Lawama za kipuuzi tu sijui kaja kwangu mimi nashindwa kumpa muda nabaki kufanya mambo yangu,, yani upuuzi upuuzi tu.Sms inasemaje mkuu
Alafu eti anaumia sana kwa vile hajamjinu chochote! Akitaka amjibu nini sasa?Maybe help me to understand, umesema juzi kati ukamtumia sms ya kuachana na hakukujibu kitu.
Sasa kama wewe ndiye uliyemuacha nini kinakuumiza leo?
Sahihi sana mkuu huo muda wa kuangaika na mtu haupoMove on maisha ya sasa sii kuangaika na mtu, jijali kwanza wewe.
π hao wakipenda wanakuwa kama machiziila inafurahisha kuona na sisi tunawasumbua kidogo
mnatunyoosha sana
Huenda ameamua kuoa degree badala ya wewe kuonekena hutafit kwenye setting zake in future,give him minutes to breathHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Move on,huenda wewe ni wale wa tuma na ya kutolea,mwanamke wa sasa simama kidete,hali ni Tete.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Inawezekana kuna shida zaidi ni vile tumepata habari ya upande mmoja, tungepata na ya upande wa pili tungejua shida ni nini.Umesema vyema Palina ,inauma lakini atazoea tu...ila wanaume bwana kisa cha kumuweka mwenzie kny psychological torture ni nini??
Hii post imenishawishi kutaka kujua umri wako, you 'sound' like a schoolgirl.Nlitaka nihakikishe kama tumeachana
Ukute kuna mwanaume ulikuwa unamtesa kimapenzi, kama huyo kaka aliekuacha anavokutesa Miss_MariaahAibu nishaipata sababu mahusiano yetu yalikua open Sana
Adi vidonda vya tumbo, acha kuyapa uzito sana mapenzi huwa hayana muendelezo na mwisho mzuri.Mkuu hii message YA kuumia Na ukimya wake nlishamtumia Na nlijieleza Sana jinsi gan hii Hali inavoniumiza maumivu nayopitia nilimweleza hisia zangu za ndanu kabisa Na jinsi navoteseka Na kuumwa ulcers sababu ya mawazo...........lakinini hakunijibu kitu
Majibu mbona rahisi dada,concetrate na kazi na maisha yako,usimtafute na wala usimtumie sms,kama ni wako atarudi na kama sio wako hatarudi na wewe move onHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Unacho amini ni sahihi lakini unajishusha kwa mtu anaye kupa heshima na thamani.Huwaa naamin kujishusha Ni sifa ya mwanamke
Hakuna cha kujali hisia, hiyo inakuwa kama kuoneana huruma badala ya kupendana. True love has to reciprocate the same, as the saying goes 'it takes two to tango'. Mnapopendana dearly it all flows smoothly.achana nae jitahidi na wewe usimtafute
kula vizuri jipende na jipe furaha mwenyewe siku yaja utapata anaejali hisia zako πββοΈπββοΈ
Ajipende yeye kwanza then nothing will shake her, raha ya relationship apende anapopendwa otherwise itakuwa ni yeye mwenyewe anayejipa hiyo psychological torture.Umesema vyema Palina ,inauma lakini atazoea tu...ila wanaume bwana kisa cha kumuweka mwenzie kny psychological torture ni nini??
Ama ndiye aliyeambiwa kuwa unauzwa kwa 3M?Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ushaanza kutupiga fixHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.