Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
SI nitakufa kabla ya kondoo wenyewe🤒, yaanj mshahara 30k-Musa alichunga kondoo miaka 40
👉Hujalioa chumba, kula, hujaumwa🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI nitakufa kabla ya kondoo wenyewe🤒, yaanj mshahara 30k-Musa alichunga kondoo miaka 40
Mshahara wa kuchunga mbuzi🤒🤒Hiyo 30k umeipataje mkuu
Ninaelewa sana. Hata mimi hiyo hali ilinipitia. Lakini nilipoanza kuwajali kwa kile kidogo nilichokua nacho ndipo nilipogundua mganga wa kweli wa kuleta utajiri ni mzazi wako mwenyewe. Badala ya kukopa hela ununue kuku umpelekee mganga wa kienyeji ale mizimu ifurahi ikupe utajiri, kopa hiyo hela kanunue kuku mpe mzazi wako ale kwa roho safi afurahi then nenda katafute hela utaleta ushuhuda hapa.HV unajuwa kupigika kaka acha kbsaa mm Hali hyo ilinipitiaa
KivipiHV unaongea upuuz gani
Hiyo 30k unalipiwa kwa muda gani?Mshahara wa kuchunga mbuzi🤒🤒
Kusaidia wazazi Ni upendo,kuwafanya wafurahi Ni baraka tele.Mzazi kupambana kuwalea watoto ni wajibu wao na ni lazima.
Huwezi leta kiumbe duniani utegemee kijelee chenyewe.
Vivyo hivyo mtoto akikua na yeye atakuwa na watoto wake ataitwa mzazi vilevile na anapaswa kuwalea watoto wake.
Msaada kwa mzazi si lazima wala amri.
MZAZI kama alishindwa kufanikiwa Asitegemee mtoto aje kupambana kwa niaba yake.