Naungana na Dkt. Lwaitama kuhusu Katiba Mpya

Naungana na Dkt. Lwaitama kuhusu Katiba Mpya

Wewe ni mmoja kati ya wasiojua katiba ni nini, katiba ndiyo inayosimamia maisha yako ya kila kitu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi, yaani haki yako ya kuishi na kupata mahitaji yako yote muhimu ya kila siku. Ndani ya katiba serikali inalazimika kuhakikisha unapata uongozi bora, maji safi na salama, chakula, elimu, huduma za afya, malazi bora na huduma za mawasiliano yanayokuwezesha kutoka sehemu moja kwenda nyingine, vyote hivi vinatekelezwa kutokana na kodi unayolipa serikalini.
HAYA NDIYO MATAKWA YA KATIBA.
ndiyo hayo maisha yaelezwe humo kwenye katiba ndiyo iwe mpya,

uongozi tayari upo na hakuna upya kwenye hilo.. na hicho ndicho kinapoteza maana na upya wa hicho kinachoitwa katiba mpya 🐒
 
ndiyo hayo maisha yaelezwe humo kwenye katiba ndiyo iwe mpya,

uongozi tayari upo na hakuna upya kwenye hilo.. na hicho ndicho kinapoteza maana na upya wa hicho kinachoitwa katiba mpya 🐒
Yaelezwe vipi tena wakati tayari yamo, tatizo mnapenda muelezwe na kina Nchimbi badala ya kununua kitabu cha katiba kinachouzwa kwenye maduka ya vitabu.
 
Kwanza niwashukuru wale wate waliotoa mada na waliotoa maoni kwenye Kongamano lililopangwa na TLS. Ahsanteni sana.

Kipekee naungana na wazo la Dr. Lwaitama kuwa ni muda muafaka suala la Katiba mpya lianze na wakati wa kuandika katiba hiyo wasijumuishwe Vyama vya Siasa na jukumu hili waachiwe Wanasheria ili tupate Katiba Mpya.

Ameendelea kusema kuwa tayari tunayo draft ya Warioba ambayo itawaongoza Wataalam hao kuja na Katiba mpya na nzuri na iliyoboreshwa. Binafsi ninaafiki mawazo yake.
Hayo ndio mawazo ya watu wenye Akili TIMAMU ,mlafi hawezi kuwa na mawazo kama hayo.wanasiasa hawawezi kututengenezea katiba hata siku moja.
 
Kwanza niwashukuru wale wate waliotoa mada na waliotoa maoni kwenye Kongamano lililopangwa na TLS. Ahsanteni sana.

Kipekee naungana na wazo la Dr. Lwaitama kuwa ni muda muafaka suala la Katiba mpya lianze na wakati wa kuandika katiba hiyo wasijumuishwe Vyama vya Siasa na jukumu hili waachiwe Wanasheria ili tupate Katiba Mpya.

Ameendelea kusema kuwa tayari tunayo draft ya Warioba ambayo itawaongoza Wataalam hao kuja na Katiba mpya na nzuri na iliyoboreshwa. Binafsi ninaafiki mawazo yake.
Yaani wanasiasa wa CCM wanachekesha sana,yaani wao hawahitaji kauli za wananchi.Labda ipo siku watanzania kwa umoja wao tutauliza kwamba Hv mwananchi ni nani na jukumu lake na wajibu wake ni upi ktk Taifa hili.maana huwezi kuongozi serikali na hutaki watu wakuulize juu ya matumizi ya fedha zao au unatumia fedha za umma jinsi unavyijisikia. kwenye uchaguzi hutaki kushindwa pamoja na uduni wa mawazo na fikra ulionao,kazi yako ni kubaka uchaguzi na kulazimisha kutawala watu kinyume na matakwa ya MUNGU.CCM Mmeambiwa katiba hii ni mbovu hamtaki kusikia mmeweka pamba kwenye masikio sasa ngoja katiba hii hii ile kichwa kingine ndio Akili TIMAMU itawasogea.
 
Back
Top Bottom