Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Nenda hadi India atl $404 nafikiri ukifika India kata ticket uende China utakua umepunguza gharama!
Stop pretending and giving yourself false hope in fact be real dude.Hapana haiwezekani ikawa hivyo.
Hata hivyo million 11 tu? Hela ndogo sana iyo. Mshahara wa rubani wangu wa private jet Gulfstream kwa saa ikiwa angani.
Ni hela ndogo sana hiyo!Kuna gharama ya kukaa carantine huko pia ambayo kwa siku ni $ kadhaa
Ila wabongo sahv upepo wameuhamishia uturuki,kuanzia wafanya biashara wa bidhaa,wauza nyapu wote uturuki
Ova
Unawazungumzia machinga Hawa Hawa wa nchi hii au Kuna wengine[emoji848]Usifikirie idadi ndongo wa marubani wa TZ ambao hawazidi 10.
Fikiria maelfu ya machinga wadogo wanaoenda China
Million 11 Tsh
Dude please forgive me for being a major permanent pain in ur fakn @$$.Stop pretending and giving yourself false hope in fact be real dude.
Imeshuka ilikuwa 15MNauli ya kwenda Ganzhou, China imefikia Million 11 . Hiyo Ni kwenda tu. Kuhusu malazi , matumizi na nauli ya kurudia bado ni juu yako. Naona Rais amefungua nchi kwa wageni tu , Ila si kwa wa-TZ .
Machinga wenzangu mtaji upo?
TomatoSosi….
Umeamua kubisha sababu tu hujui au? Hiyo ndio nauli, ikiwa unaona kubwa basi sawa Ila uhalisia ndio huoHakuna nauli kama hiyo hata kama mtu ataenda nchi yoyote hapa duniani! Acha kudanganya watu hapa!
Sio kila kitu ni cha maskini,nyie endeleeni kushangilia ununuzi wa ndege..Nauli ya kwenda Ganzhou, China imefikia Million 11 . Hiyo Ni kwenda tu. Kuhusu malazi , matumizi na nauli ya kurudia bado ni juu yako. Naona Rais amefungua nchi kwa wageni tu , Ila si kwa wa-TZ .
Machinga wenzangu mtaji upo?
Mkuu ndege za nchi gani zinafanya hivyo ? Yaani ndege ipi inayo acha seat moja na nyengine ndio mtu anakaa?Uliza sababu ,wachina bado wanaogopa Covid sasa kwenye ndege mna keep distance unakuta ndege ya kubeba watu 200 mko watu 30 so mnafidia gharama za hawa 170 ambao hawajapanda.
Ovyo kabisa hawa wachina
Siyo kweli! Weka ushahidi!Nauli ya kwenda Ganzhou, China imefikia Million 11 . Hiyo Ni kwenda tu. Kuhusu malazi , matumizi na nauli ya kurudia bado ni juu yako. Naona Rais amefungua nchi kwa wageni tu , Ila si kwa wa-TZ .
Machinga wenzangu mtaji upo?
Get life and stop selling your a.ss because nobody is going buy it.Dude please forgive me for being a major permanent pain in ur fakn @$$.