Letting go is the best way to go!!.
1-Tafuta namna utakayoweza kukusaidia usimuone machoni mwako, iwe laivuu au mitandao ya kijamiii Kisha jijali nafasi yako na Maisha yako ya uchumi kwakua siku hizi mwanadam anataka kwanza ajue una nn ili apime kiwango Cha Heshima anachoweza kuendelea kukupa.
2-Kama una Moyo wa kuugulia ndan Kwa ndan bila MTU kujua, Usifute namba yake Wala usimblok,kwenye mitandao ya kijamii, ILA HAKIKISHA UNAPOST PICHA UKIWA NA FURAHAA SANAAA na nyingine ukiwa Sehem ambazo hakuwahi kukupeleka ... Watu wanaotupitisha kwenye maumivu Huwa wanawakawaida ya kutamani kutuona tunawalilia ,watuone tunatoka machozi ,watuone tumeharibikiwa, kwao wao hiyo ndo Furaha yako Kuu, Sasa ukifanikiwa kumpa matokeo Kinyume ya kile ambacho walikitegemea Huwa wanaumia sanaaa , na usishangae akaanza kujirudisha.
3-Mapenzi Kwa wanadamu hayatakiwi kua Kipaumbele Chao Cha Maisha Kwa sababu watu wanabadilika , hivo hupaswi kumtumainia mwanadamu na kumpa matarajio makubwa asiyostahili.
4/ Kama mmekua kwenye Uhusiano muda mrefu na mwezi Huu ndio alipanga kujitambulisha, basi huyo Hana mpango wa kukuoa , anasubiri mwezi wa kujitambulisha upite Kisha atarudi....Hana utayari wowote kwako.
5/Inawezekana ni Moja ya wanaume ambao Huwa wanaamua kutoa mitego ya kupima MTU , Huenda anataka kuona Ukomo wa uvumilivu wako
Sasa ufanye nini??.
Chagua Kati ya namba Moja au Mbili, lipi uende nalo.
Kivyovyote vile akijirudisha iwe aliamua kukupima au kaona we ndio sahihi, au Kwa namna yoyote Ile, SHARITI LAKO WEWE KURUDIAMA NAYE IWE NI NDOA, YAAN AJITAMBULISHE, NA MCHAKATO WA NDOA UANZE MARA MOJA BILA KUMPA MZIGO , YAAN KWA MAUMIVU ALOKUPITISHA , MPE MZIGO KWENYE NDOA TU.
Usikubali tena kua Mjinga.