Uzi bila picha ni majungu tuJina jipya la nauli mpya ni kwamba ni nauli za Samia, wanadau tulimchsgua wenyewe, i ngawa ukweli ni kwamba kadondokewa na bahati. Ila ukweli kipindi cha Samia wamepandisha nauli mara 2 au 3 hivi, na wanatarajia mwakani wqpandishe muda kama huu tena hii ndio makubaliano yao na Latra.
Nauli kupanda sio tatizo ila tatizo ni kuoanda kwa gharama za maisha, na hawana mpango wa kushusha hizi gharama zaidi ya wao wenyewe kuneemeka. Raia nao wanangoja labda Mbowe na familia yake waandamane kuwatetea wa wakiwa wamelala.
Endeleeni kufaidi nauli za Samia.
Mafisadi yamekamata system hana namnaNa kweli hizi ni Nauli za Samia. Mama anawachekea mno tatizo.
Majungu gani wewe mpumbavu?;kwamba nauli hazijapanda auUzi bila picha ni majungu tu
Mama anafungua nchiNa kweli hizi ni Nauli za Samia. Mama anawachekea mno tatizo.
Wanamkusanyia za kampeniMafisadi yamekamata system hana namna
Hapa tulipigwa aseeWanamkusanyia za kampeni
Mama anapishana na wakina KLM huko anganiKIZIMKAZI hana muda na Watanganyika. Majizi yanajipangia nauli tu. YY anasubilia majanga ndio atulie ndani y nchi. Kama majanga hakuna anasepa majuu huku anawachia wajipigie.
Hii ni kweli, nampenda ruto huwa anazungumzia kupanda kwa bei ya bidhaa Kenya, huyu wetu sijawahi msikiaHuyu Mama tangu amekabidhiwa nchi, kila kitu kimepanda bei karibia mara dufu!
Halafu huwezi kumsikia mahali akizungumzia hii changamoto ya bidhaa kupanda bei mara dufu, huku kipato cha mwananchi kikiendele kubakia vile vile.
Yaani kwake anaona kama ni jambo tu la kawaida!! Hata sioni kama anaguswa na haya maumivu wanayopitia wananchi wengi kuhusu huu upandaji maradufu wa gharama za maisha!! So sad!! [emoji853]
Ni balaa tupu mkuu, nimepanda Moshi - Arusha badala ya 3,000 sahivi ni 5,000Habari za asubuhi!
Baada ya tangazo kuwa nauli mpya ya magari ya usafiri wa umma kuanza leo tarehe 08 Desemba 2023 natumaini kuna wana JF ambao wamepata bahati ya kusafiri siku ya kwanza ya nauli mpya.
Umeingia kwenye chombo cha usafiri leo, ukilinganisha na jana au siku za nyuma umelipa shilingi ngapi kutoka point A to B?
Nauli kwaki imepanda kiasi gani? Umepata changamoto yoyote kulipia ongezeko?
Safari njema huko.
Huyo Maza hatufai kwakweli, ni mbinafsi na mtu wa kupenda kikiYaani kwake anaona kama ni jambo tu la kawaida!! Hata sioni kama anaguswa na haya maumivu wanayopitia wananchi wengi
Jina jipya la nauli mpya ni kwamba ni nauli za Samia, wanadau tulimchsgua wenyewe, i ngawa ukweli ni kwamba kadondokewa na bahati. Ila ukweli kipindi cha Samia wamepandisha nauli mara 2 au 3 hivi, na wanatarajia mwakani wqpandishe muda kama huu tena hii ndio makubaliano yao na Latra.
Nauli kupanda sio tatizo ila tatizo ni kuoanda kwa gharama za maisha, na hawana mpango wa kushusha hizi gharama zaidi ya wao wenyewe kuneemeka. Raia nao wanangoja labda Mbowe na familia yake waandamane kuwatetea wa wakiwa wamelala.
Endeleeni kufaidi nauli za Samia.
sasa kila chapisho mnamsifia, mnategemea nini?Huyu Mama tangu amekabidhiwa nchi, kila kitu kimepanda bei karibia mara dufu!
Halafu huwezi kumsikia mahali akizungumzia hii changamoto ya bidhaa kupanda bei mara dufu, huku kipato cha mwananchi kikiendele kubakia vile vile.
Yaani kwake anaona kama ni jambo tu la kawaida!! Hata sioni kama anaguswa na haya maumivu wanayopitia wananchi wengi kuhusu huu upandaji maradufu wa gharama za maisha!! So sad!! 🙁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mvuti - Kariakoo, jana nilipanda kwa 1100
Leo ni 1400
Kazi nzuri toka kwa Mama