatikan anataka kutengeneza Biblia mpya. Biblia zipo za aiana zaidi ya 20 na zote zinatofautiana wakati Qur'an ipo ile ile orignal sasa kazi kwako wewe kukifuata kitabu kipi katika ya Biblia na Qur'an? tumia akili zako usilete ubishi wa simba na Yanga. Ukitaka kufuata uongofu fuataQur'an ukitaka kufuata upotevu fuata Biblia iliyotiwa mikono ya watu waovu duniani. Kazi kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…