Sasa huoni umeanza kutoa siri yetu? Kwanini lakini Agata?Labda na Mimi mpenzi wako..
Ndomana nilitaka kujua !tupo wangapi?Sasa huoni umeanza kutoa siri yetu? Kwanini lakini Agata?
Uko peke yako...Ndomana nilitaka kujua !tupo wangapi?
Na mtoa mada ?Uko peke yako...
πππPole inawezekana yuko busy na yule ambae wameonana nae.
Mimi na weweNa mtoa mada ?
ππππ
Kama unataka mawasiliano wakat hata vocha hujatuma ameamua kumuteMapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?