kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Sisi wabunge hatukuchaguliwa na wananchi bali tuliteuliwa na mamlaka hivyo msitegemee tuwatetee kabisa zaidi ya kuilinda mamlakaDa kweli nchi hii hakuna kabisa wa kutetea wananchi hao wabunge wenyewe wanaangalia maslahi yao tu
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app