Vyama vya upinzani Tanzania havina nguvu wala uwezo tu wa kuitoa CCM.
Mbona Rais wa Zambia Aikande alishinda uchaguz wa urais bila katiba mpya?Huu ni uongo wa hivi vyama visivyo na democracy kwamba tubadilishe katiba. Ili vishinde. Yaan huyu Dr Lywaitama,mm nilitegemea aje na mawazo mbadala kuwa, kila mtanzania ajiandikishe na apige kura. Lakin anakuja na ujinga kuwa, tubadili katiba. Mbona Kenya walibadili katiba na bado kukawa na matatizo?
Mm nafikiri, CCM haipo sawa na upinzani pia wapo hovyo.Sio kuiponda tu CCM sio kweli. CDM, haina democracy, inakauli nyingi za uongo na mihemko, utafikiri wao tu ndio wana haki. Mfano, BAWACHA wamechoma vitenge vya SAMIA na kusema SAMIA must go. Huo ni uvunjifu wa amani sio sawa. Na wakikomaliwa watasema wanaonewa.
ACT wao ni wadini.Ukifuatilia wapo zaidi sehemu za waislam.Mfano, Tunduru, Pemba etc. Sasa kuishinda CCM sio rahisi.Labda mjitahidi muwe na wabunge kama wakina Sugu ambao mwisho watawaonyesha kuwa wamejenga hotel basi.