Plot4Sale Nauza eneo langu lipo Mkenge heka 3 price 3.5m

Plot4Sale Nauza eneo langu lipo Mkenge heka 3 price 3.5m

Kakaka
😂😂😂😂 Ushaanza kupanga matumizi kabisaa.!!
Zikiisha muanze kusema wakinga wana pesa za majini!! 🤣
Jamaa wapambqnaj sana nimewakuta Malawi January masoko makubwa kama wako kariakooo achakabisaa

Wachaga tumeshachoka nenda kariakoo hivi ssasa mkinga ndio habari ya mjinii

Na wakitoka wanakuwa kama wahindi wakina Patel dhruzmv nk wanaitana wanasaidiana na wao wakitoka wanapewa masharti kumsaidia ndugu yoyotr ....

Asiewajua anaeweza hisi pesa za kurujuwani wapi wahindi wanafanikiwa sababu wanapendana......na mzunguko aupotei

Na sikuhizi wamekuwa kama wachaga wanaleta kijana mdogo unafundishqa kazi wakiona umri wa kujitegemea unapewa kamzigoo unajitegemea
 
Fukayosi ipo Barabara ya Bagamoyo na Morogoro.

Mkenge ni Kijiji kipo Kata ya Fukayosi. Ni pazuri kwa kilimo na hakuna migogoro ya ardhi.
Uongo wenzio wote wanasema kuna migogoro huko mpk ofisi fake za mtaa zipo.
 
Uongo wenzio wote wanasema kuna migogoro huko mpk ofisi fake za mtaa zipo.

Haya basi mengine Haya hapa
Screenshot_20240916-104828.png
Screenshot_20240916-101459.png
Screenshot_20240915-110224.png
Screenshot_20240914-215658.png
 
Mtapasuka.
Juzi kuna mtu alinunua kiwanja bunju.akaenda kwao tanga.muda ukapita hajaenda kuangalia kiwanja chake.ndipi juzi hapo kasema ngoja nikaangalie.anakwenda anakuta matofali kwenye kiwanja chake.kwenye kuhangaika hangaika na hicho kiwanja.imepigwa simu kwao tanga jamaa KAFA.huko bunju.
 
Mnaosema mtaingizwa mkenge. Mwaka 2055 wajukuu wenu watasema " babu yangu wakati wenzake wananunua ardhi yeye alikuwa anasema watapigwa" 😂
Kwa bagamoyo bora uje kulaumiwa na wajukuu..kuliko kuja kuwa hadithia jinsi ulivyopigwa.
 
Fb tena? Huko si ndo kuna ma tp shindikanaa 😂😂
Pale Vigwaza Kuna rafiki yangu anauza eneo lake. Amekuwa akiniomba nimtafutie wateja.

Lakini nikimwambia mtu Kuna eneo linauzwa anaanza kuleta habari za kutapeliwa.

Nilichogundua, utapeli siyo kikwazo cha kununua ardhi, bali ni kwamba siyo kila mtu ana hobby ya kununua ardhi.
 
Pale Vigwaza Kuna rafiki yangu anauza eneo lake. Amekuwa akiniomba nimtafutie wateja.

Lakini nikimwambia mtu Kuna eneo linauzwa anaanza kuleta habari za kutapeliwa.

Nilichogundua, utapeli siyo kikwazo cha kununua ardhi, bali ni kwamba siyo kila mtu ana hobby ya kununua ardhi.
We jamaa unafurahisha eti hobby unauujua utapeli uliopo kwenye viwanja
 
We jamaa unafurahisha eti hobby unauujua utapeli uliopo kwenye viwanja

Ni kama useme "huoi kwa sababu kuna usaliti".

Jibu ni kwamba utapeli upo, na ardhi halali ipo.

Sasa kwa kuwa ajali zipo, watu wasisafiri?
 
Back
Top Bottom