Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Alianzia na wakoloni tulipopata uhuru akahamia serikalini. Lakini Mwalimu Nyerere alijenga barabara chache za lami.Sasa kabla ya uhuru alikua chini ya nani,mbona unajikanganya!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alianzia na wakoloni tulipopata uhuru akahamia serikalini. Lakini Mwalimu Nyerere alijenga barabara chache za lami.Sasa kabla ya uhuru alikua chini ya nani,mbona unajikanganya!!?
Wewe umeandika stori za kusoma vitabuni ambazo ziliandikwa kwa ajili ya kuwapamba Viongozi,Tofautisha viwanda alivyofitaifisha Nyerere na viwanda alivyovijenga. Ninachojua mimi baada ya Azimio la Arusha selikali ilitaifisha vitu vingi Sana, kumbuka hivi viwanda,makampuni zilikuwa na management zake,baada ya kutaifisha ilibidi waweke manegement za selikali ambazo watu wake hawana uzoefu taratibu zikaanza kupungua ufanisi mpaka kufa kabisa mfano kiwanda cha kusindika Nyama Tanganyika Pekers,kilikuwa kinaajiri zaidi ya wafanyaka 2000 kabla ya kupata uhuru na kilikuwa kinauza nyama iliyosindikwa inje ya inchi na kuiingizia Tanganyika pesa za kigeni,leo hii ni uwanjwa wa maombi,hapo wa kulaumiwa siyo Nyerere
Chukulia mfano mdogo South Afrika ya makaburu ilikuwa bora zaidi kuliko ya sasa,Nelson mandera hakuwa mjinga hakuna alichotaifisha kutoka kwa wazungu,lakini Mugambe alijikuta inaharibu uchumi wa Zimbabwe baada ya kutaifisha mashamba ya walowezi, kiuharisi aliyoyafanya Nyerere hayana tofauti na aliyoyafanya Mugabe
Una umri gani ndugu yangu!?..huenda kumbukumbu zako zina shida,labda u mzee sana!!Alianzia na wakoloni tulipopata uhuru akahamia serikalini. Lakini Mwalimu Nyerere alijenga barabara chache za lami.
Nafika ghorofa ya tano mwezi Novemba mwaka huu.Una umri gani ndugu yangu!?..huenda kumbukumbu zako zina shida,labda u mzee sana!!
Ndiyo maana, maana kihoja unasahau ulikotoka,kama u mlevi basi acha,Ili ufe kifo kisicho na maumivuNafika ghorofa ya tano mwezi Novemba mwaka huu.
Pombe zijagusa tangu mwaka 2021 August.Ndiyo maana, maana kihoja unasahau ulikotoka,kama u mlevi basi acha,Ili ufe kifo kisicho na maumivu
You are stupidMlemavu wa akili wewe. Huna uwezo wa kutafuta taarifa hadi utafutiwe? Watu wa aina yako ndio wanao lididimiza taifa hili kwa sasa.
Napoteza muda wangu hapa na kiazi kinachooza hiki.
Kuendelea kumtupia lawama Mwalimu Nyerere miaka 25 baada ya kifo chake ni uvivu tu wa kufikiri. kuamini kwamba matatizo yetu yote yameletwa na mtu mmoja wakati mfumo wa kuongoza nchi ni kazi ya taasisi nyingi zinazofanya kazi kwa pamoja.Kwa hiyo waafrika wazawa wa Afrika kusini wana maisha mazuri kuliko watanzania .
Kweli tuna watanzania wa ajabu sana.
Hivi ukichukua nyumba na ardhi ya watanzania wazawa mpaka vijijini utawalinganisha na waafrika kusini. ?
Watanzania karibu kila mtu ana ardhi ya baba na babu zake ya asili. Huo ni utajiri mkubwa sana ambao nchi nyingi zenye vita sababu kubwa ni kukosekana kwa ardhi.
Ingekua ardhi haina maana basi hata Saudi Arabia tungependa kununua maeneo yenye mafuta na kuishi huko . Zanzibar uchoyo wao mkubwa kwa watu wa bara sio kingine ni Ardhi kwa sababu wenzetu wale walitangulia mbele sana kisiasa na kiuchumi hivyo wanajua thamani ya ardhi.
Viwanda vilihujumiwa baada ya wazungu kufukuzwa na wazawa wenyewe ambao wengi wao walikua na tamaa ya mali . Mbaya zaidi ikatokea vita ya Uganda miaka miwili.
Vita ya miaka miwili ni vita kuna sana . Lazima uchumi uyumbe kwa nchi changa kama ilivyokuwa Tanzania.
Viwanda vilivyojengwa na Nyerere ni vingi sana ukilinganisha na vichache kama tule twa kuchinja vingine pale Kawe. Aliyeua Tanganyika packers sio Nyerere. Aliyeuza General tyre sio Nyerere.
Hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini Sementi inauzwa ghali wakati asilimia karibu 90 ya malighafi inatola Tanzania.
Hivi unajua unapompa nafasi kila mtu alimbikize mali bila serikali kuhoji chanzo unaua kila taasisi ya umma.
