Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Huko kuna heka 600 za wazanzibar walizogewa na Nyerere
Mhm.! Kuna migogoro au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm.! Kuna migogoro au?
😂😂😂 Bora umenisanua baeBagamoyo kimbia mbio zote miguu iguse na kisogo kabisa😂😂
Kalagabaho ww dalali usinichuze 😂😂😂Huko kuna heka 600 za wazanzibar walizogewa na Nyerere
Kanunue kigamboni kama una hela achana hizo kona miaka kadhaa tu kunatishia amani mana kunauzwa kama njuguKalagabaho ww dalali usinichuze 😂😂😂
Kigamboni bei gani?Kanunue kigamboni kama una hela achana hizo kona miaka kadhaa tu kunatishia amani mana kunauzwa kama njugu
Kigamboni kuna maeneo ya milion 5 , kuna 4 kuna sehem milion 6 unapata sehem nzur kabisaKigamboni bei gani?
Mhmm!! Kigamboni sehemu gani hiyo??Kigamboni kuna maeneo ya milion 5 , kuna 4 kuna sehem milion 6 unapata sehem nzur kabisa
Mhmm!! Kigamboni sehemu gani hiyo??
Vipi kijichi nako vipo?
Bajeti yako kias gan nikushauri mzee babaMhmm!! Kigamboni sehemu gani hiyo??
Vipi kijichi nako vipo?
Dah umenikumbusha Fukayosi, yaani huko mbali balaa, hakuna dalili ya maendeleo na wana bambikiana sana huko maeneoHabari za majukumu wapendwa
Nina eneo langu mwenyewe nahitaji mnunuzi lina heka 3 kwa bei 3.5m lipo njia ya morogoro kutokea bagamoyo kijiji cha mkenge mbele ya fukayosi
Eneo lina hati ya mauziano linatambulika na serikali za mtaa. Pleas kama upo interested unaweza ukanicheki kwenye namba zangu +2557151603650/+255698170582
urgently
Vile unanunua kiwanja muuzaji anakwambia anaishi Kigamboni.Bagamoyo huko acha kabisa hata uwe mjanja kiasi gani hata uwe mkubwa vipi unaweza pigwa huku unajiona
Kwenu wapi? Kina hati hiko kiwanja?Kijichi utapaweza bidada? Nikuuzie kwetu kabisa milion 38 tunataka
Kumbe una pajua? Ardhi ina Rutuba?Dah umenikumbusha Fukayosi, yaani huko mbali balaa, hakuna dalili ya maendeleo na wana bambikiana sana huko maeneo
Wewe taja bei pesa zinatafutwa, mbona dalali una wenge?!!Bajeti yako kias gan nikushauri mzee baba
Eneo kijichi la kwetu la urithi mzee lete pesa. Tunataka milion 38 nakupeleka mwenyewe.. mm na wewe tenaWewe taja bei pesa zinatafutwa, mbona dalali una wenge?!!
Mgeninan au kijichi kupata maeneo chini ya milion 10 uongoWewe taja bei pesa zinatafutwa, mbona dalali una wenge?!!
Kijichi sehemu gani? Tatizo shem nawe janja janja nyingi 🤣🤣🤣Eneo kijichi la kwetu la urithi mzee lete pesa. Tunataka milion 38 nakupeleka mwenyewe.. mm na wewe tena