mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Halafu ilikuwa haambiliki, hashauriki, mbishi na kupiga fiksi wenzie, anakumaliza huku unajionaVita alivitaka mwenyewe,miaka mitano yote hapakulimwa/ukame!?
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ilikuwa haambiliki, hashauriki, mbishi na kupiga fiksi wenzie, anakumaliza huku unajionaVita alivitaka mwenyewe,miaka mitano yote hapakulimwa/ukame!?
Sio kweli, amin sio mjinga kushindana na li inchi likubwaaa, ilikuwa planned lazima aondolewe na yeye alijua kuwa ataondoka ila hakukubali kuondoka kizembe, akijitetea akashindwa na akawapisha wenye nguvu, ila laana yake inaendelea mpaka leo na hata mileleHakuvitaka mwenyewe usiziamini sana hizi stori za vijiweni. Amin alitaka kutufanyia ubabe ikala kwake.
Ukikosea msingi, jengo haliwezi kuwa madhubuti kabisaAwamu ya pili mpaka ya sita zinafanya kazi gani?. Ni uvivu wa kufikiri kila kitu kumtupia lawama Nyerere wakati wapo waliomfuatia katika nafasi ya urais.
Siyo kweli,akina museven na obote walikua wakipata mafunzo huku kisha wanaenda kupiga uganda na kurudi,mapema tu baada ya Amin kupinduaHakuvitaka mwenyewe usiziamini sana hizi stori za vijiweni. Amin alitaka kutufanyia ubabe ikala kwake.
Uvivu ule ule wa kuumiza vichwa, Mwalimu alishaaga dunia miaka 25 iliyopiita tupambane na hali zetu kwa sasa.Ukikosea msingi, jengo haliwezi kuwa madhubuti kabisa
Amin alianza kupiga Mwanza kabla ya vita. Pia hakuishia kuichokoza Tanzania pekee. Mwaka 1972 baada tu ya kumpindua Obote akapiga Tanzania.Siyo kweli,akina museven na obote walikua wakipata mafunzo huku kisha wanaenda kupiga uganda na kurudi,mapema tu baada ya Amin kupindua
Mkuu hilo la chanzo cha vita ya Uganda ni mada tosha, na inaweza hata kuiondoa mada yako uliyoianzisha.K
Kabla ya kueleza matokea ilibidi ueleze chanzo,unajua jamii forum ni zaidi ya shule,hatutakiwi na sisi tuwe sehemu ya kuopotosha jamii,huku tunajua ukweli
Sekondari za wazazi zilianza kujengwa awamu ya tatu,awamu ya nne ikajenga sekondari lukuki, awamu ya pili isingeweza kuhangaika na shule maana nchi ilikua shaghala baghala, awamu ya tano na sita zimejenga mno shule,yeye kama mjenga msingi kwa nini alipuuzia elimu badala yake akatia nguvu harakati za ukombozi kusini mwa africa?Awamu ya pili mpaka ya sita zinafanya kazi gani?. Ni uvivu wa kufikiri kila kitu kumtupia lawama Nyerere wakati wapo waliomfuatia katika nafasi ya urais.
Uwongo,nyie wajamaa waongo waongo sanaAmin alianza kupiga Mwanza kabla ya vita. Pia hakuishia kuichokoza Tanzania pekee. Mwaka 1972 baada tu ya kumpindua Obote akapiga Tanzania.
Hili ni swali la kipuuzi kabisa.NNh
HHe
Hebu nikuulize kulikuwa na Sababu gani ya Tanzania kuingia Vitani na Uganda
Huoni wanavyomuenzi na kufuata nyayo zake?Uvivu ule ule wa kuumiza vichwa, Mwalimu alishaaga dunia miaka 25 iliyopiita tupambane na hali zetu kwa sasa.
Hapa Mzee Mwinyi ndiyo aliyefungua inchi kutoka kwenye umasikini wa kutupa,yaani kila kitu kilikuwa kibaya,mfano ilikuwa kawaida ukashinda stand ya basi mpaka siku 3 sababu hakuna usafiri unakotaka kwenda na tiketi umeshakata, no kampuni ilikuwa ni moja tu us mabasi Railway,huo mda hakuna guest mnashinda mmelala stand, hii inchi tumshukhuru
unahisi ungeishi Dar ya wazaramo bila Nyerere kupave njia ya kuondoa ukabila na udini ?Ukikosea msingi, jengo haliwezi kuwa madhubuti kabisa
Sio kweli, Umbwe, Minaki, Iliboru, na nyingine nyingi zilikuwepo tangu awamu ya kwanza. Forodhani na nyingine za Dar pia zilikuwepo. usisahau juu ya umuhimu wa JKT iliyokuwepo kila mkoa na ya lazima kwa kila mtu kwenda.Sekondari za wazazi zilianza kujengwa awamu ya tatu,awamu ya nne ikajenga sekondari lukuki, awamu ya pili isingeweza kuhangaika na shule maana nchi ilikua shaghala baghala, awamu ya tano na sita zimejenga mno shule,yeye kama mjenga msingi kwa nini alipuuzia elimu badala yake akatia nguvu harakati za ukombozi kusini mwa africa?
ila wajinga mpo wengi sana , Nyerere kaondoka madarakan mwaka 1984 ( miaka 40 iliyopita je mmekwama wapi kurekebisha makosa yake ?Mbona alikuwa analindwa sana,unazani alichokuwa anaogopa nini?
Nilijuwa toka mwanzo aina ya watu mnaoshabikia upuuzi huu ni wa kiwango cha chini kabisa.Pumbas,
Kumbe oye oye, mi nikajua gt
Acheni kusherehekea ile 14 /10 ndio tutajua mumedhamiria kuendelea.unahisi ungeishi Dar ya wazaramo bila Nyerere kupave njia ya kuondoa ukabila na udini ?
Unahis Nyerere alikuwa na kipato na nguvu gan kuondoa matatizo you tuliyo nayo ?
HIZI NI AKILI ZA UOMBA OMBA , UNATAKA KILA KITU UFANYIWE NA MTU MMOJA , INGEKUWA HIVYO BAADA YA KUONDOKA BASI TUSINGEKUWA NA RAIS TENA
Ndio uvivu wetu wa kuumiza vichwa, tunaishia kulaumu mtu aliyekwisha kugeuka mifupa mitupu huko kaburini.ila wajinga mpo wengi sana , Nyerere kaondoka madarakan mwaka 1984 ( miaka 40 iliyopita je mmekwama wapi kurekebisha makosa yake ?
wajinga mpo wengi sana , ulitaka kipi ulitaka afany Nyerere na hakufanya ?Viwanda vilikosa malighafi au?..hivi ni visingizio tu,yule mzee ni failure number one
Nilidhani ni gt kumbe hoye hoye endelea kudumisha fikra za mwenyekitiNilijuwa toka mwanzo aina ya watu mnaoshabikia upuuzi huu ni wa kiwango cha chini kabisa.
ila watu weusi , wajinga mpo wengi sanaTanganyika packers ya mzungu,aliitaifisha na ikamfia,umeorodhesha viwanda vya nguo,lakini watanzania walitembea uchi, viraka vitupu,walivaa magunia kipindi chake,hivyo viwanda vilizalisha nini!?..unaijua sukari guru?..ulifulia majani ya mpapai na mirenda kwa kuwa sabuni hakuna!?