pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Jamaa wanamaliza kila kitu kama washafika mpaka kwenye bahari ngoja tuone what next.Hiyo isikuogopeshe, watamiliki vyote lakini hawataweza kumiliki akili zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanamaliza kila kitu kama washafika mpaka kwenye bahari ngoja tuone what next.Hiyo isikuogopeshe, watamiliki vyote lakini hawataweza kumiliki akili zetu
Kiufupi tumekwishwaWao ndo wanaopanga nauli za juu za mwendokasi ili mabasi yao yaendelee kupiga hela. WaTanganyika kaz tunayo. Na zaidi sana tunawaunga mkono chawas!
Wewe unaweza kutenganisha Ule mchanga wa Zanzibar na Bara uliochanganywa na waasisi?Huo n mtazamo wako mkuu.
Labda ungesema niipende na kujivunia Tanganyika kidogo ningekuelewa, bt Tanzania hell no,
That damage can not be repaired
Bro, the damage is beyond repairJamaa wanamaliza kila kitu kama washafika mpaka kwenye bahari ngoja tuone what next.
Bro kwani ule mchanga ulikuwa kiasi gani, last time i checked haukujaa kikombe,Wewe unaweza kutenganisha Ule mchanga wa Zanzibar na Bara uliochanganywa na waasisi?
Tanzania ni Nchi yetu sote,
Tanga yika itarudi tu,
Serikali tatu ndio suluhu ya yote.
Sio kote hali ipo hivyoNa sishanga kwenye hili maana Nchi yoyote ya chama kimoja ambayo imejivika kivuli cha vyama vingi, nchi yoyote isiyo heshimu uhuru wa kujieleza, uhuru wa kidemokrasia hili n jambo la kawaida kutokea..
Unawezaje kutenganisha uzao na Damu iliokwisha changamana Kwa miaka zaidi ya 60?Bro kwani ule mchanga ulikuwa kiasi gani, last time i checked haukujaa kikombe,
Ile ni theoretical thing, if not political affiliation..
But anyways let wait for them to decide bt we both know its wont gonna happen
Hahaha…Kiufupi tumekwishwa
Kama mpaka stationary imepewa tenda ya sukari mkuu unangoja mpaka na sisi tuje tupigwe mnadaHahaha…
Bro you jump to the conclusion?
Mjadala haujafungwa bado…
Kwa africa mm naona sisi ndo tuponyuma sn kisiasa huo ndo ukweli,,,Sio kote hali ipo hivyo
Zipo nchi zenye chama kimoja na hazipo kama Tanzania na si kama Tanzania tu hata nchi za vyama vingi hazigusi moto wake.
Mm nishaanza kutafuta uelekeo, mnada huo hauwez nikuta bado nalanda landa hapa..Kama mpaka stationary imepewa tenda ya sukari mkuu unangoja mpaka na sisi tuje tupigwe mnada
Usije ukafikiri mfumo wa chama kimoja au vyama vingi ndio suluhisho la maendeleo ya Africa sahau kuhusu hilo.Kwa africa mm naona sisi ndo tuponyuma sn kisiasa huo ndo ukweli,,,
Strong political part km ANC huko south africa umeona yalio mkuta…
Now atake asitake serikali ya shirikisho inaenda kuundwa, hapa tz tunafail wapi?
Mfumo mbovu, katiba mbovu hupelekea kulewa madaraka kwa viongozi na mwishowe kuongoza nchi kwa maslai binafsi na sio maslai ya taifa kwa ujumla
Hii nchi uki kaa chini na kutumia akili kuwaza utaumia sana,wanao ona kawaida ni wanaotumia matumbo yao.Sijawai kujivunia Utanzania Wangu
Nakumbuka nyimbo za shule za kipindikile tulizokuwa tukiimba kwa furaha na bashasha,
Tukiwa tumevalia uzi mweupe na bukta za blue, tuliimba Mungu ibariki na Tazama ramani kwa bashasha kweli,,
Hakika tulikuwa n uzalendo kweli kweli,
Miaka imeenda ss tumekuwa wakubwa na ule usemi wa mama “mwanangu kuwa uyaone” ss tumejionea kwa macho.
Miaka zaid ya 60 ya uhuru wa taifa hili lakini bado maadau watatu wanaendelea kuitafuna inch tena kwa kasi ya ajabu.
Ujinga, umasikini, maradhi n wimbo wa taifa kila uchwao..
Chaajabu umasikini na maradhi hutafuna zaidi watu wa vipato vya chini, ila ujingi hili utafuna zaid viongozi wetu maana wao ndo wamepewa dhamana y usimamizi wa raslimali za Taifa hili.
Viongozi ni wachumia tumbo na wanawimbo wao sijajua mtunzi nani ila unaitwa “Chukua chako mapema”
Na sishanga kwenye hili maana Nchi yoyote ya chama kimoja ambayo imejivika kivuli cha vyama vingi, nchi yoyote isiyo heshimu uhuru wa kujieleza, uhuru wa kidemokrasia hili n jambo la kawaida kutokea..
wananchi wanateseka kwa ugumu wa maisha huku serikali sikivu ikiendelea kuwakandamiza kwa kodi zisizo na kichwa wala miguu.
