Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja. Umeongea kitu bora kaka.Haya mawazo tulikuwa tunasema muda mrefu, iwapo kutokuwa na sheria ya kuhakikisha ukiwa kiongozi wa serikali, mtoto wako lazima asome shule za serikali, tungeona huduma bora kwenye shule hizo.
Hoja kubwa ya mtoa mada mi naiona kuwa siyo kumpangia mtu matumizi ya fedha bali ni kwamba;Kwanini lazima iwe hivyo? Kila mtu ampeleke mtoto wake anapoweza/anapotaka. Kufanya kazi serikalini sio kosa la kuchaguliana namna ya kutumia hela zako
Kwahyo mtoto wa Madelu asome Maji Matitu Primary School? [emoji23][emoji23]
Alafu nawe ni mtanzaniaKwanini lazima iwe hivyo? Kila mtu ampeleke mtoto wake anapoweza/anapotaka. Kufanya kazi serikalini sio kosa la kuchaguliana namna ya kutumia hela zako