Naungana na watanzania wengi wanaomlaani Dk. Kigwangalla kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa kumchafua Mo Dewji

Naungana na watanzania wengi wanaomlaani Dk. Kigwangalla kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa kumchafua Mo Dewji

Kigwangala anaonekana ni kati ya wale wanaume wambea, ana kiroho fulani cha korosho kusubiri mtu akosee ili amlaumu, lakini mtu huyo akipatia hayuko tayari kumpongeza.
Mimi nashauri sana hawa watu waendelee kuishi maisha ya ndani ya kiapo sawa tu na wale ambao bado wapo ndani ya Serikali. Gossips hizi za kwenye mitandao zilishakuwa nje ya wigo wa kazi zao. Waendelee kutoa michango yao positive kwa viongozi wa nchi ili tuweze kusonga mbele
 
Kigwangalla ni juha, sijui aliupataje Uwaziri, hata mtoto wa Form 4 anaesoma masomo ya Arts anaelewa akiangalia. Hio Cheque ipo wazi;

1) Chini imeandikwa "Simba Sports Acc (Simba Sports Account)".

2) Juu imeandikwa mtoaji ni "MOHAMED GULLAMABBAS HASSANALI DEWJ" na mpokeaji ni "SIMBA SPORTS ENDOWMENTS FUND".

3) Kuna "BARCODE" ambayo kama mtu hajaridhika basi anaweza ku "SCAN" na kujiridhisha kwa details zote kuanzia muda na tarehe iliokuwa registered/benki husika/cashier aliepokea/tawi la benki n.k.


Kigwangalla anaonekana ana "MSONGO WA MAWAZO" mixa "ROHO MBAYA". Akizeeka atakua "MWANGA/MCHAWI" huyu!!! Acha tumfukulie makaburi sasa fisadi huyu!!!

 
Back
Top Bottom