Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Vipi tena shekhe wetu🤔😁, nope kibarua hichoo🙏🤒Daaah! 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tena shekhe wetu🤔😁, nope kibarua hichoo🙏🤒Daaah! 😅
Ni wapuuzi wenye wanasema hivyoNakukumbusha Hakuna jobless Alie wahi kukubaliwa katika jamii.
👉Jamii Ina tuona malofa, wazembe na hata wakwepa majukumu.
Njoo tuvitafute vibarua mkuu. Umoja ni nguvu 😀Vipi tena shekhe wetu🤔😁, nope kibarua hichoo🙏🤒
Wapi Sasa mkuu, njaa Kali Sana(serious)joo tuvitafute vibarua mkuu. Umoja ni nguvu 😀
Twenzetu masokoni huko au K/koo tukapige uwingaWapi Sasa mkuu, njaa Kali Sana(serious)
Leo sitaki u motivation speaker 🤒🤒, lete deal hizo shekhe.Twenzetu masokoni huko au K/koo tukapige uwinga
Hii kazi ina hela sana kama ukipata watejaTwenzetu masokoni huko au K/koo tukapige uwinga
ni kweli kabisa...you are very right.Inakera MTU akupe majukumu ambayo Kwanza huna uwezo nayo, pili yeye anasehemu kubwa ya kukusaidia alafu atake umsaidie. Huo ni ujinga.
Wazazi wa sasa(Sisi) tujifunze; kuzaa hata Watoto wetu watazaa. Kumtegemea mtoto kisa ulimzaa Wakati hukumjengea mazingira ya kukusaidia ni zaidi ya unyama. Hata wanyama hawafanyi hivyo.
Ukweli usemwe
Pole mkuu. Mazingira yako wengi tunayapitia. usiogope kwenda nyumbani. Nenda nyumbani ukazungumze na wazazi watakuelewa. Na watakuombea. usiwajudge kabla hawajakusikiliza kwa undani.Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.
Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Naona mnaanza kuhamasisha kujengwa kwa kizazi ambacho hakitajaliana huko mbeleni kweli kabisa...you are very right.
Njoo K/koo maduka ya simu huku wana tunakimbizana kwenye corridors za maduka tuko mbiombio kutengeneza chedaLeo sitaki u motivation speaker 🤒🤒, lete deal hizo shekhe.
Amini mkuu cha muhimu ni network na connectionHii kazi ina hela sana kama ukipata wateja
U motivation speaker Raha Sana🤒🤒Njoo K/koo maduka ya simu huku wana tunkimbizana kwenye corridors za maduka tuko mbiombio kutengeneza cheda
kitajaliana tu kwani kwenu ukoo wenu wote si kuna mazuzu hawajali wazazi? cha msingi wekeza kwa mtoto ili baadaye ajue amefika hapo kwa sasas wewe mzazi wake aliwekeza. Kuna wazazi hawajali kumjenga mtoto utotoni, wanakula bata tu, mtoto akishakua ndiyo mzazi anaanza kutamba kwa kusema ana jembe lake, analitegemea. mzazi wa namna hiyo unamfanyaje?Naona mnaanza kuhamasisha kujengwa kwa kizazi ambacho hakitajaliana huko mbele
Uko wapi?U motivation speaker Raha Sana🤒🤒
Niko nanjilinjii 🤓🤒🤒Uko wapi?
Kuna fursa gani huko?Niko nanjilinjii 🤓🤒🤒
Kuchunga mbuzi tu.Kuna fursa gani huko?
Usikate tamaa mkuuYaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.
Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Kaa humoKuchunga mbuzi tu.