gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Minaki ya wamisionari babu, nyerere hakujenga sekondari yoyote,hakukuwa na jkt kila mkoa,get your facts right bro,pawe na kambi ya jkt kila mkoa?..forodhani ni shule iliuotaifishwaSio kweli, Umbwe, Minaki, Iliboru, na nyingine nyingi zilikuwepo tangu awamu ya kwanza. Forodhani na nyingine za Dar pia zilikuwepo. usisahau juu ya umuhimu wa JKT iliyokuwepo kila mkoa na ya lazima kwa kila mtu kwenda.
Ilijenga taifa la wakakamavu wenye utayari wa kuishi kwa heshima tofauti na miaka ya sasa hakuna heshima yoyote ya kijamii.