Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
amtaje tumjueshemeji pia tumwombee msamaha ikibidi asimchunie tena mwana jf mwenzetu maana hata michango yaharusi tushaandaa
Mtaje
Haya,nice fridayShukrani wasalimu huko !
Acha kumuangalia angalia fanya yako.Lakini namuona online!!
Mapenzi bwana daah!
Simu niliacha ghetto kuna mwana anachati hana smartphone naomba usikasilike
nyie jamaa The list alikuwaga anawaita Idiot's.niko kwa side nakucheki unavoteseka juu yangu[emoji16][emoji16]...ucjal baby from my toe to upstairs am yours...just be cool ice queen
Mbona unaguna? Huniamini?Mmmh!
mkuu mkweli ni mimi..nyie jamaa The list alikuwaga anawaita Idiot's.
sasa hapo mkweli ni nani?
Pole naona uko desparate jamaa alikuwa anakuchezea tu ...hata mimi huwa inanitokea halafu nikipata demu mkali mtaani ..namtosa wa mtandaoni
Mmmmh aisee mapenzi haya kwa kweli daaah yani basi tu Mungu ndo anayejuaMapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii,mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za sim
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim,hapokei SMS zangu hajibu,whasap na Jf online namuona,namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?
Afu akishanitaja wewe utafaidika na nini?Mtaje
Labda na Mimi mpenzi wako..Afu akishanitaja wewe utafaidika na nini?