Viongozi wameshindwa kutafuta vyanzo imara vya mapato na kuamua kumuangushia mzigo wote mwananchi wa kawaida anaepambana kupata mlo wake wa siku.
Kodi zimekuwa mwiba kwa wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo..
Ni kawaida kukuta kodi inazidi dhamani ya manunuzi ya bidhaa husika. Hii hupelekea wafanya biashara kushindwa ku compete kwny soko la dunia hasa linapokuja swala la kodi kuathiri uti wa mgogo wa biashara husika.
Chungulia kidogo kwny kodi za magari kuingia nchi, utaagiza gari kwa milion 10 utapaswa kulipia kodi million 13 had 15.. na gari litakughalimu milion 23 had 25 kuanza itumia, which is nonsense.
hapo hujagusia kodi ya ardhi ambayo sasa inalipwa na wapangaji na sio mwenye nyumba husika. Km umepanga chumba kimoja na umefungiwa mita, kodi hii inakuhusu.
Hapo sijaongelea gharama za vifurush vya internet na makato y kipuuzi kwa watumiaji wa mitandao ya simu..
Mifumiko ya bei za chakula isijoyali hali za walaji.
kupanda hovyo kwa bei za mafuta na gas as if hakuna mamlaka husika za kudhibiti na kusimamia mifumuko hiyo..
Ajira rasmi hakuna, wanakomaa wenyewe tuu, na yakiwapalia utasikia tangazo la ajira za muda, miezi mitatu..
Hapo wanaokoa gharama kazaa, km pesa za kujikimu, contributions za nssf, NHIF na kuingia kwny payroll za malipo ya serikali na stahiki nyingine anazohitaji km mwajiriwa..
Kipindi wanatumia ujuzi na jasho wako kufanikisha masuala ya kitaifa, linapokuja swala la ajira unawekwa kushoto..
Tabaka la wenyenacho na wasionacho ni kubwa sn sn sn, huku tunakosa mlo wa siku, kule kuna dhifa za kitaifa watu wanakula na kusaza.
Deni la taifa linakua kwa mikopo ya kila kukicha mara leo urabuni, kesho korea, keshokutwa china… tukiuliza tunaambiwa vijana mmekubukwa,
Mnaambiwa undeni vikundi vya ushirika, mara njoo na business plan nzuri ukopeshwe, kamilisha vyote.. bt trust me utazunguka inchi nzima ofisi husika inayotoa hiyo mikopo hutokaa uione.
Hatuna dira y Taifa, na km ipo ni dira jina tuu, hatuna vipaumbele vya taifa,
Limekuwa Taifa linalopenda kuona vijana wanateseka, wazazi wanaangaika na vijana wao waliomaliza vyuo wapo mitaani,
wamejaribu kujiajiri wamekutana na vikwazo vingi vya kimfumo vinavyopeleka biashara kufa
“wamerudisha mpira kwa kipa”
Kwny maharusi wanachangiana mabilions of money, wakati majimboni mwao wananchi wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya..
Mpige kura msipige kura watatangazwa tuu washindi, wananchi hamna tena power y kuchagua nani mnamtaka n nani hamumtaki.
tht why now days hawaombi tena kura kwa wananchi,
matokeo yake wameelekeza nguvu zao kwa viongoz wakuu wa vyama, hapo ni mwendo wa kuabudu na kusujudu tuu, ni mwendo wa uchawa kwenda mbele..
Imekuwa n nchi y kula kwa urefu wa kamba, na kamba za malisho huongezwa kadili unavyomfurahisha mfungaji.
Wenzangu n mm tulioamua kusimama kwenye kweli tujiandae kukabiliana na kesi za uhujumu uchumi,
Utafungwa jela Ili jamii isipate madini kutoka kwa watu makini wenye mitazamo chanya.
Kunawakati Mungu pekee ndo ataweza kutuvusha kwny hili.
Vijana tusikate tamaa, cz hatima yetu ii mikononi mwetu, tuvuje jasho ili walau watoto wetu wasipate utapia mlo..
Cjivunii kuwa MTANZANIA
Everything possible bro, cz tunaweza kuanza na next generationsUnawezaje kutenganisha uzao na Damu iliokwisha changamana Kwa miaka zaidi ya 60?
Kabisa ndugu.Hii nchi uki kaa chini na kutumia akili kuwaza utaumia sana,wanao ona kawaida ni wanaotumia matumbo yao.
Lipi ni suluhisho mbadala?Usije ukafikiri mfumo wa chama kimoja au vyama vingi ndio suluhisho la maendeleo ya Africa sahau kuhusu hilo.
Mbona tunajibizana hapa!! Unasemaje kuwa hatuelewani? Yawezekana nawe ni sokwe ila hawajakuanbia tuTangulini sokwe akawa na uraia?
Km umekubali ww n sokwe basi wacha nikutafutie tour guide labda mtaelewana..
Mm sijasomea mambo ya wanyama,
Waafrika kujitambua kwa kuanza na wewe.Lipi ni suluhisho mbadala?
Siwezi andika utumbo, ni kujidhalilishaAndika nawewe tuone