Nauli mpya za Mabasi zimeanza kutumika, vipi Mdau ulishirikishwa kupanga nauli hizo?

Nauli mpya za Mabasi zimeanza kutumika, vipi Mdau ulishirikishwa kupanga nauli hizo?

Wananchi wameumizwa haswa. Katika historia yetu haijawahi tokea nauli zikawa juu kiasi hiki kwa mkupuo moja.
Nauli zimepanda kiwango kikubwa wakati petrol imeshuka kidogo (najua petrol is not the only determiant factor katika kuamua nauli), but by all measures zimepanda bila kufikiria uwezo wa walio wengi watumiaji na ukweli wa soko la uendeshaji biashara ya usafirishaji.

CHADEMA, ZITO, MARIA SARUNGI, FATA KARUME ....and any others, lisemee hili!
CCM najua ni walafi hawana habari na yeyote!!
Hawa jamaa ni wezi sana sana
 
Wananchi wameumizwa haswa. Katika historia yetu haijawahi tokea nauli zikawa juu kiasi hiki kwa mkupuo moja.
Nauli zimepanda kiwango kikubwa wakati petrol imeshuka kidogo (najua petrol is not the only determiant factor katika kuamua nauli), but by all measures zimepanda bila kufikiria uwezo wa walio wengi watumiaji na ukweli wa soko la uendeshaji biashara ya usafirishaji.

CHADEMA, ZITO, MARIA SARUNGI, FATA KARUME ....and any others, lisemee hili!
CCM najua ni walafi hawana habari na yeyote!!
Wakikamtwa na kutekwa kuuwawa kwa uchochezi nyie ndo wakwanza kushangilia et chadomo ooh wanatumiwa na mabeberuuu....

Sasa tulieni dawa iwaingie..... mpaka mseme kwa kitnganyika na bado ccm ndo chama dola lenye hadhi ya utawala na zalendo... chadomo hawana hata ofisi
 
Kataaa CCM na upinzani hawana uwezo wa kuongoza solution tupate katiba mpya ukubtukiendelea kuikataa CCM, mana inaumiza wananchi na kuletea umaskini , CCM inatengeneza mabwenyenye, mda si mrefu tutakuwa na mamwinyi
 
Kuna Tanzania na Tanganyika bro unaongelea ipi? Hao wote uliowataja ukimtoa kabwe na act yake ambao no watanzania hao wengine ni watanganyika jamii ya watu wa hovyo Duniani kwasasa. Kama walivyokubali kuporwa ardhi yao ndio watakavyoporwa uhuru wao na chochote kilicho chao
Saa nyingine common sense sio common sense kihivyo

Ukraina wameporwa ardhi yao?. Huo ni uhalisia?.

Tanganyika ardhi yake imeporwa wapi...?
...tuwekee ushahidi hapa tuwatume JWTZ-Six wawaondoe waporaji. Zaidi ya hapo punguza matusi.

Mh. Zelenski... Unafikiri kwanini Ukraina wameporwa ardh?

Jibu unalo.... ni "Watu wa hovyo Duniani" au?

Use your most recent common sense. Duh
 
CHADEMA wameshindwa kutumia vizuri ruzuku. Ruzuku ni fedha zillizotoka kwenye sehemu ya kodi zetu Wananchi.
CHADREAMERS Wameshindwa kujitetea kuweka hata mafuta kwenye helikopta. Ndio waje watusemee sie Watanzania?

Wameshindwa kuwasemea 'Sauti ya Watanzania' tena wenzao hao, ndio waje watusemee sie Wananchi?

Wamesusa!



Wakisusa tutafanyaje?
 
Dizeli na Petroli ni shs ngapi vile? Kama maguta yamepanda bei, nauli zitaachaje kupanda.
 
