Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapambane na team yako huko, tupo dhaifu na bado. Mme struggle kutufunga, nyie tuliwabamiza 4,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitaka kununua kesi na mashabiki wa simba, basi wewe ulizia tu zilipo bilioni 20 za mwekezaji!
😁😁😁 Hatutaki maneno sisi! Wekeni bilioni 20 mezani, tufanye usajili wa kishindo msimu huu.Kapambane na team yako huko, tupo dhaifu na bado. Mme struggle kutufunga, nyie tuliwabamiza 4,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No wayDr Kigwangalla katika hili yuko sahihi
Mkuu hii comment yako itafumbua mqmcho watu wengi waliodanganyika hasa hasa wapenzi wa Yanga.Aseee hivi ni kuwa waziri mpumbavu au anataka kutumia ujinga wa watu kujinufaisha?
Tangu lini huo mfano wa Hundi ukawa umeandikwa ni benki gani?
Na kuna watu wanamuita baba mtu mnafki kama huyo? Aseeee......
View attachment 2243433View attachment 2243437View attachment 2243439
Hivi hapo kuna mahala imeandikwa ni benki gani?
Kuna mtu aliwahi hoji?
Team ianze kutaja mahala zilipo account zake kwa manufaa ya nani?
Kina kuja kijitu kizi kutoka Nzega huko kinaanza kuuliza kuhusu MO.
Kwamba anatakiwa kujieleza kilakitu sasa?
Atajieleza inapobidi ila sio kwa watu mitandaoni, Manufaa ya kufanya hivyo ni yepi? Kigwangalla afurahi?
Nilimuona bwege sana.....Aache ngengenge atulie afanye kazi za za ubunge.....
Yeye simba kaweka bei gani
Huyo mzee wa kuwafungia watu mageti anawahi yeye huku akiwaanda wapiga picha na video
Ova
Yaani we unaona kuna hoja hapo mkuu?Maneno na kejeli zingifuata baada ya kujibu kikamilifu maswali yake. Ndiyo maana ya ustaarabu.
Haya ndiyo majibu. Kigwa anataka majibu ni hilo tu. Binafsi sijui sana mambo ya Simba, mi Mwananchi.Yaani we unaona kuna hoja hapo mkuu?
Mfano wa hundi anataka kujua ni wa benki gani?
Simva ije mtandaoni iseme imeweka hela CRDB kweli mkuu?
Alafu kuhusu hili mbona walishajibu, ile bil 20 ni mtaji na sio pesa itakayotumika.
Inatumika kwenye ununuzi wa hati fungani.....
Asa wajibu hoja gani labda ambayo haipo wazi?
[emoji38][emoji38][emoji38]
Aiseeee !!!!Ukitaka kununua kesi na mashabiki wa simba, basi wewe ulizia tu zilipo bilioni 20 za mwekezaji!
Kigwa ana chuki na hasira za kunyimwa pikipikiAseee hivi ni kuwa waziri mpumbavu au anataka kutumia ujinga wa watu kujinufaisha?
Tangu lini huo mfano wa Hundi ukawa umeandikwa ni benki gani?
Na kuna watu wanamuita baba mtu mnafki kama huyo? Aseeee......
View attachment 2243433View attachment 2243437View attachment 2243439
Hivi hapo kuna mahala imeandikwa ni benki gani?
Kuna mtu aliwahi hoji?
Team ianze kutaja mahala zilipo account zake kwa manufaa ya nani?
Kina kuja kijitu kizi kutoka Nzega huko kinaanza kuuliza kuhusu MO.
Kwamba anatakiwa kujieleza kilakitu sasa?
Atajieleza inapobidi ila sio kwa watu mitandaoni, Manufaa ya kufanya hivyo ni yepi? Kigwangalla afurahi?