Naumia sana ninaposhindwa kuwa msaada kwa wazazi wangu

Naumia sana ninaposhindwa kuwa msaada kwa wazazi wangu

Inakera MTU akupe majukumu ambayo Kwanza huna uwezo nayo, pili yeye anasehemu kubwa ya kukusaidia alafu atake umsaidie. Huo ni ujinga.

Wazazi wa sasa(Sisi) tujifunze; kuzaa hata Watoto wetu watazaa. Kumtegemea mtoto kisa ulimzaa Wakati hukumjengea mazingira ya kukusaidia ni zaidi ya unyama. Hata wanyama hawafanyi hivyo.

Ukweli usemwe
ni kweli kabisa...you are very right.
 
Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.

Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.

Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.

Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Pole mkuu. Mazingira yako wengi tunayapitia. usiogope kwenda nyumbani. Nenda nyumbani ukazungumze na wazazi watakuelewa. Na watakuombea. usiwajudge kabla hawajakusikiliza kwa undani.
 
Naona mnaanza kuhamasisha kujengwa kwa kizazi ambacho hakitajaliana huko mbele
kitajaliana tu kwani kwenu ukoo wenu wote si kuna mazuzu hawajali wazazi? cha msingi wekeza kwa mtoto ili baadaye ajue amefika hapo kwa sasas wewe mzazi wake aliwekeza. Kuna wazazi hawajali kumjenga mtoto utotoni, wanakula bata tu, mtoto akishakua ndiyo mzazi anaanza kutamba kwa kusema ana jembe lake, analitegemea. mzazi wa namna hiyo unamfanyaje?
 
Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.

Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.

Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.

Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Usikate tamaa mkuu
 
Back
Top Bottom