Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Sikuwahi kuona watu wakivaa magunia!
Na Viwanda vyote vilikuwa vikifanya kazi japo ufanisi ulianza kupungua baada ya ile Vita ya Kagera !

Na Mabeberu wa IMF ndipo walipoona mwanya wa kumbana Mwalimu kwa sharti la kwamba kama anataka Mkopo ni lazima kwanza akubali thamani ya pesa ishuke kama walivyotaka wakubwa !
Mwalimu alikataa na akasema hawezi kukubali kugeuka jiwe!

Hizi ni hadithi za gahawa. Kuna wale ambao wanatunga makusudi hizi hadithi ili kuonyesha failures za Mwalimu. Lakini nyingi ni uongo na zinaenda kwa kusimuliana bila facts wala evidence
 
Tuongee ukweli kutoka moyoni,kinachowaunganisha watu kutoka moyoni ni Dini,Uisilamu Kwa Zanzibar ulikuwa zaidi ya asilimia tisini na tisa Wazanzinar walikuwa au wako Dini moja,walikuwa wanaswali pamoja,ni ngumu watu hawa kuchinjina,kuna mtu tena wa dini nyingine aliyeenda kuwatia uchonganishi
Uislamu hawachichani? Unajidanganya au unamdanganya nani? Kuwa dini moja ndio kungewapa maendeleo au mambo yao kuwa mema?

Nani kasema Zanzibar iko peponi? Mnasahau ina changamoto zake nyingi sana tena hatari kabisa. Kusema dini moja hawachinjani ni uongo mkubwa tena ni wa next level.
 
Kwani lilibka yingo kalisema?

Mimi nilikuepo, tena huyo hajaelezea waliokua wanapotea. Au walipotezwa?
. Wengine tunashukuru tulikua nabuwezo wa kuikimbia nchi.
Wewe uliyekuwa unakimbiza mwenge na kusifu zidumu fikra sahihi za mwenyekiti ulikimbilia wapi? Au wakati wa vijiji vya ujamaa ulihama kijiji kimoja kwenda kingine?
 
Mwinyi alijuwa hadhi kubwa ya uongozi aliokuwa nao Mwalimu Nyerere. Na siyo yeye pekee aliye tambua hivyo.

Hawa wanao kuja hapa na kuibua vi-mada vya hovyo hovyo ni wajukuu wa wale walionyang'anywa maslahi yao kwa manufaa ya waTanzania; au kwa sababu zao za kiimani kama wazee wa Kariakoo.
Mkuu kwa nini ukampokenye mtu mali zake, alizozipata kihalali either kwa kurithi au ku purchase.

Kama Nyerere alikuwa na nia kuwapa ardhi wananchi wasio kuwa na maeneo ya kilimo, si angewatafutia maeneo mengine coz yalikuwa yapo ya kumwaga.

Una kumbuka issues ya RC iringa kupigwa pipe na mkulima .
 
Kwasababu hujapotezwa unasema kuna afadhali? Kupotea ni kupotea tu. Na tuambie list ya watu waliopotea wakati ule ili tulinganishe na sasa.
Ninachojua ilikuwa ukizingua, unarudi kijijini kureport kwa Mwenyekiti wa Kijiji
Kwa hiyo ukirudishwa Kijiji kwa mk, baada ya hapo ni nn kinaendelea?
Hacheni kutetea uovu kisa kuona italeta picha mbaya , bali inabidi tuonyeshe ukomavu wa akili na sio uoga wa kufuga ujinga.

Rafiki wa mchoga wakule sijui Georgia, wali assassinate yy na mkewe Tena hadhari, France pia nao walimla kichwa king na queen hadhari.
Yakawa mapinduzi ya democracy and Renaissance kushika hatamu.
Wa tz tatizo lao ni uoga TU
 
Sasa si ndo ifafanue hayo matatizo sasa, hivi we jamaa una akili kweli.
Mlemavu wa akili wewe. Huna uwezo wa kutafuta taarifa hadi utafutiwe? Watu wa aina yako ndio wanao lididimiza taifa hili kwa sasa.
Napoteza muda wangu hapa na kiazi kinachooza hiki.
 
