Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

Status
Not open for further replies.
Bongo ni nchi iliyojaa masikini wenye sifa ya uchoko[emoji1] mtu hawajui hata hao bata bado anabisha bei

Mtu akisikia tu bata basi wazo linamjia wale bata mavi wa huko ngurumo
Shida ni umasikini wa roho. Kuwa masikini sio kosa. Umasikini wa roho ni kuona mwenzako anapata
Kila siku asubuhi na jioni unalisha bata
Kila siku unahakikisha vyombo visafi
Bado pia kila week lazima usafishe mazingira
Hawa bata wanakunywa maji kila siku ndoo moja na nusu
Wanapendelea sana mboga za majani nazo ni gharama kuwanunulia mara kwa mara

Ufugaji wa hawa bata ni gharama sana, ila shida sidhani kuwa hawajui, basi tu wanaona nafaidi kuwauza
Ningependa kuendelea kuwafuga ila nahitaji kufanya ujenzi appartment zangu za kupangisha ndio maana nawauza
ila watu wana makasiriko sijui shida ni nini kwa kweli. .
 
Naomba kusamehewa[emoji120][emoji120]
Hawa bata wanakula sana mbuzi haoni ndani
Mimi ni mchaga wa Rombo, plus mzee wangu anafuga mbuzi kibaha wa kutosha tu
Kilimo cha mbuzi naona hakina faida sana kwa sababu mbuzi tu wenyewe hana nyama alafu wanakula hatari

Hawa bata bukini ni wanatoka Japan na Canada, wanakuwa wakubwa tu
Kabla hawajaingia nchini sasa watu wanafuga kwa wingi mmoja alikuwa anauzwa laki 3, bata mmoja tu
Ni bata wazuri sana wanapendezesha majumba ya kitajiri

Bata hawa wengine wanakuwa wakali kama mbwa, hivyo kama mtu hapendi mbwa basi unakuta wanakuwa wakali kama unavyoona mbwa anavyokuwa mkali
Wafugaji wengi wanaamini pia wanafukuza wachawi
Wazuri sana, ni kivutio kikubwa ndani ya nyumba, na sio bata hawa wa kawaida tunaowaona huku mtaani. .
 
Haya bwana tajiri Kika la kheri, ila ukipata mteja niite mbwa Niko pale nimekaa[emoji120][emoji120][emoji120]
Atapata amini nakwambia, angekuwa anauza mmoja mmoja ningejipiga nichukue hata wawili. Hawa sio bata wa kiswahili na wakikua ni wakubwa kuliko hao bata wako, waweke kundi moja na mbwa wa kizungu ambao kitoto cha miez 3 kinauzwa kuanzia laki 8 huko.
Hii sio yako mzee iache ikupite usivuruge biashara ya mwamba.
 
Bora masikini wa roho kuliko masikini wa akili wa kuuziwa Bata kwa sh 120K wakati Bata dume huku anauzwa sh 15K, hiyo 120K unapata mbuzi watatu na chenji inabaki
Hawa bata wanauzwa bei kwasababu wanasize kubwa sana. Bata m'moja tena dume, ukichinja sikukuu nyama yake ni nyingi kama mbuzi tu.

Sasa faida ya bata ni mayai yake pia anataga mayai ambayo unaweza benefit nje ya nyama. So faida ni nyingi kwa huyu bata. Wana nyama nyingi sana hawa na bata mzinga.
 
Hawa bata wanauzwa bei kwasababu wanasize kubwa sana. Bata m'moja tena dume, ukichinja sikukuu nyama yake ni nyingi kama mbuzi tu.

Sasa faida ya bata ni mayai yake pia anataga mayai ambayo unaweza benefit nje ya nyama. So faida ni nyingi kwa huyu bata. Wana nyama nyingi sana hawa na bata mzinga.
Sikujua Mkuu,
 
Ndugu naomba niseme kitu hapa kwanza mleta mada yupo sahihi kabisa na hao bata ni kweli ni bei juu hata mimi nawafuga pia, pili ningaliwaomba tusiwe tunapenda kumjadili na kukashifu vitu bila kuwa na uhakika navyo. Ndugu kama kifaranga wa Bukini anauzwa sh 60,000 elf unafikiria wa kuanzia umri huo atakuwa bei gani? Nawaombeni sana tuheshimu na kujali kila liletwalo na mfugaji mwenzetu ili tuweze kusonga kwa ujumla.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom