Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

Muendelezo Yesu kristu wakati anazaliwa mamajusi waliona myota wakajua Kuna mtu anazaliwa ? Huo sio unajimu? Mamajusi walipeleka dhahabu ubani na manemane Manemane ni dawa ya kienyeji ambayo ukienda maduka ya dawa za kiarabu utaikuta , ubani utaukuta nyinyi walokole mnajua vilipelekwa na kufanya kazi gani ? Mamajusi kwa lugha ya kiyunani are translated as wise men kwa wakati ule ambayo kwa tafsiri ni waganga wa kienyeji , anayebisha aje twende mpaka kiebrania au kilatin tupate tafsiri zaidi , innomino pate et filio et spitus saint amen .Kuna mtume mwingine wa dini yenu ya kiarabu kapewa utume na mganga wa kienyeji anaitwa Walaga bin Naufal who was blind and wise in telling future of somebody , a.k.a utabiri kwa lugha za walokole kumbe ni ramli ileile.
 
acha ushamba mkuu,humu jukwaani hauhitaji kuyachukulia serious masuala yote,wengine wanachangamsha jukwaa tu,na kama ulivyosema kama mtu hana cha kumshauri bora akakaa kimya,kipi wewe umemshauri! Kheri ungempa pole tu ukasepa zako. Kwako mleta mada, waganga wa wa kienyeji wapo huku bara tena kwa bei chee kabisa,hasa tabora,kigoma,kanda ya ziwa yote. Huko pemba utaishia kupigwa pesa na kutupiwa majini.
Wabongo mna matatizo sana yaani mnaleta masihara kwenye afya ya mtu alie serious kutafuta msaada .!!!
 
Ulifunga safari kwenda pemba ukiwa tayari Mgonjwa au ugonjwa umekukutia ukiwa huko?
 
Acha ujinga nenda kwa Mwamposa, nauli yako tu ukifika umepona na hutoi hata mia...
Kwa YESU kuna uponyaji na furaha... Kimbia sasa hujachelewa...
Hao waganga watakula pesa zako, watakupandikiza majini, watakuongezea matatzo na watakugombanisha na Mungu wako... Mwisho utakuwa mtumwa wa majini na shetani na utakufa vbaya
 
Wabongo mna matatizo sana yaani mnaleta masihara kwenye afya ya mtu alie serious kutafuta msaada .!!!
sio masikhara, yeye mada kaileta kimasihara,eti nimeshuka hapa pemba sina mwenyeji,utaendaje sehem ambayo hauna mwenyeji au conections,hata huyo mganga anaweza kukushtukia,ilitakiwa apate ushauri kabla ya safari. ila kama ni kweli pole yake sana.
 
Wabongo mna matatizo sana yaani mnaleta masihara kwenye afya ya mtu alie serious kutafuta msaada .!!!
sio masikhara, yeye mada kaileta kimasihara,eti nimeshuka hapa pemba sina mwenyeji,utaendaje sehem ambayo hauna mwenyeji au conections,hata huyo mganga anaweza kukushtukia,ilitakiwa apate ushauri kabla ya safari. ila kama ni kweli pole yake sana.
 
Amelaaniwa mtu yule amtrgemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake
Mbna unatuchanganya mkuu
We mwenyewe post iliyopita umesema amtegemee yesu.

Swali
We uliumbwa kwa udongo na yy kaumbwa kwa kutumia nn nnavyojua ni binadam mwenzetu tu, tumezidiana sifa tu

NB
Anyway, mwenye thread yupo serious
Kwenye ushauri wa masuala ya tiba za kienyeji.
Ww unaleta risala za kiroho.

Umemkosea!! , Kama huna Cha kujibu kulingana na kichwa cha thread apo juu VUNGA.

Kuna watu Wana Iman Kali kuliko ww.
Wametulia.



End**
 
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.

Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.

Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.

Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.

NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
0773806592
 
Mbna unatuchanganya mkuu
We mwenyewe post iliyopita umesema amtegemee yesu.

Swali
We uliumbwa kwa udongo na yy kaumbwa kwa kutumia nn nnavyojua ni binadam mwenzetu tu, tumezidiana sifa tu

NB
Anyway, mwenye thread yupo serious
Kwenye ushauri wa masuala ya tiba za kienyeji.
Ww unaleta risala za kiroho.

Umemkosea!! , Kama huna Cha kujibu kulingana na kichwa cha thread apo juu VUNGA.

Kuna watu Wana Iman Kali kuliko ww.
Wametulia.



