Nauliza swali kuhusu uumbaji

Big no. Mwanadamu yeyote ana asili ya dini (religiosity ). Swali ni dini gani. Wazungu waliupokea Ukristo na kwa upande mkubwa wameupreserve hadi ktk hali yake ya sasa. Nevertheless umevaa nguo za kizungu kwa sababu everything has to be understood in context. Hata Mungu alijifunua ktk context ya watu ndio aeleweke. Ilivyomtokea Musa aliongea Hebrew. Yesu pia alilelewa na kukua na kuhuburi ktk context ya Uyahudini. Wazungu pia wana haki ya kuwa context yao bila kudistort central message. Mf. Bible inasema tuwaheshimu baba na mama. Haijasema kwa namna gani. So inabaki kwa kila watu na mazingira yao kujua namna ya kuexpress heshima depending on their traditions(sio kila Mila zinapingana na imani. )
 
Hata Mambo ya akina Isaac Newton unayaamini pia na umeletew kwann usiamini sayansi ya hao mababu unaowasemea?
 
Imani lazima iathiriwe na mazingira ya eneo husika ndugu,hata wakristo wa mbeya utaona wanaotofauti na WA knjro na WA bukoba
 
dogo lala mapema kesho shule..
Asante... siwezi kulala muda huu ndio kwanza nipo kazini ,kwasasa shule tumeawachia nyie maana hata humu JF ni shule hasa ukiwa MEMBER huyajui mengineyo...
 
Asante... siwezi kulala muda huu ndio kwanza nipo kazini ,kwasasa shule tumeawachia nyie maana hata humu JF ni shule hasa ukiwa MEMBER huyajui mengineyo...
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…dogo unazani Mimi mgeni humu?unajidanganya.
 
Nilitaka nikuite wewe unisaidie hili
 
Nakue.lewa. Ila bado swali lipo pale pale
Mkuu swali gani Tena? Mbona Vitu vipo wazi hivi? Baada ya Israel kumkataa masihi ilibidi injili isambazwe duniani kote, wayahudi wakapeleka kwa Wazungu then wazungu kwetu sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