Ngoja nikusahishe Kwanza,wewe ni kati ya wale waliosoma historia zilizopotoshwa, Ngoja nikupe historia ya Vita vya Tanzania na Uganda, Iddy Amini Dada alipompindua Miritoni Obote alikimbilia Tanzania kwa rafiki yake Nyerere,kwa kushirikiana na Yoweri Museveni na Obote walijaribu kurudi Uganda kwa mtutu wa bunduki wakitokea Tanzania ikashindika, wakafurushwa na majeshi ya Iddy Amini,
Baadaye kwa Sapoti ya jeshi la JKT bado ikashindikana,ndipo Amini akawafurusha mpaka kagera,ost yangu siijagusia hapo likaingilia jeshi la JWTZ, kuwafukuza ndani ya mipaka yetu
Sababu targeti ya Nyerere ilikuwa kumrudisha madarakani rafiki yake Obote ikabidi Vita viwe vya mda mrefu mpaka Arua kalibu na mpaka wa Sudan,
Sasa jiulize hivi Vita vilivyoharibu uchumi wa Tanzania vilikuwa na umuhimu wowote,Au mchokozi alikuwa Nyerere au Iddy Amini, maana yake Obote asingepinduliwa na Iddy Amini, hivi Vita visingetokea,na Iddy Amin hakuwa mjinga aanze tu kushambulia Tanzani,kwa nini hatukumshitaki kama tulivyoshambuliwa na Burundi wakatulipa fidia,msipende kusoma historia zilizopotoshwa na watu kwa maslai ya Viongozi
Na nimekushangaa kwa kusapoti Azimio la Arusha,ni kati ya makosa makubwa aliyoyafanya Nyerere,na kumbuka inchi haikuwa na wasomi wa kutosha katika uendeshaji wa Viwanda na makampuni,
Kama shule tu walikuwa wanafundisha walimu wa UPE waliotoka kumaliza darasa la saba,unategemea hayo makampuni yaliyokuwa na management ya wasomi kutoka inche baada ya kutaifishwa yalisimamiwa na watu wenye elimu ya kutosha?
Halafu usipende kuzalau watu