AY 5225
JF-Expert Member
- Jul 16, 2023
- 542
- 1,239
Ila mkuu suala la kukata mawasiliano sio jambo jema maana hata kuwasalimia tu inaweza kuwa faraja kubwa sana kwao...wazazi Huwa wanahitaji kuwajali tu hata kwa namna ya kuwa karibu yao
Mkuu nakuelewa unachokisema ila huwezi kuelewa uzito wa kiatu usichokivaa. Mama yangu akiongea nasikia kuishiwa nguvu kabisa. Kiukweli anahitaji msaada na sio salamu.
Utakua unapiga simu kumjulia hali kila siku mtu anaehitaji msaada na wewe kila siku uko mikono mitupu?
Yaani assume mtoto kafukuzwa ada shuleni halafu baba kila siku anapiga simu kusalimia tu na sio kuleta suluhisho? Ni sawa?