ni jambo la maana sana kurelax unapozunguzia jambo hili muhimu sana kwa mustakabali mwema wa mama Tanzania..
kujihesabia haki na kuhukumu wengine ni kujaribu kunyang'anya majukumu ya Mwenyezi Mungu, na hicho ni kiwango kibaya zaidi cha tamaa ya binadamu kwa mambo asiyoyaweza na yasiyo muhusu...
hata hivyo bado haina maana yoyote eti, unachokiona wewe ni upungufu na mwingine akaona ni sio upungufu unamkasirikia 🤣
huo ni uking"ang"anizi useless na nonsense kabisaa..
katiba ya kuzungumzia vyeo na madaraka ya kisiasa si muhimu sanaa kwa sasa Tanzania, unless iwe imezingatia vipaumbele na maslahi mapana ya wananchi kama vile maji, elimu,afya, kilimo, miundombinu, biashara, uvuvi haki, uhuru na mahitaji mengine ya msingi , na sio muhemko, chuki na hizo ghadhabu na hasira za mkizi 🐒