Chief Mwigendya
Senior Member
- Nov 28, 2024
- 172
- 136
Muendelezo Yesu kristu wakati anazaliwa mamajusi waliona myota wakajua Kuna mtu anazaliwa ? Huo sio unajimu? Mamajusi walipeleka dhahabu ubani na manemane Manemane ni dawa ya kienyeji ambayo ukienda maduka ya dawa za kiarabu utaikuta , ubani utaukuta nyinyi walokole mnajua vilipelekwa na kufanya kazi gani ? Mamajusi kwa lugha ya kiyunani are translated as wise men kwa wakati ule ambayo kwa tafsiri ni waganga wa kienyeji , anayebisha aje twende mpaka kiebrania au kilatin tupate tafsiri zaidi , innomino pate et filio et spitus saint amen .Kuna mtume mwingine wa dini yenu ya kiarabu kapewa utume na mganga wa kienyeji anaitwa Walaga bin Naufal who was blind and wise in telling future of somebody , a.k.a utabiri kwa lugha za walokole kumbe ni ramli ileile.