Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Na swali linakuja kwanini asubiri Miaka zaidi elfu 5 na Tangu kumuumba mwanadamu kushusha kitabu kilichokamilika ambacho ni mwongozo wa huyo mwanadamu asiyekamilika
Unajua lakini quraan ni nini kaka?

Ni mjumuisho wa mafundisho maelekezo na masimulizi kabla ya kuumbwa kwa dunia mpaka kwa Muhammad, nikiwa na maana habari za adam, sijui nuhu, musa, yahya, issa bin mariam, suleyman, daudi na wengineo(habari zao zipo mule ndio masimulizi ninayomaanisha)

Quraan imeshushwa huku mwishoni kwa sababu hakuna tena muongoaji(muongozi) kama wenzetu waliopita, umma za zamani zilipata viongozi(manabii) watu wanakuwa wanakumbushwa na manabii. Hivyo hakukuwa na haja ya wao kupewa quraan. Sana sana kuna sheria chache au maneno machache manabii wa kipindi husika walikuwa wakipewa ili wawaelekeze watu mfano ni taurati ya mussa, injili, zaburi ya daudi, na kwa nabii ibrahim(a.s) pia. Na vitabu vyote hivyo havipingani na quraan.
Sababu quraan ndio ufunuo wa mwisho, hakutakuja nabii wala mjomba wa nabii, aseme fanya hiki, usifanye hiki, ni quraan tu ndio tunapata kujua hiki sawa hiki si sawa.

AHSANTE.
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.
But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu. Siji identify na dini yoyote. Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.
Huu uhuru wa kuikana imani na kuamua kuacha kuamini kabisa nimezoea kuuona kwa Wakristu tu. Ni waisilamu wachache sana wanaoweza kujitokeza na kusema wameamua kuacha kuamini katika dini au kuabudu na kubaki neutral (achana na wale wanaohama upande). Ilikuwa hata kama kwa vitendo hawatekelezi wanayopaswa katika uisilamu, lakini walikuwa wanakaa kimya. Kwa hili umejilipua
 
Kama unataka Kujua Quran inasemaje kuhusu jua uliza tukufundishe

Quran inasema jua linaogelea angani

Je! Angani Kuna matope? Jibu ni kwamba angani hakuna matope ila wewe akili zako ndio zimejaa matope

Quran 21:33.
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
Mimi nimesema kilichoandikwa usilete maelezo mengine. Unajua maana ya kuelea?
 
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa [emoji38][emoji38]
Kweli jamaa umevurugwa,akopi vifungu vya bibulia vinavyosema mwanadamu achonge sanamu lake aliite bikira malia na aanze kuliabudu?
 
Unajua lakini quraan ni nini kaka?

Ni mjumuisho wa mafundisho maelekezo na masimulizi kabla ya kuumbwa kwa dunia mpaka kwa Muhammad, nikiwa na maana habari za adam, sijui nuhu, musa, yahya, issa bin mariam, suleyman, daudi na wengineo(habari zao zipo mule ndio masimulizi ninayomaanisha)

Quraan imeshushwa huku mwishoni kwa sababu hakuna tena muongoaji(muongozi) kama wenzetu waliopita, umma za zamani zilipata viongozi(manabii) watu wanakuwa wanakumbushwa na manabii. Hivyo hakukuwa na haja ya wao kupewa quraan. Sana sana kuna sheria chache au maneno machache manabii wa kipindi husika walikuwa wakipewa ili wawaelekeze watu mfano ni taurati ya mussa, injili, zaburi ya daudi, na kwa nabii ibrahim(a.s) pia. Na vitabu vyote hivyo havipingani na quraan.
Sababu quraan ndio ufunuo wa mwisho, hakutakuja nabii wala mjomba wa nabii, aseme fanya hiki, usifanye hiki, ni quraan tu ndio tunapata kujua hiki sawa hiki si sawa.

AHSANTE.
Ni kitu gani kipya kwenye quran ambacho hakukuwepo kwenye primitive mythologies?
 
Unajua lakini quraan ni nini kaka?

Ni mjumuisho wa mafundisho maelekezo na masimulizi kabla ya kuumbwa kwa dunia mpaka kwa Muhammad, nikiwa na maana habari za adam, sijui nuhu, musa, yahya, issa bin mariam, suleyman, daudi na wengineo(habari zao zipo mule ndio masimulizi ninayomaanisha)

Quraan imeshushwa huku mwishoni kwa sababu hakuna tena muongoaji(muongozi) kama wenzetu waliopita, umma za zamani zilipata viongozi(manabii) watu wanakuwa wanakumbushwa na manabii. Hivyo hakukuwa na haja ya wao kupewa quraan. Sana sana kuna sheria chache au maneno machache manabii wa kipindi husika walikuwa wakipewa ili wawaelekeze watu mfano ni taurati ya mussa, injili, zaburi ya daudi, na kwa nabii ibrahim(a.s) pia. Na vitabu vyote hivyo havipingani na quraan.
Sababu quraan ndio ufunuo wa mwisho, hakutakuja nabii wala mjomba wa nabii, aseme fanya hiki, usifanye hiki, ni quraan tu ndio tunapata kujua hiki sawa hiki si sawa.