Mungu wako alipozidi kumfuatafuata,akatoa simulizi ya mwendawazimu kupitia nguo zako,akatukumbusha kuwa alitutoa foleni za unga,mtu uliwatia tabu za maisha uliowatawala lakini huchoki kubwekea uongozi ulioondoa tabu ulizowatwika watu,kana kwamba ulifanya la maana
Hiyo mipasho nayo unafikiri ni uongozi? Ndiyo hii tunayo ishuhudia sasa wakati huu, na mambo ni yale yale hakuna linalo fanyika la maana.
Katika nyanja zote, huwezi kumweka Mwinyi katika ngazi ya uongozi aliyo kuwa nayo Mwalimu Nyerere. Kama furaha yako ni hiyo mipasho, hilo ni shauri zako.
 
Hiyo mipasho nayo unafikiri ni uongozi? Ndiyo hii tunayo ishuhudia sasa wakati huu, na mambo ni yale yale hakuna linalo fanyika la maana.
Katika nyanja zote, huwezi kumweka Mwinyi katika ngazi ya uongozi aliyo kuwa nayo Mwalimu Nyerere. Kama furaha yako ni hiyo mipasho, hilo ni shauri zako.
Kiongozi hapaswi kuwatia tabu anaowaongoza, akifanya hivyo ni kiongozi wa hovyo
 
Unamsikiliza mtu kumbukumbu zake zimeliwa na mchwa,una uhakika gani hasumbuliwi na dimentia!?..rais' wa nchi kikwete alirudia mara kadhaa kuwa lami aliyoacha mkoloni ni dar-chalinze
Marehemu Mzee Kikenya ndio injinia wa kwanza Mtanzania mwenye degree ya chuo kikuu, alianza kazi kabla ya uhuru na alijenga barabara za lami kadhaa za kwanza kabla ya 1961.

Alifariki 2019. Alikuwa jirani yangu hapa mbezi beach. Namuamini kwa sababu baada ya kutuhadithia kuhusu hizo barabara akaja kuhojiwa na gazeti fulani akairudia historia hiyo hiyo kama alivyotusimulia.

Nyerere hakupata bahati ya kuzungukwa na wasomi kama hawa wanaowazunguka marais kuanzia awamu ya tatu mpaka hii ya sita.
 
Marehemu Mzee Kikenya ndio injinia wa kwanza Mtanzania mwenye degree ya chuo kikuu, alianza kazi kabla ya uhuru na alijenga barabara za lami kadhaa za kwanza kabla ya 1961.

Alifariki 2019. Alikuwa jirani yangu hapa mbezi beach. Namuamini kwa sababu baada ya kutuhadithia kuhusu hizo barabara akaja kuhojiwa na gazeti fulani akairudia historia hiyo hiyo kama alivyotusimulia.

Nyerere hakupata bahati ya kuzungukwa na wasomi kama hawa wanaowazunguka marais kuanzia awamu ya tatu mpaka hii ya sita.
Walikuwepo wasomi,akina mwakaiya waligombana huko uingereza wakigombea ukibaraka,huyo mzee wako anaweza kuwa mhandisi ila hakuwa na kampuni la kujenga barabara,alikua chini ya mkoloni,so mkoloni alijenga lami dar-chalinze kama nilivyokwambia awali
 
Walikuwepo wasomi,akina mwakaiya waligombana huko uingereza wakigombea ukibaraka,huyo mzee wako anaweza kuwa mhandisi ila hakuwa na kampuni la kujenga barabara,alikua chini ya mkoloni,so mkoloni alijenga lami dar-chalinze kama nilivyokwambia awali
Alikuwa mhandisi wa serikali, ni mkurugenzi wa kwanza mzalendo wa shirika la nyumba la Taifa. James Kikenya.

Hakuwa chini ya mkoloni ni mhandisi wa kwanza kujenga barabara za lami Tanzania na pengine ni mhandisi wa kwanza mzalendo mwenye shahada ya chuo kikuu, usiongee vitu usivyo na uhakika navyo.
 
Alikuwa mhandisi wa serikali, ni mkurugenzi wa kwanza mzalendo wa shirika la nyumba la Taifa. James Kikenya.

Hakuwa chini ya mkoloni ni mhandisi wa kwanza kujenga barabara za lami Tanzania na pengine ni mhandisi wa kwanza mzalendo mwenye shahada ya chuo kikuu, usiongee vitu usivyo na uhakika navyo.
Sasa kabla ya uhuru alikua chini ya nani,mbona unajikanganya!!?
 
Back
Top Bottom