Tanzania taasisi zote zimekufa . Zote hakuna hata moja isipokua Jeshi la Wananchi pekee yake na miradi inayoisimamia japo kwa angalau kidogo. Ila hata miradi yao ya Nyumbu inauawa na Serikali ya CCM kwa kutowawezesha kwa kununa magari wa wanayotengeneza.
Mfano mimi wakati wa Supermarket za RTC wafanyakazi walikua wanashindana kuiba kila mtu jioni anatoka na sabuni,sukari,mikate ,siagi, mchele ,asali , n.k.
Wengine wanakwenda kuuza kwenye maduka binafsi ya walanguzi . Matokeo yake wananchi maskini wanashindwa kwenda kununua kwa watu binafsi kutokana na ulanguzi wa bei. Wanasubiri sukari ikiletwa ya bei rahisi wanapanga foleni . Serikali ilikua inatoa sukari kulinagana na idadi ya watu lakini wafanyakazi wa RTC walikua wanaiba sukari na kubakiza kidogo inauzwa siku moja inaonekana imeisha.
Sasa hapo Kosa la Nyerere ni lipi wakati nchi imetoka kwenye ukoloni watu ni maskini sana na wanaishi maporini kama Sup
Alianzia na wakoloni tulipopata uhuru akahamia serikalini. Lakini Mwalimu Nyerere alijenga barabara chache za lami.
Sio kwa Tanzania ambapo Rais wa nchi amehodhi madaraka yote kikatiba. Anabeba mzigo wote.Kuendelea kumtupia lawama Mwalimu Nyerere miaka 25 baada ya kifo chake ni uvivu tu wa kufikiri. kuamini kwamba matatizo yetu yote yameletwa na mtu mmoja wakati mfumo wa kuongoza nchi ni kazi ya taasisi nyingi zinazofanya kazi kwa pamoja.
Ndiye huyu huyu na huyo Mwinyi unaye mzungumzia. wewe.Kiongozi hapaswi kuwatia tabu anaowaongoza, akifanya hivyo ni kiongozi wa hovyo
Fafanua kugawa rasilimali ni kupi?Ndiye huyu huyu na huyo Mwinyi unaye mzungumzia. wewe.
Kugawa hovyo hovyo raslimali za nchi kwa wageni kama hao wawili walivyo fanya ni kuwatia tabu kubwa wananchi. Lakini kwa mtu wa aina yako huwezi kujuwa haya. Unabaki kuchekelea mipasho tu basi kama unavyo fanya hapa.
Siwezi kushindana na wewe katika hilo.You are stupid
Yale yale unarudia kila mara. Hivi huna hata moja unaloweza kujitahidi na kujitafutia taarifa; unasubiri tu upewe!Fafanua kugawa rasilimali ni kupi?
Atc,trc,ttcl,pride,mwatex,urafiki nk vyote tulidhindwa kuviendesha,mkapa akaanza ubinafsishaji,leo airtel iliyokua celtel na zain zamani,ilichukua rasilimali za ttcl,na vijana wa kitz wamepata ajira humo,kadhalika crdb, uwekezaji siyo kugawa/kuuza,acha a na fikra mgando za kijamaaYale yale unarudia kila mara. Hivi huna hata moja unaloweza kujitahidi na kujitafutia taarifa; unasubiri tu upewe!
Ukitaka mjadala huo, tutajadilana sana, tena vizuri kabisa; ila kwa sasa hivi nikufahamishe moja tu:Atc,trc,ttcl,pride,mwatex,urafiki nk vyote tulidhindwa kuviendesha,mkapa akaanza ubinafsishaji,leo airtel iliyokua celtel na zain zamani,ilichukua rasilimali za ttcl,na vijana wa kitz wamepata ajira humo,kadhalika crdb, uwekezaji siyo kugawa/kuuza,acha a na fikra mgando za kijamaa
Mapori ni kama ttcl tu,na usitumie kugawa kana kwamba nchi haiingizi kitu kupitia uwekezaji huo,huo ni ubinafsishaji kama ilivyo kwa tbl,nbc nkUkitaka mjadala huo, tutajadilana sana, tena vizuri kabisa; ila kwa sasa hivi nikufahamishe moja tu:
Kugawa mapori yetu kwa kisingizio cha uwekezaji ni uenda wazimu.
Huo mjadala wa hizo TTCL na nyinginezo, nitafute nikiwa na muda mahsusi wa kujadili hayo.
Usikimbilie kila mara kutumia neno "UJAMAA" kama kinga ya kuvuruga raslimali za nchi.
Ujamaa hauelekezi huo uharibifu. Hiyo ni tafsiri ya watu wasiokuwa na fikra za kudadisi mambo kwa kina.
Hapo sasa ndipo kwenye tatizo na inaonekana huelewi kitu mpaka nifundishe.Mapori ni kama ttcl tu,na usitumie kugawa kana kwamba nchi haiingizi kitu kupitia uwekezaji huo,huo ni ubinafsishaji kama ilivyo kwa tbl,nbc nk