Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utapeli uleBas. Nimeamini bakressa anawaibia wanaonenda kule na Kuja huku elf 25000 kwa Kim 70 tu Sumatra wako tu
HV kuna boti ya moja kwa moja
Hizo km91 ni almost kutoka Arusha to Moshi,ambapo ni Tsh 3000 kwa basi.Ni km 91 siyo 36
Hizi nauli yake n ngapi kwa sasaHizi boti za kisasa za fast ferries ndio zimesababisha nauli zipande Kwa sababu ni nzuri,abiria mnakaa Kwa mpangilio,Zina spidi na Huduma zote Kwa ujumla,tofauti na boti za zamani ambazo safari hiyo ingekuchukua masaa zaidi ya 10 Kwa gharama nafuu zaidi.
Pia bahati Ina resistance sana hivo nguvu hutumika zaidi kukata maji tofauti na Barabara,km 10 za bahati tofauti na km 10 za Barabara. Basi mshindane kukimbia 100m Kwa kuogelea na mwingine akimbie ndio utajua mziki was maji
30,000/= bei mpyaHizi nauli yake n ngapi kwa sasa
Kwan washindani wamezuiwa na sheria?? Si unanunua boti yako unachaji buku mbili kuwakomoa mkuu??Jana nimemkatia mtu v.i.p elf 35 Ni dkt alikwenda kwenye semina
Ni ghli Sana sijapenda na akuna alternative au washindani wengi ktk hyo viasha na muda wa boti Ni saa moja saa sita .na saa kumi
Kampuni Ni mbil tu Zanzibar feri na Kilimanjaro expresView attachment 2153352
Yutong za mchina[emoji3]Hv mnajua Bei ya boti,au mnataka kufananisha na yotong za kwenda kwenu?
Ni safari ya muda gani kwa boti ya mwendokasi, je, wakitoza nusu ya hiyo bei hawapati faida?30,000/= bei mpya
Safari ni lisaa limoja au lisaa limoja na robo au 1/2 ila inategemea na boat.Ni safari ya muda gani kwa boti ya mwendokasi, je, wakitoza nusu ya hiyo bei hawapati faida?
Una uhakika boss?91 nyingi sanaNi km 91 siyo 36
zile boti zina engine za jet umeshawahi kujiuliza zinakula mafuta kiasi gani? boti moja ukiacha captain ina mabaharia karibu 17 ushajiuliza mishahara yao? bei ya boti ikiwa mpya na mataengezo yake?Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
Basi linate each juu ya maji?Shida sio kuona shida ni hao Ewura
NB toka zenji hadi daslam ni 36Km ambapo kwa bas almost ni 2000 to 3000