Plot4Sale Nauza eneo langu lipo Mkenge heka 3 price 3.5m

Kijichi sehemu gani? Tatizo shem nawe janja janja nyingi 🀣🀣🀣
Natoa siri soon huu mjadala wa kijichi ukiendeleaπŸ˜‚πŸ˜‚
Kichwa changu kinahifadhi madili ya pesa tu sio haya mengine😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Kumbe una pajua? Ardhi ina Rutuba?

Tuache kuadharau Ardhi wazee wa zamani wanasema. miaka 40 iliyopita Tegeta na Boko kulikuwa pori kubwa sana.

Mtu ukinunua ardhi kule watu walikuwa wanakushangaa.

Leo hapashikiki imebaki historia
Yes napajua. Inawezekana ofcourse miaka inayokuja hasa Bagamoyo ikikuwa panaweza badilika. Kuna jamaa yangu alinunua miaka 10 iliyopita ana mlinzi tu wa kulinda shamba
 
Gari moja bana, nataka nikitoka kkoo moja kwa moja home.. nikija inbox bei inashuka? 😹
Ewaaaaaaa! Bei iko palepale mzee baba mana tumekubalian familia nzima. Pale kwetu kuja kariakoo nauli 650 tu. Eneo ni strategic ila kama unataka ya bei chee nikupe namba ya dalali.

Mm tuzungumze la kwetu tu mengine sina asee. Au tukiuzie lile la jamaa yangu wa mwasonga mambo yasiwe mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…