End**

Hali ya mleta mada nai feel sna. Sabab mi mwenyewe nlishapitia hko for 9yrs (kiroho & kienyeji & hospitals ) vyote vilidunda nlichanganyikiwa kabisa kila kitu hakiendi mwili mmbovu (unawaka Moto, ganzi, vitu vinatembea mwili mzima, unahisi Kuna Kama 100kg mgongoni)

rehma zake Mungu nlipata amani badae hukoooo Muheza Tanga,

pemba wapo hao watu lkn hasa wete au kisiwa Cha chumbe au Tumbatu


Tafta bodaboda au wazee kwenye draft au kahawa au nenda kwa shekha wa mtaa huwa hawakosagi data Hawa watu.

Namba sikushauri Sana we tumia njia apo juu mojawapo utawapata mguu kwa mguu mpka unafka au wao wenyewe ndo wakupe namba
 
UPDATE:
Nimeshapata mtaalamu na niko huku kisiwani natibiwa.
Tiba nilianza jana na nashukuru Mungu mpaka sasa najihisi nafuu...ila nilienda nikiwa katika hali fulani, hivo inabidi nikae huku ili hii hali iishe niweze kumalizia tiba.

Namkushukuru sana mwana Jf mmoja kwa moyo wake wa kunisaidia....
Wema bado wapo wengi sana Jf.
Na wabaya pia wako wengi sana Jf.

Asanteni wote mnaoendelea kunipa pole na kunitia moyo kuanzia jana mpaka leo.

ILA NAOMBA NIWAAMBIE KITU, SISI BINADAMU TUNAZALIWA TUKIWA NA DINI ZETU TIMAMU.
UKIONA MPAKA MTU ANAIKENGEUKA DINI YAKE KWA MUDA NA KUTAFUTA TIBA YA UPANDE WA PILI, USIMCHEKE WALA KUMKEJERI WALA KUMPA MANENO YA KARAHA, BALI MPE POLE NA KAMA UNA NJIA YA KUMSAIDIA, BASI MSAIDIE KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE....JAMANI TIBA NA MAGONJWA YAPO.

Sina roho mbaya, binadamu tumeumbwa kusaidiana.
Nikipona nitakuwa shuhuda.

Asanteni.
 
Dah kweli hatujui yalikukuta lakini kwenda sehemu pasipo kujua unaenda kwa nani hata kama hupajui anapoishi basi angalau ujue anapofanyia shughuri zake mkuu kweli hapo haupo sawa pole sana ushauri mdogo tafuta pahala pa kulala kisha anza kujichanganya maskani utapata tu mtaalam tena kwa pemba hakuna uficho sana kama unguja.
 
Bado hujapona kule ikulu? Sini uliambiwa uende hospital au umeambiwa umerushiwa dawa? Njoo inbox
 
Aiseeee pole sana , wasamehe bure wanaokukejeli, dunia Ina mambo mengi sana, sio kila tatizo linanatibiwa hospitali au au kwa wachungaji, manabii na mitume feki wa Tanzania .Kumwambia njoo kwa yesu ndio mmemsaidia ? Yaani mnawaponda waganga halafu mnaenda kwa sirisiri .Hao wachungaji manabii na mitume mbona wanafanya kazi zilezile zinazofanywa na waganga ? Wanapiga ramli na kuibadilisha jina eti utabiri , wanawapa watu dawa za kienyeji wanabadili jina wanaziita , mafuta ya upako, maji, udongo kumbe mambo ni yaleyale , Yaani watanzania wa ajabu sana , unashabikia dini za wakoloni bila hata kujua zimeletwa kwa sababu gani? Yaani mkimtaja Yesu kristu mnajiona mmestaarabika ? , Mkiwaponda waganga mnajiona mna akili sana , kumbe bure kabisa, Soma the role of the missionaries in Africa , to prepare Africans for the complete colonisation and supress the courage and brave heart of the Africans . Kwa kifupi mitume wenu wote wa dini za mapokeo walikuwa waganga wa kienyeji na ushahidi upo.
 
Awali ya yote nakupa pole lakini kingine hebu tuambie Kuna mtu yoyote yule mshagombana au umedhulumu chake? Lakini hujaeleza ni Tatizo Gani linalokusibu.Na ni kwa mda Gani ila Mimi ningekushauri ungeanza kushughulika kiroho zaidi kuliko huko kwa waganga Cha msingi imani kwanza uamini Yesu anaweza kukuponya sijajua Imani yako.Lakini kingine kama ulikosana na mtu patana nae
Kwani yesu anakaa Pemba..?
 
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.

Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.

Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.

Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.

NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Mnataka mjue machimbo ya watu nini mkaharibu code zao
 
Back
Top Bottom