Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Kabla ya kumtumia ulipata kufahamu yuko ktk hali na mazingira gani?Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
Mnisamehe kama nawakwazaHii post imenishawishi kutaka kujua umri wako, you 'sound' like a schoolgirl.
Ilitokeaga nyuma Sana Na sikufanya makusudi Ni kwamba nili fall out of love Na yeyeUkute kuna mwanaume ulikuwa unamtesa kimapenzi, kama huyo kaka aliekuacha anavokutesa Miss_Mariaah
Aonyeshe hata kujali Na kutokua tayari kunipotezaAlafu eti anaumia sana kwa vile hajamjinu chochote! Akitaka amjibu nini sasa?
Ahsante mkuuAdi vidonda vya tumbo, acha kuyapa uzito sana mapenzi huwa hayana muendelezo na mwisho mzuri.
Pia usitegemee kuonewa huruma, hakunaga mapenzi ya kuoneana huruma kwahiyo usikae kinyonge sana na kujitilisha huruma ukidhani itakuwa sababu ya yeye kuona huruma na kujirudi, mapenzi na huruma havikai pamoja siku huruma zikiisha ndio kifo cha upendo.
Kwa niaba ya waudhuriaji vikao vyetu napenda kuwasilisha salamu za pole ndio maisha ya mahusiano yalivyo.
Why anidharau wakati Mimi namuonesha upendoUnacho amini ni sahihi lakini unajishusha kwa mtu anaye kupa heshima na thamani.
Mtu amekukaushia bila maelezo, umetuma watu na ujumbe wa text bado kakausha. Hapo hukupaswa kujishusha tena.
Akikubali kurudiana nawe au kukuoa atakunyanyasa na kukudharau sana.
Yes Yuko okay kabisa Hana shidaKabla ya kumtumia ulipata kufahamu yuko ktk hali na mazingira gani?
Asee Pole Bro ,jipe Moyo kamwe usikubali kujidhuru kisa mwanamke ,one day utajutia baada yakumpata bora zaidi yake But pia ulikosea dawa ya ukimya ni ukimya pluc but si kutuma message yakuachanaHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Kaza kikikeAhsante mkuu
Pole Sana, Kaa chini tafakari jipende wewe mwenyewe, kila jambo linakuwa na sababu zake huenda Mungu amekuepusha na majuto ya mbeleni.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ushalogwa......au kwenu kuna madhabahu.....Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.