Naunga mkono maandamano ila Mbowe na Lissu nao wawe mbele na familia zao tarehe Septemba 23

Naunga mkono maandamano ila Mbowe na Lissu nao wawe mbele na familia zao tarehe Septemba 23

Ndio maana nikasema hayo maandamano ya magaidi acha polisi wawalambe risasi mpaka magaidi yaishe kwani shida nini

Wewe si haumo ndugu?

GXqNtasXoAANlCw.jpeg
 
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele

Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.

Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.

Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
Hujawahi kumuona Mbowe na familia yake kwenye maandamano?

Hivi huko Uvccm ni kambi ya vichaa?
 
just admit you are a coward and get on with it. Unatafuta excuse tu ya kususia maandamano
 
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele

Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.

Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.

Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
alaf siku ya maandamano wanywe vismati,mbowe vitano,lisu 7,mnyika 3,godbless 8,,,,,,iliwapoteze uoga,,alafu wakikimbizwa na polisi wawe wanakimbia kama wanacheza rege kama lucy dube.
 
Wewe mbowe akili huna tanguliza familia Yako sisi tunafuata nyuma
Baba mpumbavu uiweka familia yake kwenye hatari. Hao Mbowe na Lema unajua wanarisk maisha yao. Likitokea jambo familia zao zinabaki na wajane na hata yatima.

Kwako hiyo haitoshi? Unaitaka familia yake pia? Je mnataka kufuta kizazi chao chote?

Kwa kila wazo la kishetani unalazo litakurudia. Mungu wetu ni Mungu wa haki.
 
Baba mpumbavu uiweka familia yake kwenye hatari. Hao Mbowe na Lema unajua wanarisk maisha yao. Likitokea jambo familia zao zinabaki na wajane na hata yatima.

Kwako hiyo haitoshi? Unaitaka familia yake pia? Je mnataka kufuta kizazi chao chote?

Kwa kila wazo la kishetani unalazo litakurudia. Mungu wetu ni Mungu wa haki.
Basi aende mwenyewe asiwaite wananchi sababu wanachi nao ni familia za watu
 
Back
Top Bottom