ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Huko AU makao makuu Addis Ababa Ukitembelea utakutana na Statue zake !Lawama lazima abebeshwe kama ambavyo kikwete, magu, na sasa samia wanavyolaumiwa,
Yaani lawama hazikwepeki kwa kuwa yeye ndio alikua kiongozi,
Inchi ilimshinda na hii ndio statement sahihi
Sahihi kabisa 🙌👍Kwa umri wako mimi binafsi nilitegemea ungejua kilichotokea kwanza kwa experience to na pili kwa kusoma vitabu.
1970, mi niko la saba, namaliza primari.
Maisha ya kula mkate kwa Kenya Butter ilikuwa kwa sana.
Gramaphone za Grundig, magari za peugeot, vitanda vya Vono na sofa za wahindi ndio yalikuwa maisha.
1967, Mwalimu alitaifisha njia kuu za uchumi, mabenki viwanda, makampuni kama Bima, etc.
Wazalendo wakapata ajira kiuongozi na kukaa na mameneja wazalendo.
Kuanzia 70s Mwalimu alijenga viwanda vingi sana, vya tumbaku, chai, nguo n.k., makampuni ya mabasi KAMATA. UDA,RETCO Regional Transpot Corporations kila mkoa makapuni ya kusaga mazao NMC,Makampuni ya biashara mkoa, RTC, mameneja wazalendo.
Management ya viwanda na makampuni miaka ya kati ya 70s ilikuwa si nzuri, wizi kwa wingi kwenye mashirika ya umma.
Mashirika yalikuwa hayana mwenyewe na yakaanza kuzalisha losses.
Lossess zilifidiwa na ruzuku (kodi za wananchi)
1978, Idi Amin ndo akaja malizia kabisa katika downward decline ya uchumi.
Magari, malori, chakula, vijana wenye nguvu, ununuzi wa silaha nzito nzito ndio vikaumaliza uchumi kabisa.
1979, tuliposhida vita Mwalimu alitamka wazi kuwa itachukua miezi 18 kurudisha uchumi katika hali yake ya kawaida. Wachumi walmdanganya Malimi, hata baada ya miaka 18 hali ya uchumi na kushuka kwa thamani ya fedha za Tanzania ikawa hali ndio mbaya sana.
Wakati huo huo watu wakazaliana kwa wingi kugawana kile kidogo kilichopo. Wakti wa uhuru tulikuwa milioni 9, sasa miaka ya 70 tuko mara mbili au zaidi kufika miaka ya 80, mara tatu na zaidi.
Kiukweli hatuwezi kumlaumu Mwalimu kwa downward slide ya uchumi kutokana na ukweli kuwa wazalishaji waliendelea kuwa wachache na midomo ya kula kama mtoa mada iliendelea kuwa mingi sana.
Waalendo walikuwepo tena walishiriki kuyaua mashirika ya umma, sasa umlaumu Mwalimu kwa lipi?
Viwanda vilikosa malighafi au?..hivi ni visingizio tu,yule mzee ni failure number onePesa yote ilielekezwa kwenye kumshughulikia Nduli !
Mpaka Magari binafsi baadhi yake yalikuwepo huko Front !
Kwahiyo kwa vyovyote vile Uchumi lazima ulitetereka na ndipo Mabeberu wakawa wamempata Mwalimu pale walipotaka kumpata !
Ila alikata watu mishahara kuchangia harakati za ukombozi kusini mwa africa,unajua kipindi hicho tuliongoza kupokea misaada,lakini hakujenga shule ya sekondari hata mmoja,lami ikawa suala la peponi,mnasikia simuulizi tuNyerere anastahili heshima popote anapopewa mpaka leo hii. changamoto za dunia ile sio sawa na hizi za miaka ya sasa. Nchi nzima chuo kikuu kilikuwa kimoja tu.
Unasafiri kutoka Dar mpaka Tanga usiku kucha wakati ni mwendo wa masaa mawili tu.
Ingekua hatuwezi kuvinunua maduka yasingekua mengiNaamini ulikuwa mdogo kipindi kile !
Kulikuwepo na upungufu kidogo wa baadhi ya vitu tena haikuwa kwa nyakati zote!
Kipindi kile tulikuwa tukipata bidhaa zote kwa bei Elekezi iliyokuwa ikitolewa na tume ya bei !
Kwahiyo mambo kama ya sasa ya watu kukamuliwa bei na wanyonyaji hayakuwepo !
