Nauonya Uongozi wa Simba SC na Wachezaji Waandamizi usirudie tena 'Kuiuza' Mechi kwa Jwaneng Galaxy FC kama walivyofanya mara ya mwisho

Nauonya Uongozi wa Simba SC na Wachezaji Waandamizi usirudie tena 'Kuiuza' Mechi kwa Jwaneng Galaxy FC kama walivyofanya mara ya mwisho

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Najua hamtapenda GENTAMYCINE kuja na hii Taarifa au mtashangaa nilijuaje ila nyie jueni tu kuwa The King of News / Info ninajua.

Wachezaji wetu Waandamizi Saba ( 7 ) Wawili ni Wageni na Mmoja wapo aliachwa akahamia Matajiri wa Alizeti na Wazawa Watano Mmoja ndiyo kaanza rasmi Mazoezi na Wenzake na Viongozi Waandamizi Wawili Mmoja amestaafu mambo ya Mpira ila mwingine yuko ( zamani alikuwa ni Mjumbe ) waliuza Mechi kwa Kupokea Fedha nyingi kutoka kwa Viongozi wa Jwaneng Galaxy FC pale Samaki Samaki Mlimani City.

Na safari hii GENTAMYCINE nitakuwa makini mno nanyi hasa ikifika Mchezo dhidi yao japo najua kwa sasa ndani ya Simba SC iliyo chini ya Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Ghullum Dewji Uhuni huu haupo lakini kuchukua tahadhari ni muhimu.
 
Najua hamtapenda GENTAMYCINE kuja na hii Taarifa au mtashangaa nilijuaje ila nyie jueni tu kuwa The King of News / Info ninajua.

Wachezaji wetu Waandamizi Saba ( 7 ) Wawili ni Wageni na Mmoja wapo aliachwa akahamia Matajiri wa Alizeti na Wazawa Watano Mmoja ndiyo kaanza rasmi Mazoezi na Wenzake na Viongozi Waandamizi Wawili Mmoja amestaafu mambo ya Mpira ila mwingine yuko ( zamani alikuwa ni Mjumbe ) waliuza Mechi kwa Kupokea Fedha nyingi kutoka kwa Viongozi wa Jwaneng Galaxy FC pale Samaki Samaki Mlimani City.

Na safari hii GENTAMYCINE nitakuwa makini mno nanyi hasa ikifika Mchezo dhidi yao japo najua kwa sasa ndani ya Simba SC iliyo chini ya Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Ghullum Dewji Uhuni huu haupo lakini kuchukua tahadhari ni muhimu.
ile mechi walizidiwa
 
Jwaneng Galaxy wiki iliyopita kamtoa Orlando Pirates ndipo katinga makundi.

Je orlando nao wamepewa hela.

Dharau zinawaponza sana kwa timu msizozijua kwa undani.

Galaxy anajua kucheza mpira wa matokeo .

Msifikiri galaxy ni sawa na Vipers unajipigia nje ndani
 
ile mechi walizidiwa
Iliuzwa kwa 100% na kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE nakupasha na Taarifa ya Kimpira hapa JamiiForums Kwanza anza kunipigia Saluti kisha Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapeni GENTAMYCINE Mimi aliyenibariki na Shani ( Tunu ) nyingi kisha iamini tena kwa Kujiamini pia sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Jwaneng Galaxy wiki iliyopita kamtoa Orlando Pirates ndipo katinga makundi.

Je orlando nao wamepewa hela.

Dharau zinawaponza sana kwa timu msizozijua kwa undani.

Galaxy anajua kucheza mpira wa matokeo .

Msifikiri galaxy na Vipers unajipigia nje ndani
Acha kunipotezea muda huna Ukijuacho.
 
Najua hamtapenda GENTAMYCINE kuja na hii Taarifa au mtashangaa nilijuaje ila nyie jueni tu kuwa The King of News / Info ninajua.

Wachezaji wetu Waandamizi Saba ( 7 ) Wawili ni Wageni na Mmoja wapo aliachwa akahamia Matajiri wa Alizeti na Wazawa Watano Mmoja ndiyo kaanza rasmi Mazoezi na Wenzake na Viongozi Waandamizi Wawili Mmoja amestaafu mambo ya Mpira ila mwingine yuko ( zamani alikuwa ni Mjumbe ) waliuza Mechi kwa Kupokea Fedha nyingi kutoka kwa Viongozi wa Jwaneng Galaxy FC pale Samaki Samaki Mlimani City.

Na safari hii GENTAMYCINE nitakuwa makini mno nanyi hasa ikifika Mchezo dhidi yao japo najua kwa sasa ndani ya Simba SC iliyo chini ya Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Ghullum Dewji Uhuni huu haupo lakini kuchukua tahadhari ni muhimu.
Mshaanza kujishtukia,ahaaaa
 
mm89.jpg
 
Iliuzwa kwa 100% na kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE nakupasha na Taarifa ya Kimpira hapa JamiiForums Kwanza anza kunipigia Saluti kisha Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapeni GENTAMYCINE Mimi aliyenibariki na Shani ( Tunu ) nyingi kisha iamini tena kwa Kujiamini pia sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Watu warefu ni shida
 
Back
Top Bottom