Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Ndio Mimi mjanja siwezi kukaa mbele kama nyumbu halafu mbowe yupo nyuembani ananagalia TV tarehe 23Matusi ya nini sasa ndugu yangu.
Unajiona mjanjaaaaaa mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Mimi mjanja siwezi kukaa mbele kama nyumbu halafu mbowe yupo nyuembani ananagalia TV tarehe 23Matusi ya nini sasa ndugu yangu.
Unajiona mjanjaaaaaa mwenyewe?
Tunataka mbowe awe mbele tarehe 23Wananchi wamekataa maandamano
Ndio maana nikasema hayo maandamano ya magaidi acha polisi wawalambe risasi mpaka magaidi yaishe kwani shida nini
Baada ya Lissu kupigwa risasi unapendekeza kiongozi gani mwingine wa CHADEMA apigwe risasi?Wewe mbowe akili huna tanguliza familia Yako sisi tunafuata nyuma
Hujawahi kumuona Mbowe na familia yake kwenye maandamano?NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele
Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.
Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.
Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
Hajawahi kuandamana mbowe hayo aliyokua anafanya ni matembeziHujawahi kumuona Mbowe na familia yake kwenye maandamano?
Hivi huko Uvccm ni kambi ya vichaa?
MboweBaada ya Lissu kupigwa risasi unapendekeza kiongozi gani mwingine wa CHADEMA apigwe risasi?
Kule Mbeya walikotuwa nguvuni na kusafirishwa kama magunia mbona hatukuwaona Watoto wao? 😆😆Haya maneno mnajazanaga ujinga tu. Mbona maandamano yaliyopita kina Mbowe na Lissu walikuwa front?
Acha kukaririshwa vitu nawe unavibeba tu
Hivi vitu unadhani ni vya kucheka basi mdogo wangu?Kule Mbeya walikotuwa nguvuni na kusafirishwa kama magunia mbona hatukuwaona Watoto wao? 😆😆
alaf siku ya maandamano wanywe vismati,mbowe vitano,lisu 7,mnyika 3,godbless 8,,,,,,iliwapoteze uoga,,alafu wakikimbizwa na polisi wawe wanakimbia kama wanacheza rege kama lucy dube.NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele
Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.
Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.
Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
Okay 👍,zimewafikia wazee wa Lumumba....Mbowe
Baba mpumbavu uiweka familia yake kwenye hatari. Hao Mbowe na Lema unajua wanarisk maisha yao. Likitokea jambo familia zao zinabaki na wajane na hata yatima.Wewe mbowe akili huna tanguliza familia Yako sisi tunafuata nyuma
Basi aende mwenyewe asiwaite wananchi sababu wanachi nao ni familia za watuBaba mpumbavu uiweka familia yake kwenye hatari. Hao Mbowe na Lema unajua wanarisk maisha yao. Likitokea jambo familia zao zinabaki na wajane na hata yatima.
Kwako hiyo haitoshi? Unaitaka familia yake pia? Je mnataka kufuta kizazi chao chote?
Kwa kila wazo la kishetani unalazo litakurudia. Mungu wetu ni Mungu wa haki.
Jinga express.Hajawahi kuandamana mbowe hayo aliyokua anafanya ni matembezi
Wewe ndio mjinga unaetuongoza katika orodha yetu ya wajingaJinga express.
Msunu.Wewe ndio mjinga unaetuongoza katika orodha yetu ya wajinga
Hatari sanaWewe ndio mjinga unaetuongoza katika orodha yetu ya wajinga
Anaangalia Maandamano kwenye TV Ili watu wakipapaswa awahi press kulaani vikali😂😂Ndio Mimi mjanja siwezi kukaa mbele kama nyumbu halafu mbowe yupo nyuembani ananagalia TV tarehe 23