rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
1,000,000/Milioni yenye sifuri sita ni kitu gani hicho, hebu iandike hiyo milion yenye sifuri sita!
Naomba yako yenye sifuri saba mana kujifunza huwa hakuishi mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1,000,000/Milioni yenye sifuri sita ni kitu gani hicho, hebu iandike hiyo milion yenye sifuri sita!
Ulichoandika ni moja yenye sifuri sita si million yenye sifuri sita!1,000,000/
Naomba yako yenye sifuri saba mana kujifunza huwa hakuishi mzee
Sawa, nipe elimuUlichoandika ni moja yenye sifuri sita si million yenye sifuri sita!
Picha huleta ushawishi zaidi kuliko manenoHabari
Nauza bata bukini 6 kwa bei ya shillingi million moja (1,000,000). Bata wana umri wa miezi 8 na wana chanjo zote. .
Hawa bata nawajali sana nahakikisha wanakula kabichi na spinach kila siku. Nawanunulia chakula top quality ni wenye afya nzuri sana. Nauza wote sita siuzi mmoja mmoja kama unahitaji nicheki 0714829688. .
NIKO MANZESE SWEETCORNER
Milion ya wapi hii yenye sufuri saba?Milioni hii hii tunayo ijuwa yenye sifuri saba ama?
Unyama Sana mkuu.hawa bata si kwa ajili yako
Maji ni kitu cha muhimu sana lakini si maji ya chooni
Mkuu kama kitu hukifahamu ni bora ukauliza ili upate uelewa utakuja kukusaidia siku ingine huko uendako, kuliko kuendelea kuongea Mambo usiyoyajua kwenye biashara za watuBora masikini wa roho kuliko masikini wa akili wa kuuziwa Bata kwa sh 120K wakati Bata dume huku anauzwa sh 15K, hiyo 120K unapata mbuzi watatu na chenji inabaki
Mifugo yako afu huijui hata majina..Hawa sio bata bukini na sijakosea jina lolote mfugo ambao naufuga mwenyewe
Hawa ni bata wa kawaida weupe tu
Pia nauza bata bukini, nimepost thread mda si mrefu. .
Mkuu kwa lecture hii sirudii! [emoji120][emoji120]Mkuu kama kitu hukifahamu ni bora ukauliza ili upate uelewa utakuja kukusaidia siku ingine huko uendako, kuliko kuendelea kuongea Mambo usiyoyajua kwenye biashara za watu
Kuna Mifugo aina nyingi sana duniani, wengine wanafugwaa Kwa lengo la ufahari tu na sio Kwa ajili ya kuchinja na Kula kama wafanyavyo wengine au ufanyavyo wewe
Hao bata anaouza mleta Uzi ndio bei zake hizo na hapo yeye anauza bei ndogo, maana hao wanauzwa 150-180K na Kwa wanaoujua wala hawashangai, hao sio bata maji unaosema wewe wanauzwa 15-20k
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua, wakati wewe unataka ukananunue mbuzi mwenzako anaenda kununua bata bukini 150K na hamchinji kumla bali anamfuga kama pambo
wakati wewe unaendelea kummbembeleza Mzee kimaro akuuzie IST yake Kwa 7M kuna mwenzio anaenda kununua Farasi mkubwa Kwa 12M na sio kusema atamchinja au ataingia road trip bali ni fahari ya macho
Wakati wewe unataka uende mnadani ukanunue Ng'ombe kwa 200k ili ukanenepeshe ikifika Christmas umuuze 800k mwenzio anaenda kununua Nyati maji Kwa 3M na hamchinji bali kwake ni furaha tu kuwaona
Wakati wewe unataka kununua kuku wa kienyeji kwa 15k ili ukaongezee vitoweo nyumbani kuna mwenzio ananunua kasuku 800k na hamchinji kumla bali ufahari
Wakati wewe unanunua njiwa local kwa 5k mwingine ananunua njiwa wa kisasa Kwa 2M na hamchinji kumla bali anamtumia kama pambo au ufahari
Wakati wewe unanunua punda 300k ili akusaidie kazi za hapo nyumbani mwingine ananunua Ngamia 4M ili amsaidie kazi lakini pia anaona Raha tu kumiliki
Kwahiyo kwenye haya maisha kuna levels kwenye kila kitu na ukilijua hili huwezi kupata tabu na maisha ya watu maana nawewe unaweza kufika hizo levels siku moja na ukabadiri fikra zako za leo
Kwenye maisha kuna matabaka mengi sana hapa Duniani labda huko mbinguni ndio hatujui, ila Kwa Dunia hii matabaka ni kuanzia kwenye vyakula,mavazi,makazi, matibabu,starehe na vingine vingi
Ukiona wewe kwako hakina maana basi ujue hakipo Kwa ajili yako, punguza ujuaji kwenye vitu usivovijua ili uendelee kujifunza maana dunia imejaa mambo mengi tusiyoyajua
Kwahiyo Kwa sie ambao tunawajua hao bata tunaweza kusema jamaa anauza bei ya kutupa maana 1M Kwa bata bukini 6 hiyo ni zaidi ya bei nzuri kusema ukweli
Pamoja MkuuMkuu kwa lecture hii sirudii! [emoji120][emoji120]
Mtu ameuliza wana kipi cha ziada tofauti na hawa wetu tunaonunua 20k?, badala ya kujibu hoja unaishia kusema unawalisha, kwani hao wengine hawawalishi?Acheni roho za ajabu.
Hakuna aliyelazimishwa kununua. Kama hujawahi kufuga chochote acheni kelele.
Bata nawanunulia chakula na nawagharamia sana, kwani kuna mfugo unaojifuga wenyewe?
Acheni roho mbaya sio jambo la kiungwana hata kidogo
Hawa Bata ni WA urembo, kwenye Bustani za nyumbani. Hakuna aliyesema kuwa ni wakubwa kushinda mbuzi. Na hakuna aliyekulazimisha kufuga. .Sijaona bata wa 120k hapo. Huu ujinga wa kufuga bata bukini na kuambiwa sijui anauzwa Hadi laki 3, ni uongo mkubwa
Ni kama forever living tu, kila aliyepigwa anatafuta nae wa kumpiga. Utauziwa lakj 2, baada ya muda utagundua ulipigwa na wewe utatafuta wa kumpiga kwa kuwasifia hao bata
Eti ana nyama zaidi ya mbuzi. Acheni ujinga, kwa udogo huo hizo nyama zinakaa wapi? Mnafanya watu kama mazezeta