Naumia, nami ni binadamu



Yaan nawaza ndo iwe mtaan kila ugomvi wa wanawake atajwe..aalfu ukute ndo mumeo wa ndoa kbs😂😂😂😂!hicho kikombe nitakitua kwakweli..anywsy huebda amelelewa zaidi na dada
 
Yaan nawaza ndo iwe mtaan kila ugomvi wa wanawake atajwe..aalfu ukute ndo mumeo wa ndoa kbs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!hicho kikombe nitakitua kwakweli..anywsy huebda amelelewa zaidi na dada
Pengine mtaani hayupo hivyo.
Sema kwa huku inaelekea anapenda story sana na wadada . Ndio wanaomponza.
Sisi hatujui kukaa na kitu ukituambia tuu , tunakifikisha kama kilivyo.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] angalia usitekwe wewe jamani, yaani nitaandamana
Kwenye maboresho yajayo nitawaomba Mods waeke kitufe cha kutekana, mtu akikukwaza au ukitaka akutolee ufafanuzi wa jambo, unabonyeza kitufe pembeni ya id yake unamteka.
 
Mzee toboa unafaa kuwa mzee was baraza mahakamani
 

Ila Don, you got some splainin’ to do here.

The whole bullshit is circling back to you.

Mtu wa pili leo kaniambia hivyo hivyo kama yule mtu wa kwanza.

Kuwa, wewe ulimwambia huyo mtu wa pili kuwa mhusika ni mimi. Na kwamba uliambiwa hivyo na huyo binti [Aggy].

Sasa ina maana hawa watu wawili wote wanakuzushia kuwa uliwaambia hivyo?

Be straight with me. Uliwaambia hivyo hao watu?

Kama uliwaambia, je, ulitunga tu mwenyewe au ni kweli huyo binti ndivyo alivyokuambia?

Kwa sababu, kama ulitunga tu mwenyewe, that’s not cool. It’s a bitch move.

Someone is lying here: either you or them.
 

Nilitunga mkuu, kuna mahali nimekwambia sijawasiliana na Aggy kuhusiana na hiyo issue.

Watu unaowasema hawawezi kukuthibitishia chochote juu ya kwamba taarifa nilizotoa kwa Aggy.

Ongea vizuri na hizo source, ilikuwa something like brainstorming, A + B and then ikafikiwa kama hitimisho kati yetu kwamba issue inaweza kukuhusu.

I hope hutaki niziweke hapa hizo ABCs ambazo zinahusiana na hii issue.

Niseme tu kwamba hii issue Aggy alifikia sehemu akaachana nayo.

Bosi, we can all do good kwa kutoiendeleza hii kitu, lakini ukipenda naweza kukuwekea clues zote zilizohusisha hii ikawa concluded kwamba unaweza kuwa ni wewe uliyezungumziwa (of which I am 100% sure).

Na I sided with her kumshauri Aggy kwamba aachane na hiyo issue kwa sababu siyo nzuri kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…