Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naona umeamua kutuletea uzi wa kusindikizia na siku kuu?
Hii chai
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    107.1 KB · Views: 2
Adi vidonda vya tumbo, acha kuyapa uzito sana mapenzi huwa hayana muendelezo na mwisho mzuri.

Pia usitegemee kuonewa huruma, hakunaga mapenzi ya kuoneana huruma kwahiyo usikae kinyonge sana na kujitilisha huruma ukidhani itakuwa sababu ya yeye kuona huruma na kujirudi, mapenzi na huruma havikai pamoja siku huruma zikiisha ndio kifo cha upendo.

Kwa niaba ya waudhuriaji vikao vyetu napenda kuwasilisha salamu za pole ndio maisha ya mahusiano yalivyo.
Ahsante mkuu
 
Unacho amini ni sahihi lakini unajishusha kwa mtu anaye kupa heshima na thamani.
Mtu amekukaushia bila maelezo, umetuma watu na ujumbe wa text bado kakausha. Hapo hukupaswa kujishusha tena.
Akikubali kurudiana nawe au kukuoa atakunyanyasa na kukudharau sana.
Why anidharau wakati Mimi namuonesha upendo
 
Usijali sikukuu zikipita nitakujibu na simu nitapokea mpenzi wangu, kwa sasa nazilinda pesa zangu Maliamu wangu
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Asee Pole Bro ,jipe Moyo kamwe usikubali kujidhuru kisa mwanamke ,one day utajutia baada yakumpata bora zaidi yake But pia ulikosea dawa ya ukimya ni ukimya pluc but si kutuma message yakuachana
 
Letting go is the best way to go!!.

1-Tafuta namna utakayoweza kukusaidia usimuone machoni mwako, iwe laivuu au mitandao ya kijamiii Kisha jijali nafasi yako na Maisha yako ya uchumi kwakua siku hizi mwanadam anataka kwanza ajue una nn ili apime kiwango Cha Heshima anachoweza kuendelea kukupa.

2-Kama una Moyo wa kuugulia ndan Kwa ndan bila MTU kujua, Usifute namba yake Wala usimblok,kwenye mitandao ya kijamii, ILA HAKIKISHA UNAPOST PICHA UKIWA NA FURAHAA SANAAA na nyingine ukiwa Sehem ambazo hakuwahi kukupeleka ... Watu wanaotupitisha kwenye maumivu Huwa wanawakawaida ya kutamani kutuona tunawalilia ,watuone tunatoka machozi ,watuone tumeharibikiwa, kwao wao hiyo ndo Furaha yako Kuu, Sasa ukifanikiwa kumpa matokeo Kinyume ya kile ambacho walikitegemea Huwa wanaumia sanaaa , na usishangae akaanza kujirudisha.

3-Mapenzi Kwa wanadamu hayatakiwi kua Kipaumbele Chao Cha Maisha Kwa sababu watu wanabadilika , hivo hupaswi kumtumainia mwanadamu na kumpa matarajio makubwa asiyostahili.

4/ Kama mmekua kwenye Uhusiano muda mrefu na mwezi Huu ndio alipanga kujitambulisha, basi huyo Hana mpango wa kukuoa , anasubiri mwezi wa kujitambulisha upite Kisha atarudi....Hana utayari wowote kwako.

5/Inawezekana ni Moja ya wanaume ambao Huwa wanaamua kutoa mitego ya kupima MTU , Huenda anataka kuona Ukomo wa uvumilivu wako


Sasa ufanye nini??.

Chagua Kati ya namba Moja au Mbili, lipi uende nalo.

Kivyovyote vile akijirudisha iwe aliamua kukupima au kaona we ndio sahihi, au Kwa namna yoyote Ile, SHARITI LAKO WEWE KURUDIAMA NAYE IWE NI NDOA, YAAN AJITAMBULISHE, NA MCHAKATO WA NDOA UANZE MARA MOJA BILA KUMPA MZIGO , YAAN KWA MAUMIVU ALOKUPITISHA , MPE MZIGO KWENYE NDOA TU.

Usikubali tena kua Mjinga.
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Pole Sana, Kaa chini tafakari jipende wewe mwenyewe, kila jambo linakuwa na sababu zake huenda Mungu amekuepusha na majuto ya mbeleni.
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ushalogwa......au kwenu kuna madhabahu.....
 
Tatizo ni wewe uliyemfosi hiyo mipango ya ndoa, wanaume wengi hatupendi ndoa, mimi mwanamke akileta habari za ndoa napiga chini chapu
 
Back
Top Bottom