Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

Status
Not open for further replies.
Haina budi kuwauza hawa bata kwa sababu nahitaji kumalizia ujenzi nyuma yangu ya wapangaji. Wakati ujenzi umesimama niliamua kuweka mifugo ndani ya nyumba yangu ya wapangaji sasa ni wakati wa kupunguza mifugo. .
 
Mkuu hao Bata Ni wako au wewe Ni dalali, weka picha tuone
Bata ni wa kwangu, sina udalali wowote. Pia nauza na bata wa kawaida nimeweka uzi leo humu kwenye jukwaa la wafugaji.

20221120_112940.jpg
 
Bata hawa hapa.

 
Niliko huku mbuzi wa sh 40,000 Ni yule akipata dume anapandwa na kuzaa, huyu jamaa ana utani Na 1M ,juzi nimeemda mnadani 200K unapata ng'ombe.
Nakushangaa sana ujue
Hujalazimishwa kuwanunua
Hujui chochote kuhusu hawa bata
Na wanakula kushinda hao mbuzi

nenda kanunue mbuzi hakuna aliyekuzuia
Hawa sio kwa ajili yako
Wangekuwa mbuzi wangekufaa wewe
 
Shida kubwa ni kuwa masikini wa roho
Kuwa masikini sio kosa, ila kosa ukiwa masikini wa nafsi

USILOLIJUA LITAKUSUMBUA SANA. .
Bora masikini wa roho kuliko masikini wa akili wa kuuziwa Bata kwa sh 120K wakati Bata dume huku anauzwa sh 15K, hiyo 120K unapata mbuzi watatu na chenji inabaki
 
Bora masikini wa roho kuliko masikini wa akili wa kuuziwa Bata kwa sh 120K wakati Bata dume huku anauzwa sh 15K, hiyo 120K unapata mbuzi watatu na chenji inabaki
sawa basi nenda kanunue mbuzi
Ukiwa masikini wa akili shida kubwa kwa sababu kuna mtu alikulazimisha kuwa na hawa bata?
Sijakuelewa sijui kwa nini unataka kuharibu biashara yangu
Kwa sababu hio ndio bei ya hawa bata lakini makasirikio mengi sana shida iko wapi?
Sijakuomba ununue ndugu yangu ukiona sio kwa ajili yako potezea.
Wanaohitaji watanunua. .
 
Nakushangaa sana ujue
Hujalazimishwa kuwanunua
Hujui chochote kuhusu hawa bata
Na wanakula kushinda hao mbuzi

nenda kanunue mbuzi hakuna aliyekuzuia
Hawa sio kwa ajili yako
Wangekuwa mbuzi wangekufaa wewe
Haya bwana tajiri Kika la kheri, ila ukipata mteja niite mbwa Niko pale nimekaa[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Acheni upuuzi kama huna hela tulia, mtu yuko serious anataka bukini auzwe 15,000. Bei yake sijui ila najua wana bei kubwa na siwezi pinga matakwa ya mtu. Ukitaka fanya negotiations au piga kimya.

Kama unaona hiyo bei kubwa nunua hao mbuzi ufuge
 
Labda tungepata sifa ya bata bukini,mm naona watu wanawauza kwa gharama kubwa sana ila sijajua mpaka leo utofauti wao ni nini???


"Tusikimbilie kulalama bei wewe muuzaji weka tofauti inayopelekea bata hao kuuzwa 1m labda tutapata pa kuanzia
Screenshot_20221119-193108_VLC.jpg
 
Amekosea jina siyo bata maji ni bata Bukini chotara
Hawa sio bata bukini na sijakosea jina lolote mfugo ambao naufuga mwenyewe
Hawa ni bata wa kawaida weupe tu


Pia nauza bata bukini, nimepost thread mda si mrefu. .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom