Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Huenda ameamua kuoa degree badala ya wewe kuonekena hutafit kwenye setting zake in future,give him minutes to breath
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Move on,huenda wewe ni wale wa tuma na ya kutolea,mwanamke wa sasa simama kidete,hali ni Tete.
 
Mkuu hii message YA kuumia Na ukimya wake nlishamtumia Na nlijieleza Sana jinsi gan hii Hali inavoniumiza maumivu nayopitia nilimweleza hisia zangu za ndanu kabisa Na jinsi navoteseka Na kuumwa ulcers sababu ya mawazo...........lakinini hakunijibu kitu
Adi vidonda vya tumbo, acha kuyapa uzito sana mapenzi huwa hayana muendelezo na mwisho mzuri.

Pia usitegemee kuonewa huruma, hakunaga mapenzi ya kuoneana huruma kwahiyo usikae kinyonge sana na kujitilisha huruma ukidhani itakuwa sababu ya yeye kuona huruma na kujirudi, mapenzi na huruma havikai pamoja siku huruma zikiisha ndio kifo cha upendo.

Kwa niaba ya waudhuriaji vikao vyetu napenda kuwasilisha salamu za pole ndio maisha ya mahusiano yalivyo.
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Majibu mbona rahisi dada,concetrate na kazi na maisha yako,usimtafute na wala usimtumie sms,kama ni wako atarudi na kama sio wako hatarudi na wewe move on
 
Huwaa naamin kujishusha Ni sifa ya mwanamke
Unacho amini ni sahihi lakini unajishusha kwa mtu anaye kupa heshima na thamani.
Mtu amekukaushia bila maelezo, umetuma watu na ujumbe wa text bado kakausha. Hapo hukupaswa kujishusha tena.
Akikubali kurudiana nawe au kukuoa atakunyanyasa na kukudharau sana.
 
achana nae jitahidi na wewe usimtafute

kula vizuri jipende na jipe furaha mwenyewe siku yaja utapata anaejali hisia zako 🙂‍↔️🙂‍↔️
Hakuna cha kujali hisia, hiyo inakuwa kama kuoneana huruma badala ya kupendana. True love has to reciprocate the same, as the saying goes 'it takes two to tango'. Mnapopendana dearly it all flows smoothly.
 
Umesema vyema Palina ,inauma lakini atazoea tu...ila wanaume bwana kisa cha kumuweka mwenzie kny psychological torture ni nini??
Ajipende yeye kwanza then nothing will shake her, raha ya relationship apende anapopendwa otherwise itakuwa ni yeye mwenyewe anayejipa hiyo psychological torture.
In case she is passing through psychological tormentation it's too bad but time heals, she is gonna be okay.
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ama ndiye aliyeambiwa kuwa unauzwa kwa 3M?
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ushaanza kutupiga fix
 
Back
Top Bottom