AHSANTE.
Nazani Bado haujanielewa hata kidogo kwa sababu sipendi ligi za kijinga wacha yaishe
 
Kaa hicho kitabu kitaelezea future events in precision before they even happen, na kama kitaelezea past events accurately without any errors na kama kitaelezea ground breaking scientific findings ambazo zitakuwa proved on the future accurately then basi kimetoka kwa mwenyezi mungu muumba wa vyote.
Quran haijafanya yoyote kati ya hayo uliyosema
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Hata machizi wanaamini wapo sahihi ktk hoja zao.
 
Unsjua tofauti ya kusoma na kikariri? Wapi nimesema alisoma au aliandika? Alikuwa anadikiloza mahubiri, anaweka kichwani, akabafilisha baadhi ya story alizosikia mfano story ya Ibrahim kumtoa kafara mwana wake wa ahadi Isaka aliomzaa uzeeni na mke wake wa ndoa Sara ila yeye alivyokuja kuwasimulia maswahaba wake kwa mfumo mnaoita kuteremshwa akawaambia alitaka kumchinja ishmail mwana wa mchepuko wake hajir aliyekuwa house girl wao.

Kwa msingi huo wa kikariri ndio unaotumiwa na dini hiyo aliyoianzisha hadi Leo kwa kumeza kwa kurudiarudia, tena kwa viboko na mkaubatiza eti ni kuhifadhi
Kuna kitu hakipo sawa either umemezeshwa au unaongea kile kinachokuja kwenye ubongo wako kwa muda huo kwanza nimekuomba ushahidi wa maandiko yoyote yale ya wayahudi wenuewe au popote kwenye spurces zinazoaminika kuonesha kwamba alikuwa akikariri hayo mahubiri bado nasubiri.

Kingine ni kwamba nabii Ibrahim (alayhi salaam) aliruhusiwa na mke wake bi sara ( radhialahu anha) kumuoa bi khajir (radhialahu anha) kama mke wake wa pili ili aweze kumzalia mwana na ndo hapo Allah( the exalted one) akambariki mwana wa kwanza wa pekee aliyeitwa ismail (alayhi salaam) ambaye pia alikuwa nabii na ndo hapo sasa nabii ibrahim(alayhi salaam) akaota ndoto ambayo ilikuwa ni wahyi (revelation) kwamba anamtoa mwana wake wa pekee kafara mbele za Allah (the exalted one) hii ikiwa ni kama kipimo cha imani kwake na akafuzu huo mtihani ndipo akabashiriwa kupata mtoto mwengine kutoka kwa bi sara (radhialahu anha) na mtoto wake atakuwa ni nabii pia hivyo atapata uzao wa mitume na manabii kutoka kwa watoro hao na uzao wao kama watakuwa ni waongofu.

Ushahidi huu tunaupata kwenye quran takatifu surah saffat aya ya 101-102

Quran 37:101-102
 
Kwanini Mungu aumbe binadamu asiyekamilika? Ili iweje?
Au ndo ili atende dhambi mwishowe amchome moto? Anapata faida gani sasa
Mwanadamu ameumbwa na udhaifu kwenye maumbile yake kulinganisha na viumbe vingine kwa maana yeye hana nguvu kama hao ila haimaanishi hana akili timamu ya kupambanua mambo, kwenye sekta hiyo amependelewa na ndio maana yeye ni kiongozi na msimamizi wa mambo hapa duniani na wengine wamedhalilishwa chini yake.

So mtu akifanya dhambi amefanya kwa maamuzi yake binafsi na mwisho wake ukiwa mbaya asimlaumu mtu.
 
Kaun a majini na watu ili baadae awatumbukize jahannamu? [emoji848]... that's insane

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unafahamu asili wanadamu walikuwa wapi kabla ya kuja hapa duniani? sisi hapa sio kwetu tumekuja tu kwa muda kisha tutarejea kwenye makazi yetu ya milele, mwanadamu hajaumbwa ili afe ameumbwa ili aweze kuishi milele sasa kuna watakaokataa kurudi huko na wataamua kushika njia ambazo sio muongozo wa yule aliyewaumba nae hana njia nyingine zaidi ya kutimiza ahadi yake ya kuwatumbukiza katika jahannam kwa kule kuasi kwao.

"Tukasema: Shukeni humo{ardhini} nyote; na kama ukikufikieni uongofu utokao kwangu, basi watakaofuata uongofu wangu huo hawatakuwa na hofu juu yao wala hawatahuzunika."

