Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unauza?Bata wako vaccinated
Nimetoka kuwapa chanjo ya mdondo week mbili zilizopita
Bata wana afya tele
Niko manzese sweetcorner
0714829688
Kumbe hujui bei ya hawa bata mzee wangu, [emoji23][emoji117]Kwani hao Bata Wana Nini Cha ziada mpaka wauzwe bei yote hiyo ?
Ah wapi .bata hawa wanauzwa 25 -30Kumbe hujui bei ya hawa bata mzee wangu, [emoji23][emoji117]
hawa bata bei yake kikawaida huwa inafika mpaka 150k. Sijui huyu muuzaji kawaiba sehemu au ana shida imempata ghafla ana taka kusolve ndio maana ana wauza kwa bei hiyo ya kutupa. [LABDA]
Bata gani hao? Mungu anawaona, unawajua bata maji kweli!?Kumbe hujui bei ya hawa bata mzee wangu, [emoji23][emoji117]
hawa bata bei yake kikawaida huwa inafika mpaka 150k. Sijui huyu muuzaji kawaiba sehemu au ana shida imempata ghafla ana taka kusolve ndio maana ana wauza kwa bei hiyo ya kutupa. [LABDA]
Sishangai bei , nimeuliza Huwa wana Nini Cha ziada Labda ?Kumbe hujui bei ya hawa bata mzee wangu, [emoji23][emoji117]
hawa bata bei yake kikawaida huwa inafika mpaka 150k. Sijui huyu muuzaji kawaiba sehemu au ana shida imempata ghafla ana taka kusolve ndio maana ana wauza kwa bei hiyo ya kutupa. [LABDA]
Cha ziada hawana ni basi tuSishangai bei , nimeuliza Huwa wana Nini Cha ziada Labda ?
Sawa mkuuSiku hizi watu mmekuwa wa ajabu mtu akiuza kitu ni jambo la kushangaza?
Nina mifugo mingi inakuwa kazi kuhudumia ndio maana nauza kupunguza hawa bata
Acheni roho za ajabu.Cha ziada hawana ni basi tu