Naungana na watanzania wengi wanaomlaani Dk. Kigwangalla kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa kumchafua Mo Dewji

Kigwangala anaonekana ni kati ya wale wanaume wambea, ana kiroho fulani cha korosho kusubiri mtu akosee ili amlaumu, lakini mtu huyo akipatia hayuko tayari kumpongeza.
Anazungumzia Uwekezaji
 
Aache ngengenge atulie afanye kazi za za ubunge.....
Yeye simba kaweka bei gani
Huyo mzee wa kuwafungia watu mageti anawahi yeye huku akiwaanda wapiga picha na video

Ova
Bwashee Simba na Yanga ni vilabu vya Wananchi

Bei gani unaweka kule.Azam FC
 
Kigwa Thinks He's So Special That He Deserves Recognition. The Bottoline Is, He's Not And Should Not Given A Chance For Any Post !!
 
Huyu mpumbavu hadi leo anasumbuliwa na kutokuwepo kwenye Baraza la Mawaziri,na kwa taarifa yake 2025 hata ubunge hapati, amekuwa ni chukizo Kwa jamii ya wasomi.
Ubunge unaingiaje hapa mlamu?
 
Kigwa Thinks He's So Special That He Deserves Recognition. The Bottoline Is, He's Not And Should Not Given A Chance For Any Post !!
Jikite kwenye kiswahili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…