Na Mwalimu alituonya kwamba zitafika zama vitu vyote mnavyovitamani vijae madukani vitu vya anasa na kadhalika
Vitakuwepo madukani lakini wengi wenu hamtoweza kuvinunua mtaishia kuviangalia kwenye Vioo vya Madukani 🙄
Je ni kweli au sio kweli ???!! 😳😳
Kaangalie kule mlingotini kulivyododa. Utafikiri mwenge haukufikiriwa kuanzishwa kule 🤣 🤣 🤣Mkuu umejuaje uchawi hauvuki bahari
Ngoja nikusahishe Kwanza,wewe ni kati ya wale waliosoma historia zilizopotoshwa, Ngoja nikupe historia ya Vita vya Tanzania na Uganda, Iddy Amini Dada alipompindua Miritoni Obote alikimbilia Tanzania kwa rafiki yake Nyerere,kwa kushirikiana na Yoweri Museveni na Obote walijaribu kurudi Uganda kwa mtutu wa bunduki wakitokea Tanzania ikashindika, wakafurushwa na majeshi ya Iddy Amini,Kwa umri wako mimi binafsi nilitegemea ungejua kilichotokea kwanza kwa experience to na pili kwa kusoma vitabu.
1970, mi niko la saba, namaliza primari.
Maisha ya kula mkate kwa Kenya Butter ilikuwa kwa sana.
Gramaphone za Grundig, magari za peugeot, vitanda vya Vono na sofa za wahindi ndio yalikuwa maisha.
1967, Mwalimu alitaifisha njia kuu za uchumi, mabenki viwanda, makampuni kama Bima, etc.
Wazalendo wakapata ajira kiuongozi na kukaa na mameneja wazalendo.
Kuanzia 70s Mwalimu alijenga viwanda vingi sana, vya tumbaku, chai, nguo n.k., makampuni ya mabasi KAMATA. UDA,RETCO Regional Transpot Corporations kila mkoa makapuni ya kusaga mazao NMC,Makampuni ya biashara mkoa, RTC, mameneja wazalendo.
Management ya viwanda na makampuni miaka ya kati ya 70s ilikuwa si nzuri, wizi kwa wingi kwenye mashirika ya umma.
Mashirika yalikuwa hayana mwenyewe na yakaanza kuzalisha losses.
Lossess zilifidiwa na ruzuku (kodi za wananchi)
1978, Idi Amin ndo akaja malizia kabisa katika downward decline ya uchumi.
Magari, malori, chakula, vijana wenye nguvu, ununuzi wa silaha nzito nzito ndio vikaumaliza uchumi kabisa.
1979, tuliposhida vita Mwalimu alitamka wazi kuwa itachukua miezi 18 kurudisha uchumi katika hali yake ya kawaida. Wachumi walmdanganya Malimi, hata baada ya miaka 18 hali ya uchumi na kushuka kwa thamani ya fedha za Tanzania ikawa hali ndio mbaya sana.
Wakati huo huo watu wakazaliana kwa wingi kugawana kile kidogo kilichopo. Wakti wa uhuru tulikuwa milioni 9, sasa miaka ya 70 tuko mara mbili au zaidi kufika miaka ya 80, mara tatu na zaidi.
Kiukweli hatuwezi kumlaumu Mwalimu kwa downward slide ya uchumi kutokana na ukweli kuwa wazalishaji waliendelea kuwa wachache na midomo ya kula kama mtoa mada iliendelea kuwa mingi sana.
Waalendo walikuwepo tena walishiriki kuyaua mashirika ya umma, sasa umlaumu Mwalimu kwa lipi?
Jikite kwenye mada, aliharibu inchi na huo ndio ukweli, na ukweli haunin'giniiHuko AU makao makuu Addis Ababa Ukitembelea utakutana na Statue zake !
A true son of Africa
A true Statesman of Africa
That’s Mwalimu 🙏🙏
RIP.
Tulisoma bure na shule nyingi zilikuwa na viwango bora vya ufundishaji. Changamoto zilikuwa nyingi kwake ukizingatia wasomi walikuwa wachache sana.Ila alikata watu mishahara kuchangia harakati za ukombozi kusini mwa africa,unajua kipindi hicho tuliongoza kupokea misaada,lakini hakujenga shule ya sekondari hata mmoja,lami ikawa suala la peponi,mnasikia simuulizi tu
Huoni jinsi usivyo kuwa na akili?Kuna ajenda ya siri nyuma ya kutukuzwa sana kwa Nyerere, lakini ukiangalia hali ilivyokua kipindi chake mfano umasikini nankushughulikiwa kwa walipishana nae mawazo kama Oscar Kambona.
Mbona kama umepanick, padri alisemaHuoni jinsi usivyo kuwa na akili?
Kutakuwaje na "ajenda ya siri..." kwa kiongozi ambaye hayupo tena, lakini wajinga wa aina yako bado mnahangaika na 'legacy' ya uongozi wake?
Nani ana ajenda hapa kama siyo nyinyi? Ajenda yenu ni nini?
Namna unavyo andika tu inaonyesha wazi wewe huna uelewa wala ufahamu wa kujadili jambo kama hili kwa kutumia akili zako mwenyewe.
Umehitimu wapi/chuo gani; kile cha Kariakoo kwa mzee Mohammed na wazee wake?
Nikisema uwezo wako wa kufikiri ni mdogo usidhani nabahatisha. Nimeweka hiyo mifano ya Kenya na Ethiopia kwa maksudi kabisa kuonyesha kuwa tatizo la njaa halikuwa kwa Tanzania pekee, na halikusababishwa na uongozi mbaya kama mnavyo taka kuaminisha watu. Lakini wewe hilo nalo huna uwezo wa kulitilia maanani.Naona mfuasi wa Nyerere, mada imekupiga kwenye mshono, sasa kama uko Ethiopia na Kenya walitaabika ndio halali na sisi tutaabike.
Tatizo hapa kuna watu wanajadili kishabiki sababu tu wanamapenzi na Nyerere,Wazee wa Zamani waelewa huwa hawamkubariHuoni jinsi usivyo kuwa na akili?
Kutakuwaje na "ajenda ya siri..." kwa kiongozi ambaye hayupo tena, lakini wajinga wa aina yako bado mnahangaika na 'legacy' ya uongozi wake?
Nani ana ajenda hapa kama siyo nyinyi? Ajenda yenu ni nini?
Namna unavyo andika tu inaonyesha wazi wewe huna uelewa wala ufahamu wa kujadili jambo kama hili kwa kutumia akili zako mwenyewe.
Umehitimu wapi/chuo gani; kile cha Kariakoo kwa mzee Mohammed na wazee wake?
Unajua maana ya hilo neno "kupanic(k)" ni nini?Mbona kama umepanick, padri alisema
nyerere hakuwa malaika,amekosea mengi tu,
Siku ya pili wakamuweka ndani, hata sasa hamuheshimu mawazo ya wengine kama ambavyo wewe umejibu maoni ya mdau
WasiwasiUnajua maana ya hilo neno "kupanic(k)" ni nini?
Mpaka anang’atuka bado tulikuwa na pesa yetu ikiwa Strong !Jikite kwenye mada, aliharibu inchi na huo ndio ukweli, na ukweli haunin'ginii
Kama si mzee Mwinyi (MUNGU amrehemu)tungekuwa kama zimbabwe
Ni wazee wapi hao?Tatizo hapa kuna watu wanajadili kishabiki sababu tu wanamapenzi na Nyerere,Wazee wa Zamani waelewa huwa hawamkubari
HHeNikisema uwezo wako wa kufikiri ni mdogo usidhani nabahatisha. Nimeweka hiyo mifano ya Kenya na Ethiopia kwa maksudi kabisa kuonyesha kuwa tatizo la njaa halikuwa kwa Tanzania pekee, na halikusababishwa na uongozi mbaya kama mnavyo taka kuaminisha watu. Lakini wewe hilo nalo huna uwezo wa kulitilia maanani.
Hebu nikuulize kulikuwa na Sababu gani ya Tanzania kuingia Vitani na UgandaMpaka anang’atuka bado tulikuwa na pesa yetu ikiwa Strong !
Hakukubali kugeuka jiwe na ndio maana akaamua kung’atuka. !
Watu wengi wenye Chuki na Mwalimu wanazo hidden causes za kwanini wanamchukia na kumsema vibaya. !
Na hiyo huwezi ukawazuia watu wasimchukie au kumsema vibaya !
Lakini tuliokuwepo ENZI zile na ambao hatukuona ubaya wowote anaopakaziwa na wabaya wake tutaendelea kumkumbuka kwa Mazuri yake ambayo yalikuwa mengi na tutamsamehe kwa yale machache aliyokosea 🙏🙏🙌
Pumbas,Ni wazee wapi hao?
Hata leo hii, pamoja na kwamba Mwalimu alikwisha fariki siku nyingi; ukipitisha kura kumshindanisha Samia na Nyerere katika uongozi, Samia haambulii kitu.