Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apuuzwe tuuu Kwan kufungwa na Yanga ni ajabu sana!!!Kigwangala anaonekana ni kati ya wale wanaume wambea, ana kiroho fulani cha korosho kusubiri mtu akosee ndio umlaumu, lakini akipatia hayuko tayari kumpongeza.
Jibu maswali ya Kigwanga
Jibu maswali ya Kigwangala
Anazungumzia UwekezajiKigwangala anaonekana ni kati ya wale wanaume wambea, ana kiroho fulani cha korosho kusubiri mtu akosee ili amlaumu, lakini mtu huyo akipatia hayuko tayari kumpongeza.
Uwaziri ataupata hivi karibuniHuyu mpumbavu hadi leo anasumbuliwa na kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri,na kwa taarifa yake 2025 hata ubunge hapati, amekuwa ni chukizo Kwa jamii ya wasomi.
Aache ngengenge atulie afanye kazi za za ubunge.....Anazungumzia Uwekezaji
Tatizo makolo hampendi kuambiwa ukweli.......
Bwashee Simba na Yanga ni vilabu vya WananchiAache ngengenge atulie afanye kazi za za ubunge.....
Yeye simba kaweka bei gani
Huyo mzee wa kuwafungia watu mageti anawahi yeye huku akiwaanda wapiga picha na video
Ova
Ubunge unaingiaje hapa mlamu?Huyu mpumbavu hadi leo anasumbuliwa na kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri,na kwa taarifa yake 2025 hata ubunge hapati, amekuwa ni chukizo Kwa jamii ya wasomi.
Jikite kwenye kiswahili tu.Kigwa Thinks He's So Special That He Deserves Recognition. The Bottoline Is, He's Not And Should Not Given A Chance For Any Post !!
na yeye ajibu piaJibu maswali ya Kigwanga
Jibu maswali ya Kigwangala