Naumia, nami ni binadamu

What a post!!!
 
Asante joanah..but kuna mda mwingine naelemewa na masimango ya watu.najiona nna mzigo
Naomba kukuuliza hao waliotoa msaada hapa jf ndio haohao wanao kusimanga? Kama ndio ni wote waliotoa ndio wanakusimanga? Anae toa maisha yote hasemi alichotoa lakini wapambe ndio wanao simanga. Uzi wako ulisomwa na wengi wachache walikusaidia wengine wanabakia kusimanga wakati hata senti 1 hawakutoa. Ushauri wangu kama yupo alie toa na kukusimanga mpatie hela yake lakini kama hakuna. Ukiwarejeshea utawapatia unyonge kwenye mioyo yao kwasababu walikusaidia kwa moyo safi.


Nangatukaa πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
All will be well😘
NB.usiwape attention mwaya,its better to pretend like nothing happened ila najua ni ngumu unapaswa kuwa na roho ngumu asee ili upate auweni moyoni mwako.
Fanya kama huoni kumbe unable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…