Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Sio JF tu ni media zote kwa sasa....Kiukweli Diamond kwa sasa ni kama anawabaka wasanii wenzake, ingekuwa ni uwezo wao wangemfanyaje sijui.
Sio JF tu ni media zote kwa sasa....Kiukweli Diamond kwa sasa ni kama anawabaka wasanii wenzake, ingekuwa ni uwezo wao wangemfanyaje sijui.
Niko Hapa Kutoa Dukuduku Langu
Evelyn kitu kikiwa kizuri sifia mwaya achana na huyo team maandazi.Wallah DIAMOND ni ALMASI
yan leo kanipa raha sana kuliko siku zote
Tena Unakuta Mada Ni IleIle
anatawala mediaz mpaka anaboa eeee!!!! buhaahahahaaaa, si walisema mondi mwisho msata mjini ni mwana??? wakunikumbusha mashairi ya mwana kidole juu, simply hakunaaaaaa sasa hivi ni mwendo wa kuota tuu sijui tutampata wapi na badooooooooo
anatawala mediaz mpaka anaboa eeee!!!! buhaahahahaaaa, si walisema mondi mwisho msata mjini ni mwana??? wakunikumbusha mashairi ya mwana kidole juu, simply hakunaaaaaa sasa hivi ni mwendo wa kuota tuu sijui tutampata wapi na badooooooooo
Mkuu unaonaje ukianzisha thread ya besti naso au huseni machozi tuone muitikio wake.
Tena Unakuta Mada Ni IleIle
Niko Hapa Kutoa Dukuduku Langu
Evelyn kitu kikiwa kizuri sifia mwaya achana na huyo team maandazi.
Yaan bila habari za Diamond hili jukwaa litakufa wajamenii yaan karibia thread zote ni Diamond sasa wamuongelee naniii hayupo ni Dai tu kwa afya yako
Singo yangu lazma DAI aimbe ile mistari miwili ya mwisho stay tunedmh! Hii Hari Sasa Imezidi Mipaka
Sikutegemea Kama Nawe Yangekupata Haya
Ila Hongera Kwa Kupewa Raha!