Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio criteria namba moja kusainiwqInasemekana 'eti' WCB kama hauandiki nyimbo zako mwenyewe hauwezi kuwa signed(hii ukitoa Queen Darlin ambaye alisainiwa kwa kigezo cha undugu).
Nobody can prove this lakini viongozi(managers) wa label ndivyo wanavyodai.
Hata Zomboko almuandikia wimbo Zuchusinza pazuri huwa unaropoka na kuandika vitu kimuhemko, utakuwa na maisha magumu sana kwenye hii dunia. Zuchu umemjua lini ? Mida huu saa 15:22 nipo na Jamaa anaitwa Mzazizo ni moja ya watu wanaomuandikia Zuchu nyimbo.
Wewe ni Kijana wa hovyo na umejaa ushabiki maandazi tu hujui kitu. Nyerere aliikomboa Tanzania mikononi mwa Wakoloni halafu leo hii uje useme eti Jakaya Kikwete ni Tajiri kuliko Nyerere. Muache Jide kumfananisha na Zuchu kila kitabu kina zama zake.
Nakupa assignment mtafute Mzazizo ni nani ?
Ruge na kusaga ni watunzi, waimbaji au maprodyuza?Jide lini alisimama bila Ruge na Kusaga?
👏🏽Kipindi cha lady Jay dee ukiingia studio tu tayari unakuwa maarufu hata kama umeimba utumbo,ushindani ulikuwa mdogo hata mashairi ya jide ukiyasikiliza utagundua kitu kwamba yeyote anaweza kuandika hakuna ubunifu.Game ya sasa ushindani ni mkubwa na wasanii ni wengi na watu wanaumiza vichwa kuandika mashairi.Hata tukiwaweka kwenye mizani kati ya ray c na jide Mimi naondoka na ray c na nilikuwa namwelewa zaidi.Jide anaonekana mkubwa kwenye industry kwa sababu ya kujiweka karibu na manguli wa industry na ni king'ang'anizi kwenye game na ndio maana kipindi kile mashindano ya kolla Africa mwakilishi kila mwaka alikuwa yeye tu na alikuwa anarudi bila tuzo miaka yote,means connection ilikuwa inamsaidia na sio uwezo.JIDE AMENG'AA KWENYE KIPINDI AMBACHO HAKUNA USHINDANI KAMA SASA ILIKUWA MSANII UKIBAHATIKA KUINGIA STUDIO TAYARI NGOMA INA HIT,hii haimaanishi tayari wewe ni msanii mzuri
Tunamwambiaga huyu Chawa mchafu pale UsafiniHata Zomboko almuandikia wimbo Zuchu
Mh una uhakika? Jide mbona anazo tuzo za kora. Hlf zmn ss kutoboa kimzik ilikua ngumu tofaut na ss hv. Zaman hizo studio tu zilikua chache, bdo redio pia ni chache. Wanamuziki wa ss hv wana bahati sn studio nyingi pia kuna platform nyingi zs nyimbo zao kusikilizwa tofauti na wasanii wa zamaniKipindi cha lady Jay dee ukiingia studio tu tayari unakuwa maarufu hata kama umeimba utumbo,ushindani ulikuwa mdogo hata mashairi ya jide ukiyasikiliza utagundua kitu kwamba yeyote anaweza kuandika hakuna ubunifu.Game ya sasa ushindani ni mkubwa na wasanii ni wengi na watu wanaumiza vichwa kuandika mashairi.Hata tukiwaweka kwenye mizani kati ya ray c na jide Mimi naondoka na ray c na nilikuwa namwelewa zaidi.Jide anaonekana mkubwa kwenye industry kwa sababu ya kujiweka karibu na manguli wa industry na ni king'ang'anizi kwenye game na ndio maana kipindi kile mashindano ya kolla Africa mwakilishi kila mwaka alikuwa yeye tu na alikuwa anarudi bila tuzo miaka yote,means connection ilikuwa inamsaidia na sio uwezo.JIDE AMENG'AA KWENYE KIPINDI AMBACHO HAKUNA USHINDANI KAMA SASA ILIKUWA MSANII UKIBAHATIKA KUINGIA STUDIO TAYARI NGOMA INA HIT,hii haimaanishi tayari wewe ni msanii mzuri
Uko sahihi, juzi nilikuwa nasikiliz
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
sinza pazuri huwa unaropoka na kuandika vitu kimuhemko, utakuwa na maisha magumu sana kwenye hii dunia. Zuchu umemjua lini ? Mida huu saa 15:22 nipo na Jamaa anaitwa Mzazizo ni moja ya watu wanaomuandikia Zuchu nyimbo.
Wewe ni Kijana wa hovyo na umejaa ushabiki maandazi tu hujui kitu. Nyerere aliikomboa Tanzania mikononi mwa Wakoloni halafu leo hii uje useme eti Jakaya Kikwete ni Tajiri kuliko Nyerere. Muache Jide kumfananisha na Zuchu kila kitabu kina zama zake.
Nakupa assignment mtafute Mzazizo ni nani ?
Hawapaswi hata kumlinganisha na Jay Dee, ni kama leo umlinganishe Prof Jay na Young Lunya.Kwenye kipaji jide amemuacha sana Zuchu ila mtoa mada kazungumzia uandishi
Kama sio label inambeba alikuwa wapi miaka yote kutoka?Mbona queen darling na lavalava wapo wcb lakini hawabebwi na label??
Kumbe kulikuwa na mjadala
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Harmonize nae vipi hakubebwa na label?Kama sio label inambeba alikuwa wapi miaka yote kutoka?
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌Lady Jay Dee anaimba kwaya.