Naungana na watanzania wengi wanaomlaani Dk. Kigwangalla kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa kumchafua Mo Dewji

Angalau muweze kuelewa pia kwanini nchi haipigi hatua.. Hawa ndio aina ya viongozi tunakua nao.. Imagine amewahi kua waziri na ni mbunge huyu..
 
Huyu jamaa n mtu wa ajabu Sana angepewa mkopo au angekuwa na mahusiano mazur na MO haya yote yasingetokea hata Kama tungeshuka daraja asingesema chochote Kama kweli n mzalendo angepaza sauti kwenye timu yetu ya Taifa pia angepambana na ufisadi ndani ya mkoa wake na wilaya na Jimbo angekuwa na maana Taifa star's haifanyi vizur yuko kimya mzalendi wa maslahi apuuuzwe
 
Yuko sahihi, ila alikua wapi kusema hivi wakati ikiwa team inafanya vizuri.
 
Ukitaka kununua kesi na mashabiki wa simba, basi wewe ulizia tu zilipo bilioni 20 za mwekezaji!
Kapambane na team yako huko, tupo dhaifu na bado. Mme struggle kutufunga, nyie tuliwabamiza 4,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aseee hivi ni kuwa waziri mpumbavu au anataka kutumia ujinga wa watu kujinufaisha?
Tangu lini huo mfano wa Hundi ukawa umeandikwa ni benki gani?
Na kuna watu wanamuita baba mtu mnafki kama huyo? Aseeee......


Hivi hapo kuna mahala imeandikwa ni benki gani?
Kuna mtu aliwahi hoji?
Team ianze kutaja mahala zilipo account zake kwa manufaa ya nani?
Kina kuja kijitu kizi kutoka Nzega huko kinaanza kuuliza kuhusu MO.
Kwamba anatakiwa kujieleza kilakitu sasa?
Atajieleza inapobidi ila sio kwa watu mitandaoni, Manufaa ya kufanya hivyo ni yepi? Kigwangalla afurahi?
 
Kapambane na team yako huko, tupo dhaifu na bado. Mme struggle kutufunga, nyie tuliwabamiza 4,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁 Hatutaki maneno sisi! Wekeni bilioni 20 mezani, tufanye usajili wa kishindo msimu huu.
 
Mkuu hii comment yako itafumbua mqmcho watu wengi waliodanganyika hasa hasa wapenzi wa Yanga.
 
Maneno na kejeli zingifuata baada ya kujibu kikamilifu maswali yake. Ndiyo maana ya ustaarabu.
Yaani we unaona kuna hoja hapo mkuu?
Mfano wa hundi anataka kujua ni wa benki gani?
Simba ije mtandaoni iseme imeweka hela CRDB kweli mkuu?
Alafu kuhusu hili mbona walishajibu, ile bil 20 ni mtaji na sio pesa itakayotumika.
Inatumika kwenye ununuzi wa hati fungani.....
Asa wajibu hoja gani labda ambayo haipo wazi?
 
Kwa wizi ule pale wizarani anatkiwa kuwa ananyea debe
 
Haya ndiyo majibu. Kigwa anataka majibu ni hilo tu. Binafsi sijui sana mambo ya Simba, mi Mwananchi.
 
Kigwa ana chuki na hasira za kunyimwa pikipiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…