"na wale waliokufuru na kuzikanusha aya zetu, hao ndio watu wa motoni, na humo watadumu milele"

Quran 2:38-39

Kwahyo ukielewa hapo hupati tabu kujua chanzo cha watu kuunguzwa motoni ni nini na mola wako hamdhulumu yeyote anampa stahiki yake.
 
Kuna moja ya mtume aliwahi kuuliza kama wewe akaambiwa aoteshe ngano na zikikomaa basi amalizie kama inavyotakiwa , akaotesha zikakuwa akavuna akatenga shayiri na makapi kisha makapi akayachoma moto .

Hapo Mola wetu Muumba akamuuliza kwanini kayachoma makapi moto akajibu kwamba hayana faida tena na ndo akaambiwa hivyo hivyo kwamba Mwenyezi Mungu ametuumba na tupo duniani ametupa muongozo kupitia manabii na mitume wanaotokana na sisi lakini kuna ambao hawayafuati wanapuuzia na kufanya machafuzi sasa hao ndo hayo makapi very easy .
Huo mfano bado haumake sense kwann mungu aumbe watu alafu awatese baadae.
.
Ngano inatengwa na makapi kwasababu makapi hayatumiki na tunajua kabisa hata kabla hatujayapanda. Sasa kama na mungu anajua kabisa kama watu flani ni 'makapi' inamaana huyo mungu ni kiumbe flani hivi mkatili sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unafahamu asili wanadamu walikuwa wapi kabla ya kuja hapa duniani? sisi hapa sio kwetu tumekuja tu kwa muda kisha tutarejea kwenye makazi yetu ya milele, mwanadamu hajaumbwa ili afe ameumbwa ili aweze kuishi milele sasa kuna watakaokataa kurudi huko na wataamua kushika njia ambazo sio muongozo wa yule aliyewaumba nae hana njia nyingine zaidi ya kutimiza ahadi yake ya kuwatumbukiza katika jahannam kwa kule kuasi kwao.

"Tukasema: Shukeni humo{ardhini} nyote; na kama ukikufikieni uongofu utokao kwangu, basi watakaofuata uongofu wangu huo hawatakuwa na hofu juu yao wala hawatahuzunika."

"na wale waliokufuru na kuzikanusha aya zetu, hao ndio watu wa motoni, na humo watadumu milele"

Quran 2:38-39

Kwahyo ukielewa hapo hupati tabu kujua chanzo cha watu kuunguzwa motoni ni nini na mola wako hamdhulumu yeyote anampa stahiki yake.
Hakuna ushahidi wowote wa kwamba mwanadamu alikua huko unaposemea. Sisi binadamu, kama ilivo wanyama wengine, tunazaliwa, tunapumua, tunakula mwisho tunakufa. Utofauti wetu na wanyama wengine ni vile tulivo na uwezo mkubwa wa kifikiri...
.
Ushahidi pekee wa hayo mambo unayo yasema ni aya tu za quran, kitabu ambacho hakuna ushahidi kama hata kililetwa duniani na muumba wa ulimwengu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa hicho kitabu kitaelezea future events in precision before they even happen, na kama kitaelezea past events accurately without any errors na kama kitaelezea ground breaking scientific findings ambazo zitakuwa proved on the future accurately then basi kimetoka kwa mwenyezi mungu muumba wa vyote.
[emoji1787]sasa mbona quran wanasema imetoka kwa mungu. Quran inayosema usiku jua linazama (nafkiri matopeni). Quran inayosema mtume alishika jua mkono mmoja na mwezi mkono mwingine na akaugawa mwezi katikati. Quran inayosema mtume alipaa kwa farasi mwenye mabawa... no any scientific reasoning iko hapo. Hakuna scientific precision hapo.
.
Ukiangalia habar za maafuriko ya nuhu utaona mtunzi wa hio hadith hana ujuzi wa sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani nyinyi wagalatia sikuhizi mna shida gani mbona mnalialia sana kuhusu Quran?

Mmekosa hoja ya kuthibitisha kuwa Quran ni maneno ya uongo mmebaki mnalialia tu

Allah alishajua kuwa hakuna binadamu atakaeweza kuthibisha kuwa Quran sio kitabu Cha Mungu

Na ndio maana akasema ndani ya Quran asiyemtaka mtume Muhammad basi na ACHUKUE KAMBA AJINYONGE
Kitabu kinakuaje cha mungu wakat mungu mwenyew hayupo[emoji2377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
"Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao.."[emoji118]

Kwa hiyo akina Mussa, YESU, Paulo, Petro, Elia, Yohanna etc walijituma na hawakutumwa si ndiyo? Kwa hiyo wale hawakuwa mitume bali matapeli na walaghai siyo?
 
"Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao.."[emoji118]

Kwa hiyo akina Mussa, YESU, Paulo, Petro, Elia, Yohanna etc walijituma na hawakutumwa si ndiyo? Kwa hiyo wale hawakuwa mitume bali matapeli na walaghai siyo?
Uliwaona?
 
Back
Top Bottom