CHADEMA wameshindwa kutumia vizuri ruzuku. Ruzuku ni fedha zillizotoka kwenye sehemu ya kodi zetu Wananchi.
CHADREAMERS Wameshindwa kujitetea kuweka hata mafuta kwenye helikopta. Ndio waje watusemee sie Watanzania?

Wameshindwa kuwasemea 'Sauti ya Watanzania' tena wenzao hao, ndio waje watusemee sie Wananchi?

Wamesusa!



Wakisusa tutafanyaje?
Mkuu naona ni vema uanzishe Uzi wako,wa kuuliza matumizi ya ruzuku ya CDM.Huu uzi unahusu nauli sio matumizi ya ruzuku ya chama.
 
Wananchi wameumizwa haswa. Katika historia yetu haijawahi tokea nauli zikawa juu kiasi hiki kwa mkupuo moja.
Nauli zimepanda kiwango kikubwa wakati petrol imeshuka kidogo (najua petrol is not the only determiant factor katika kuamua nauli), but by all measures zimepanda bila kufikiria uwezo wa walio wengi watumiaji na ukweli wa soko la uendeshaji biashara ya usafirishaji.

CHADEMA, ZITO, MARIA SARUNGI, FATA KARUME ....and any others, lisemee hili!
CCM najua ni walafi hawana habari na yeyote!!
Sawa, lakini Kwanini kila siku sisi wananchi tusubiri Chadema waongee? Je sisi hatuwezi kuongea kwa vitendo Hadi tusubiri Chadema? Jibu ni hapana. Chadema tulieni Hadi sisi wananchi akili zitukae Sawa. Hatuwezi tukawa na taifa la wajinga la kusubiri Hadi Chadema na wanaharakati kutusemea minyororo tunayofungwa kila siku na Hawa wakoloni weusi na matapeli.
 
Nauli za Samia zinalenga kuwasaidia matajiri waliokopa BENKI kupata fedha za kulipa mikopo.

Kumbuka Kuna Mbunge wa Morogoro [Abuu] mwenye Mabasi zaidi ya 200 yana safari za Da-Moro-dodoma-Mbeya-Arusha.

Waziri anayejiita Msukuma ana mabasi, mawaziri wana makampuni ya usafirishaji.
Shemeji yetu[mume wa bi'tukinao ndio mkuu wa wanaopandisha nauli], ameridha na amesema walio omba ni Super Feo na sijui mpuuzi gani.
Itakuwa kilio na kusaga meno kwa abiria walala hoi
 
Kama ilivyo ada kwa UVCCM kupongeza mazuri ya serikali, basi ni wakati muafaka UVCCM waandae maandamano ya kumpongeza Raisi kwa kupandisha bei ya nauli, ili wabunge wenye mabasi akina Abood, Msukuma na wengine akina Super Feo watajirike.

UVCCM itapendeza kama maandamano ya kupongeza nauli mpya yatafanyika jumatatu 11-12-2023.

USAFIRISHAJI: Leo Desemba 8, 2023 Watumiaji wa huduma za Usafiri za Mabasi ya Masafa Marefu (Mabasi ya Mikoni) na Mafupi (Daladala) wanakutana na gharama mpya za Nauli.

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), nauli za Mabasi yote zimepanda baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Watoa Huduma na Wadau wa Usafiri (Wananchi).

Mama toka aingie madarakani, si mafuta, si tozo, si nauli zinapanda tu na hata mafuta soko la dunia yapo chini sana sema hizi kodi ni zaidi ya nusu ya bei.
.@Lucas mwashambwa atang'aka
 
USAFIRISHAJI: Leo Desemba 8, 2023 Watumiaji wa huduma za Usafiri za Mabasi ya Masafa Marefu (Mabasi ya Mikoni) na Mafupi (Daladala) wanakutana na gharama mpya za Nauli.

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), nauli za Mabasi yote zimepanda baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Watoa Huduma na Wadau wa Usafiri (Wananchi).
Watu tunasukuma X5 unatuuliza nauli?
 
Back
Top Bottom