Naumia, nami ni binadamu

Naumia, nami ni binadamu

Na yako shoga watu watakuwa wanaitwa wajionee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bahati nzuri walah sina makandokando hayo mie yangu yanaishaga hapa jukwani tu baasi.....


Leo nimeshangaa kumbe Kuna mengi mnooo yanaendelea huko nyuma ya pazia
 
Yani pale juu kakiri sijawahi wasiliana na aggy wala hakunitajia kuwa ni wewe anaemuongelea.
Haya basi hapo watu nao aliowaambia wakaaenda mwambia ngabu nao wamemgeuka wanadai wameambiwa na yeye.
Analetewa lawama anadai oh nilitunga..sijui kukubrain storm...

Haya nyingine anaombwa ushahidi anasema anao.ushahidi gani?

Huyu usimwogope.mwambie auweke ushaihidi aggy akisema huyo mwanaume ni ngabu.
Na thread ni ya April au march ionyeshe tarehe
Shoga yaan kujishuku shuku na kuhisi na kuyapeleka mtu aliekuwa anazungumziwa na aggy mwingine kabisaaa
 
Kupatwa kwa wanaume wa jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahah haya maswala bado yapo??

Pm ni sehem za kuombana pap.....i tuu Mengineyo mwisho wake ndio huu
 
Nimesoma amesema hivi" hebu mpeni relief mwenzenu".....

Kumbuka relief ni "msaada/misaada/posho na mengine...... So hakutajwa kama member lilitajwa neno
Madam, this is chitchat don't take life too seriously, ni utani huo usishupaze sana shingo itavunjika utuachie bata
 
Yani pale juu kakiri sijawahi wasiliana na aggy wala hakunitajia kuwa ni wewe anaemuongelea.
Haya basi hapo watu nao aliowaambia wakaaenda mwambia ngabu nao wamemgeuka wanadai wameambiwa na yeye.
Analetewa lawama anadai oh nilitunga..sijui kukubrain storm...

Haya nyingine anaombwa ushahidi anasema anao.ushahidi gani?

Huyu usimwogope.mwambie auweke ushaihidi aggy akisema huyo mwanaume ni ngabu.
Na thread ni ya April au march ionyeshe tarehe

Achana nae ashaumbuka hakuna maneno sipendi etiii ooh unajidhalilisha nani anataka heshima humu heshima yenyewe hatuitaki alaaa

@moderatos Active Paw futeni huu uzi
 
Jaaaamaaaniiiii amkeni kumekucha amkeeeniiiii

Bora nikose kula ila niwe na bundle la kuingilia jf
Yani kila siku id hii nahisigi ni mwanaume. Ila kwa kupenda ubuyu huku naamini ni ke.

Hujambo..
 
Talk to that sources, tulishea info na kufikia hitimisho kwamba Aggy anakusema wewe.

Najua kwa nini it is favorable kwako info kuwekwa hapa, kwa sababu you are clean in this, Aggy alikusoma vibaya akaja na hiyo thread.

Uzuri ile thread haijafutwa, yeyote atakayeisoma na kama ana ukaribu au ana taarifa za ukaribu wenu (not physically) haitamchukua muda kujua kwamba Aggy aliteleza.

Man, unajua ni kwa kiasi gani ulikuwa mtu wa msaada kwake, you can still be kwa kuachana na hii issue.

You know her condition, just for the sake of her health, let's forgive this.

I can take up all the blames, if need be. She needs people, she needs people's mercy.

Let's just call it off man, please.
Daah aisee
 
Talk to that sources, tulishea info na kufikia hitimisho kwamba Aggy anakusema wewe.

Najua kwa nini it is favorable kwako info kuwekwa hapa, kwa sababu you are clean in this, Aggy alikusoma vibaya akaja na hiyo thread.

Uzuri ile thread haijafutwa, yeyote atakayeisoma na kama ana ukaribu au ana taarifa za ukaribu wenu (not physically) haitamchukua muda kujua kwamba Aggy aliteleza.

Man, unajua ni kwa kiasi gani ulikuwa mtu wa msaada kwake, you can still be kwa kuachana na hii issue.

You know her condition, just for the sake of her health, let's forgive this.

I can take up all the blames, if need be. She needs people, she needs people's mercy.

Let's just call it off man, please.
Naona limekugeukia.
Eti u know for her healthy sake please

Uliambiwa nlikua naumwa maini au mapafu.
Babu naumwa vidole mguuni..
Siku nyingine tuliza hizo p zako umbea na kujishuku waachie wadada..

Eti let's call it off man...she needed mercy from the people...

I need mercy from who?..
We ndo usiehitaji huruma na skendo ya kukopa na kukimbia madada jf?
 
Madam, this is chitchat don't take life too seriously, ni utani huo usishupaze sana shingo itavunjika utuachie bata
Aiiiii mamy yalishapita haya.... Wacha tuendelee kuangalia sinema hapa
 
Unawezaje kumtungia mtu uongo wewe.?
Halafu uongo mzito kama hivo ambao umedamage urafiki wangu na ngabu?

Mie na ngabu tulikia sawa kabisa.I treated him like my brother with all respect,na yeye pia hivo hivo.
Sikutarajia siku unaweza kuwa hivi

Ila wewe kidudu mtu chakubanga wa kiume ulokosa la kufanya..

Baada ya yeye kuuliza ulowaambia huko wamekugeuzia kibao unakuja unadai umetunga...

Ntadeal na wewe!
Pole mdogo wangu. Nimekosa hata la kusema loh
 
Naona limekugeukia.
Eti u know for her healthy sake please

Uliambiwa nlikua naumwa maini au mapafu.
Babu naumwa vidole mguuni..
Siku nyingine tuliza hizo p zako umbea na kujishuku waachie wadada..

Eti let's call it off man...she needed mercy from the people...

I need mercy from who?..
We ndo usiehitaji huruma na skendo ya kukopa na kukimbia madada jf?
Toba toba toba kukopa na kukimbia madeni tena



[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Yani kila siku id hii nahisigi ni mwanaume. Ila kwa kupenda ubuyu huku naamini ni ke.

Hujambo..
Hahahaha sijambo mkuu..... Naomba uendelee kuamini kwamba mimi ni me hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom