Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa wateja wa boss wakoSamahani connection nazipata wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wateja wa boss wakoSamahani connection nazipata wapi??
Acha kutukejeri humu mkuu we mtu mkubwa sana uwez kosa connectionSamahani connection nazipata wapi??
Bora useme wewe mkuuAcha kutukejeri humu mkuu we mtu mkubwa sana uwez kosa connection
Anataka connection za nini kwanza ebu muulize wenda ni ile sekta yetu pendwaKwa wateja wa boss wako
Swali zuri sana ndugu mjumbe. Akitaka connection zile fasta kama umemeAnataka connection za nini kwanza ebu muulize wenda ni ile sekta yetu pendwa
Mungu atusaidie wote ambao bado tuna wazazi na wameshazeeka tupate uchumi na moyo wa kuwasaidia ..its very important..na hivohivo kuendelea kupambana kuwawekea mazingira mazuri ya badae watoto wetu ili waje waweze kutusaidia ikiwa watakuwa na moyo huo.
Mkuu mi ni jobless tu, hapa nilikuwa na 30k, nine nunua unga 20k-Acha kutukejeri humu mkuu we mtu mkubwa sana uwez kosa connection
Hana wateja, mi nachunga tu🤒Kwa wateja wa boss wako
Hii tz tuta subiri Sana kwa style hii🤒Swali zuri sana ndugu mjumbe. Akitaka connection zile fasta kama umeme
Endelea kuwa mwaminifuHana wateja, mi nachunga tu🤒
HelloYaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.
Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Nina Mwaka wa 5 huuEndelea kuwa mwaminifu
Uaminifu ni mtaji
M
Mipango Sio matumizi na Sio nyakati zote upangacho Huwa.
Umefukuzwa kazi ujakaa sawa nyumba na biashara zako kimara Magu kapita nazo.
Kupambana Sio kupata
Musa alichunga kondoo miaka 40Nina Mwaka wa 5 huu
Hiyo 30k umeipataje mkuuMkuu mi ni jobless tu, hapa nilikuwa na 30k, nine nunua unga 20k-
👉Mafuta2k,nyanya chungu za mwez3k,nyanya2k, 4k umeme na maji.
👉Hali nzito mzee🤒🤒
Mkuu embu njoo nbox tuongee kdgYaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.
Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
HV unajuwa kupigika kaka acha kbsaa mm Hali hyo ilinipitiaaAnza kuwasaidia kwa hichohicho kidogo ulichonacho. Hatimae utabarikiwa zaidi ya hapo. Usisahau kuleta mrejesho.
HV unaongea upuuz ganiIna maana hata kuwasaidia kulima huwezi,kuwachotea maji,kuwasaidia kazi za nyumban mfano usafi nazo huwezi.