Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Sio JF tu ni media zote kwa sasa....Kiukweli Diamond kwa sasa ni kama anawabaka wasanii wenzake, ingekuwa ni uwezo wao wangemfanyaje sijui.
anatawala mediaz mpaka anaboa eeee!!!! buhaahahahaaaa, si walisema mondi mwisho msata mjini ni mwana??? wakunikumbusha mashairi ya mwana kidole juu, simply hakunaaaaaa sasa hivi ni mwendo wa kuota tuu sijui tutampata wapi na badooooooooo